gilaibomba
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 352
- 92
Dah inahuzunisha kwakweli yaani hii nchi kila kitu ni Shida nimewapigia watu wa Tigo wamesema pesa imeshapokelewa na T.C.U. haiko kwenye milki yao na wamesema ni ngumu .
Wandungu inatia uchungu namna gani.....Wajameni TUSAIDIENI kupiga kelele haya madhila yatokomee.Kama upo Dar nakushauri ingia TCU kwa upole na unyenyekevu wafanye mambi zao manualy.