DANIEL MWITA
Senior Member
- Sep 16, 2012
- 118
- 42
teachers junction;9164429 said:Hivi humu jf hawa walimu hawapo?.
tunapata walimu wengine.
please kama kuna mtu unamfahamu hata kama anafanyakaz somwhr especialy in a private school plz mpe hii taarifa.
take home ni 650,000/= to 700,000/=
nafasi zimefika tano tafadhali hebu tokeni huko mafichoni.
0753-810857
nyie ni mawakala wa ajira za ualimu au/sijawaelewa au mnahusika na kipi haswa ebu dadafueni wakuu
matapeli hawa kama jaribu uone