Teachers‘ Junction

teachers‘ junction;9053296 said:
sijakuelewa

Naomba nifikiliwe jamanii...nina
uwezo wa kufundusha history na
kiswahili olevel..ingawa nmesoma
ba ya journalism..lakini ndani yake
nmesomea hayo kama mwandishi ni
sehemu ya mwalimu hvyo basi
naomba ikionekana kuna nafasi ya
masomo hayo nipo tayari nipo dar.
namba zangu za simu ni
0757533748, 0718780448,
0682284573...nna nilishawahi
kufundisha miezi 8 by the time
nmemaliza form six. na elimu ya
chuo pia nmesoma kiswahili na
history na prinsple of teaching as a
subject ukiacha all packege nyngne
ya journalism.. npo tayarii. ndicho nilichamaanisha mkuu..
 
Habari Wana jf.
Walimu wote walosajiliwa na kufanyiwa usaili na wasofanyiwa.
interview zinaendelea ili wawe tayari kwani order nyingi ni baada ya kufunguliwa kwa shule,i mean baada ya pasaka.
Order za History,Geography,civics,science na mathematics.
kongowe mbagala,mbezi kimara,kimara mwisho na tabata kwa bibi.
Diploma
Graduate
Nursery
0753810857
karibuni
 
achene utapeli na kutaka kutajirikia kupitia migongo ya wafua jasho mnapaswa kutiwa mbaroni na kufungwa kwani nyie ni sawa na wazi wa nguvu kazi za watu
 
achene utapeli na kutaka kutajirikia kupitia migongo ya wafua jasho mnapaswa kutiwa mbaroni na kufungwa kwani nyie ni sawa na wazi wa nguvu kazi za watu

jomy natamani sana kupata ufafanuz kutoka kwako unadhani ni utapeli gani tunafanya?
kwa kumtafutia mwalimu link ya shule au kumkata makato kwa miez mitatu?
huenda hujaelewa au hatujakuelewa?
 

Mkuu uwe makini unakosea sana spelling
 
its ok nakili nimekosea wakuu, ahsanteni kwa kunikosea nitajirekebisha.

Wamekukosea nin tena mkuu? au ulikuwa unamaanisha ahsanteni kwa kunikosoa? du majanga haya, you isn't a professional teacher vinginevyo unaweza kuwa kama yule mwalimu aliyembishia na kumchapa mwanafunzi kuwa luninga haiwashwi kwa remote, bali inawashwa kwa kile kitufe cha kuwashia papo hapo kwenye luninga, kwakuwa ndio luninga pekee aliyowahi kuiona toka azaliwe.Na kitendo cha kukosea spelling kuna badili maana ya maneno mf. ukaandika neno ubaoni na kuambia wanafunzi wasome kwa pamoja neno kum* lakini kumbe nia yako ilikuwa kuandika neno kama.Kuwa makini mkuu.
 

"you isn't a professional teacher" mmmmh
 
"you isn't a professional teacher" mmmmh
ok, nilimaanisha kunikosoa na wala si kunikosea, nadhani hapo sasa nimeeleweka. Ni bahati mbaya na wala si ndicho nilichofikiria kuandika hivyo mlivyoona, naamini kwa marekebisho haya sasa mmenielewa.
 
:flypig::flypig:
 

screen touch hizo.
 
Mwalimu wa English and Kiswah or English and .... or swahil and ...
awe na uzoefu not less than 2yearz teachng experienc.
location.
mbagala.
parkage 700,000/=
nafac 3
mwisho wa order.
08,04,2014.
0753-810857
 
teachers‘ junction;9147098 said:
Mwalimu wa English and Kiswah or English and .... or swahil and ...
awe na uzoefu not less than 2yearz teachng experienc.
location.
mbagala.
parkage 700,000/=
nafac 3
mwisho wa order.
08,04,2014.
0753-810857

Hivi humu jf hawa walimu hawapo?.
tunapata walimu wengine.
please kama kuna mtu unamfahamu hata kama anafanyakaz somwhr especialy in a private school plz mpe hii taarifa.
take home ni 650,000/= to 700,000/=
nafasi zimefika tano tafadhali hebu tokeni huko mafichoni.
0753-810857
 

Yupo mwalimu wa geography/history ana diploma nipo nae hapa...je anafaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…