TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Hivi na hao wanafunzi waliomaliza form six mwaka huu wakachaguliwa kwenda JKT wataaaply vyuo lini??
 
Duuh haya mambo usipokuwa makini muda unaisha bila kujua.
Maana my young sis ameambiwa mwisho wa mwezi August ndio mwisho sasa lipi kweli.
Mkuu iyo taarifa yako ipo na source yoyote unipe nikashuhudiee?


Watu wanaoaply wenye diploma zao mwisho ilikua tar18.7.2015 wameongezewa mpaka tar 2.august hao waliotoka direct form six ndio mwisho wa mwezi huu deadline yao
 
Nami pia nina Ndugu yangu amepatwa na tatizo kama lako na akiwapigia nacte wanasema tatizo liko kwa watu wa voda voda nao wakipigiwa wanasema tatizo liko kwa nacte sijui tutafanyaje......muda Wameongeza mpaka tar 2.august

Sasa hapo si ni hatari mie mpaka leo bado sijajua nafanyaje
 
Hv kuna dogo kaaply sas ana ka wiki, akilog in anaktana na notifctn kuw aconfrm kuw atachgliw popot ktka prog zake alizioomb kulngna na compettion ya wat ktk vyuo ,,sa naulia NOTIFICATION HII HUW NI YA KAWAID NA HUTUMIW KL MT KTK PROFILE YAKE??
 
Habari wanajamvi,

Wakati nafanya registration kwa ajili ya maombi ya kujiunga chuo wakati nipo kwenye process server imeshindwa kutoa matokeo yangu ya A level.

Sijafahamu tatizo lipo wapi inawezekana NECTA database haijawa loaded na matokeo yangu hayo?Msaada kwa mwenye uelewa kwani nikifika eneo hilo la profile yangu haitoi matokeo ya A level.

Naomba niweze kukamilisha usajili ili nitume maombi.

Asante
 
Kama upo dar nenda Tcu na necta ktk ofis zao,watarekebisha, iwapo hali itaendelea kuwa hivohivo. MUNGU AKUTANGULIE KATIKA APPLICATION ZAKO.
 
Watumie e-mail na upige,simu pia nilikua na ilo tatizo nikawatumia number za mitihan yangu wakanirekebishia na kunipa password mpya nikaweza kuendelea na usajili

Wanapatikana saa 2:30 asubuhi
Kila raheli mkuu
 
Itakuwa kuna tatizo tu,mbona mimi yangu yametokea ya Advance Na O-Level
 
Nenda ofsn kwao! kama uko mbal. ni PM. lakn usinidanganye! niki ku-TRACE! nikjua unadanganya! INAKULA KWAKO vjna hudai.
 
umeshaclick ile sehemu ya chin kulia inayosomeka form 6 results?, manake kabla ya kuclick pale unapoenda tu kwenye view results yanaonekana ya o-level tu. Kama tayari na bado, watafute?
 
wakuu jana mida ya jioni nilikuwa nimeanza mchakato wa kuapply chuo kwa CAS kama form 6 lakin baada ya kutuma ile 50000 nilitumiwa vocha ila kila nikifanya registration inaandika TRANSACTION IS NOT VALID wakanambia nijarb baada ya saa 1 lkn bado ikagoma hvohvo! naomba msaada tafadhali kwa wenye uzoefu!
 
jaribu leo kuanzia mida ya sita mchana , inawezekana jana ilisumbua kwa sababu ya weekend !
 
Back
Top Bottom