TCU ni kama selection tayari!

Baba Collin

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
456
58
Habari zenyu wana JF?
A%20S%20thumbs_down.gif
Kwa wale 1st aplplicants ni wazi kwamba selection ni kama imetoka kwani tayari 2nd application ipo on.kilicho baki ni watu kujua wamepangwa wapi.kwa wale ambao hawakuchaguliwa ni rahisi kujua kwan utakapokwenda kwenye account yako na kulogi in nenda moja kwa moja kwenye my programs then kama utakuta program zako hazipo na umejibiwa no records found
inamaanisha upo kwenye unsellected upplicants hivyo unatakiwa uombe upya yaani uingize upya new programs ambazo wametoa tayari na idadi ya watu ambao wanahitajika ktk kila chuo pamoja na cut off points.kwa wale ambao watakuta program zao zipo basi hawana haja ya kujaza tena kwani wao ni sellected appliView attachment NewEmptySlot.pdfView attachment NewEmptySlot.pdfView attachment NewEmptySlot.pdfView attachment NewEmptySlot.pdfView attachment NewEmptySlot.pdfcants wasubiri tu kujua wametupwa wapi.naomba kuwasilisha.View attachment NewEmptySlot.pdfView attachment NewEmptySlot.pdf
 
We baba coln acha kurusha wa2 roho,2na wadogo ze2 huku wacje kufa cz of presha bure..
 
Senetor hiyo ni kweli kabisa nimeangalia programmes zangu zipo,za mshikaji pia zilikuwepo ila za mshikaji mwingine hamna,wameandika hivi,NO RECORDS FOUND,click here to add or modify programess,NI KWELI KABISA.
 
We baba coln acha kurusha wa2 roho,2na wadogo ze2 huku wacje kufa cz of presha bure..
<br />
<br />
acha ubishi mkuu.mwambie akacheki program zake kama zpo ujue kaula km hamna mwambie asome tena orodha ya vyuo aombe tena wametoa orodha mpya.
 
Senetor hiyo ni kweli kabisa nimeangalia programmes zangu zipo,za mshikaji pia zilikuwepo ila za mshikaji mwingine hamna,wameandika hivi,NO RECORDS FOUND,click here to add or modify programess,NI KWELI KABISA.
<br />
<br />
haya sasa,mpunguze presha vijana.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
acha ubishi mkuu.mwambie akacheki program zake kama zpo ujue kaula km hamna mwambie asome tena orodha ya vyuo aombe tena wametoa orodha mpya.
<br />
<br />
poa mkuu,ucjali c unajua tena ce wabongo 2shazoea kudanganyana so had m2 uprove mwenyewe.
 
Kweli wabongo ni hatari na ndo mana wakiruka kwenda majuu huwa hawarudi,umefikiria vizuri lkn sikusupport hadi nikacheki za kwangu.
 
Mzazi we mkali jus thanx
Habari zenyu wana JF?<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20thumbs_down.gif" border="0" alt="" />Kwa wale 1st aplplicants ni wazi kwamba selection ni kama imetoka kwani tayari 2nd application ipo on.kilicho baki ni watu kujua wamepangwa wapi.kwa wale ambao hawakuchaguliwa ni rahisi kujua kwan utakapokwenda kwenye account yako na kulogi in nenda moja kwa moja kwenye my programs then kama utakuta program zako hazipo na umejibiwa no <i>records found</i><br />
inamaanisha upo kwenye unsellected upplicants hivyo unatakiwa uombe upya yaani uingize upya new programs ambazo wametoa tayari na idadi ya watu ambao wanahitajika ktk kila chuo pamoja na cut off points.kwa wale ambao watakuta program zao zipo basi hawana haja ya kujaza tena kwani wao ni sellected appli<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" />cants wasubiri tu kujua wametupwa wapi.naomba kuwasilisha.<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" />
<br />
<br />
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
poa mkuu,ucjali c unajua tena ce wabongo 2shazoea kudanganyana so had m2 uprove mwenyewe.
<br />
<br />
Kweli TCU ni waajabu sana,wametudanganya waTz kwamba wangetoa selection mapema lakini hali,tunatakiwa kuchukua hatua tutaendelea kudanganywa mpaka lini?tulio wengi hatuna uwezo wa kuwasaidia watoto wetu kwaajili ya maandalizi kujiunga papo kwa hapo,tunahitaji muda kozi walizochaguliwa pamoja vyuo na viwango vya fedha zinazohitajika.vinginevyo TCU hamtutendei haki.
 
Duh, asante mkuu kwa kutujulisha hilo. Nimeamini watu wananjia nyingi za kujikimu na usumbufu wa maisha. Nimekuta program zangu zipo na nikitaka kuedit wanakataa wanasema first round imeshafungwa.
 
Mi program zipo lakin source of information kuwa zikiwepo umechaguliwa znapatikana wapi?
 
BINGO....

Habari zenyu wana JF?<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20thumbs_down.gif" border="0" alt="" />Kwa wale 1st aplplicants ni wazi kwamba selection ni kama imetoka kwani tayari 2nd application ipo on.kilicho baki ni watu kujua wamepangwa wapi.kwa wale ambao hawakuchaguliwa ni rahisi kujua kwan utakapokwenda kwenye account yako na kulogi in nenda moja kwa moja kwenye my programs then kama utakuta program zako hazipo na umejibiwa no <i>records found</i><br />
inamaanisha upo kwenye unsellected upplicants hivyo unatakiwa uombe upya yaani uingize upya new programs ambazo wametoa tayari na idadi ya watu ambao wanahitajika ktk kila chuo pamoja na cut off points.kwa wale ambao watakuta program zao zipo basi hawana haja ya kujaza tena kwani wao ni sellected appli<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" />cants wasubiri tu kujua wametupwa wapi.naomba kuwasilisha.<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&amp;stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" />
<br />
<br />
 
Duh nimeamini kuwa hapa ndo mahala watu wanapoumiza maubongo yao. Hongera kaka tena saaaana.
Mi program zangu zipo na naaamini kuwa nimechaguliwa. Tusubiri tu kwamba tumetupwa wapi.

Wabongo nasi twaweza bhana. Alaaah!
 
Back
Top Bottom