jehova increases
Member
- Jan 13, 2014
- 19
- 0
Dah! Kwl walimu tupo juu!
kwani nawewe mwalimu?
Mnawalima shingap kwa hizo offer zao?kama sio mnagawana pasu kwa pasu thijui
hayo makato ni kila mwezi au?teachers‘ junction;8546362 said:Huenda unadhani ni hivyo kwa kuwa Kola wazo Lina thamani yake.
Lakini hakuna ukweli.
Tunakata 8-20%.
Karibu
Walimu wa Diploma science name arts kwa Ajili Yale bagamoyo shule Ya primary
450,000/ to 550,000/
Walimu wa awali (nursery)
Tegeta
200,000/ to 300,000/
Form six alosoma physics na math
+255-75381858
Mwisho tarehe 01/02/2014
hayo makato ni kila mwezi au?
teachers junction;8397949 said:Habari wana jf.
Wale walimu wa Chemistry,physics na English interview ni leo St.Amne ya mbezi kimara.
wale wa bagamoyn interview iko kama mlivyoarifiwa.
wale walimu wa kwenda Arusha tutawajuza kesho kama ni tarehe 20th au 21st of january.
walimu wa kwenda chalinze,mbagala kuu na kimara nafasi bado.
pia wanahitajika haraka form six walosoma Pcm,Pcb cbg.
0753-810857
Naomba nitoe ushuhuda mnamo tarehe 30/01/2014 niliona tangazo la hawa jamaa hapa jukwaani kwa kuwa nilikua cna ajira na nnauzoefu wa kufundisha masomo ya sayansi vzuri mana nmemalza kdato cha 6 nkawapgia cm wakaniambia niende na vyeti na passport size 3 na pesa ya uanachama sh 10,000. Nilihisi ni utapeli na kipnd hcho nilikua nimebaki na akiba ya sh 30,000 tu lakn nikajpa moyo ni heri nijarb niibiwe kuliko kukaa 2 cna dira. basi nkaenda na jamaa kesho yake wakanpelek shule ya CENTENNIAL CHRISTIAN SEMINARY kufanya enterview. Namshukuru mungu nilipass na tarehe 4/02/2014 nilianza kazi rasmi kama mwalimu wa Hesabu. Nawashukuru sana Teachers junction na Mungu wa mbinguni kwa kulifanikisha hili. Kwa sasa nimekopa pesa ya kunisogeza koz kuna uhakika mwisho wa mwezi. Naomba nitoe angalizo hapa uwanjani kuna wa2 wanajifanya wajanja na wajuaji wa kila k2 lakn kumbe hawana k2 mana comment zao zilitaka kunikatisha tamaa ila moyo wangu ukanisukuma kujaribna nkafanikiwa. Tafadhar kama unajijua unauwezo na ungependa kufundisha wasiliana na hawa jamaa wako simple n serious na makato yao ni yakawaida sana.
teachers junction;8011417 said:habari wana jf.
Mawakala wa ajira za walimu tanzania "teachers junction" kuanzia sasa tutakuwa tunaweka updatz zetu humu. Hivyo walimu, wasokuwa walimu bali wamewahi kufundisha na wenye nia ya kufundisha. Tunashauri wawe na mazoea ya kupita hapa kila mara ili kujua nini tunacho kwa wakati huo. Pia zingatia kuwa nafasi zitakazotangazwa ni zile zilizopo kwa wakati huo.
Hata hivyo mwalimu anapofanya usajili wakati nafasi yake hakuna atapewa kipaumbele pindi itokeapo kabla ya kutangazwa.
Teachers junction the strength of eduation.
+255753-810857
teachers junction;8620377 said:walimu wa masomo ya biashara kwa Olevel.
Kongowe ya kibaha.
offer
Nyumba
kitanda na godoro
salary not less than 450,000/=
chakula asubh,mchana na ucku.
sifa.
Awe diploma au graduate.
mwenye uzoefu ni mzuri zaidi.
Mwalimu afike kwetu kabla ya jumaatatu 10,02,2014.
+255-753810857