RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 340
- 119
hata mim hilo tatizo lilinikumba jana ila bado cjajua tatzo
duh! ngoja tujaribu leo tuone itakuwaje
hata mim hilo tatizo lilinikumba jana ila bado cjajua tatzo
ukiona vocha namba inakataa jaribu kuingiza ile namba ya udhibitisho wa muamala uliyotumiwa na mtandao husika
kwani wewe umeshaigiza hio na ikakubali?
angalia kwenywe website yao, Higher Education Students' Loans Board -HESLB.na je vp kuhusu mkopo muda umeisha au bado
ukiona vocha namba inakataa jaribu kuingiza ile namba ya udhibitisho wa muamala uliyotumiwa na mtandao husika
Nhata mm jana iligoma bt leo imekubali,hakikisha capital letter na small letter pia usichanganye.pia usichanganye zero na O.
jmn deadline ya diploma kwenda degree n ln ya kujiandksha[/QUOTE
31.07.2015
N
isaidie kwa hili bwana: Kijana wangu amepata physics B, chemistry B+ biology B+. akijaza UDM medicine inakataa kuwa point ni 5 zinazohitajika (system inasema yeye ana 4 wakati sio kweli). Vyuo vyote vingine vimekubali. anataka kujaza Muhimbili, CUHAS na Udom. Please help
Labda imekuwa kimeo leo tu. Yaani ni shida tupu. Sasa bora na hizo simu zao zingekuwa zinapatikana ili nijue tatizo ni nini?Pole sana lakini me nimemwombea Mdogo wangu wala haijasumbua Na ilinichukua kati ya dakika 10 mpaka 20 kuwa nimemaliza.