TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Hivi inachukua muda gani mpaka kupata voucher numbers ikiwa utalipia kwa tigopesa, maana mm nimelipa tokea asubuhi ya Leo lakini mpaka muda huu bado cjaletewa codes za tcu...nimewapigia Tigo wameniambia hela tayari imeshaenda TCU...lakini bado cjapata sms kutoka TCU
 
Hivi inachukua muda gani mpaka kupata voucher numbers ikiwa utalipia kwa tigopesa, maana mm nimelipa tokea asubuhi ya Leo lakini mpaka muda huu bado cjaletewa codes za tcu...nimewapigia Tigo wameniambia hela tayari imeshaenda TCU...lakini bado cjapata sms kutoka TCU
Utaipata kua mpole ,nakumbuka kipindi tunafanya application kuna raia walikua wanapata code hata baada ya siku 2.
 
Dah! Inataka uvumilivu sana maana dogo ashaanza kunitia tafrani..ananiambia nimpe hela nyengine... Duh kichwa kinauma...sawa
 
Naomba kuuliza, mimi nina diploma, nataka kujiunga Open University of Tanzania. Je naweza kwenda kufanya registration pale ofisini kwao?.
 
poa poa mkuu

mkuu naomba ufafanuzi wako kuhusu madogo waliomaliza o level,kwa mfano mdogo wng kamaliza o level 2013 nataka nimuombee nafasi ktk vyuo vya afya au vya elimu km nacte wanavyotaka ila sijajua km nimeshachelewa kufanya maombi n if not deadline ni lini?nimeingia kwenye website ya nacte several times lakini sijaona hilo.....nitashukuru kama utanisaidia hilo
 
mkuu naomba ufafanuzi wako kuhusu madogo waliomaliza o level,kwa mfano mdogo wng kamaliza o level 2013 nataka nimuombee nafasi ktk vyuo vya afya au vya elimu km nacte wanavyotaka ila sijajua km nimeshachelewa kufanya maombi n if not deadline ni lini?nimeingia kwenye website ya nacte several times lakini sijaona hilo.....nitashukuru kama utanisaidia hilo

kibol hujachelewa sababu deadline ni tarehe 18 july 2015 kwa mujibu wa Central Admission System ya NACTE kwa hiyo cha kufanya ingia web ya nacte then nenda kwenye sehemu ya Central Admission System utaona kila kitu qualifikiation na deadline.
 
Last edited by a moderator:
kibol hujachelewa sababu deadline ni tarehe 18 july 2015 kwa mujibu wa Central Admission System ya NACTE kwa hiyo cha kufanya ingia web ya nacte then nenda kwenye sehemu ya Central Admission System utaona kila kitu qualifikiation na deadline.

mkuu thanks a lot for help,God bless you
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Leo Nina siku ya tano tokea nifanye malipo ya elfu hamsini kwenda TCU kupitia tigopesa lakini cjatumiwa voucher numbers na tcu...naomba mnishauri maana nishakua naogopa, nikiwapigia Tigo wananambia tatizo langu watalishuhulikia nisubiri 24hrs.. Ila sioni chochote hadi Leo
 
Duh hatimae wapendwa nimefanikiwa... Nimewapigia tcu wakanielekeza kwamba nitumie ile namba ya muamala walionitumia Tigo... Na nimefanikiwa
 
Duh hatimae wapendwa nimefanikiwa... Nimewapigia tcu wakanielekeza kwamba nitumie ile namba ya muamala walionitumia Tigo... Na nimefanikiwa

Nlikua na tatizo kama hilo kwa mtu wangu wa karibu nikajaribu kuingiza zile namba za muamala ikakubali bila shurba,kudos mdau!
 
Ndg za msichekelee kumaliza form six bali mje kufurahia chuo gani umeenda plzz and plz msijaze chuo cha x joseph arusha hakitabuliwi na serkali bali ni walalushwa na wanakijua akina pinda na wenzie
 
Duh hatimae wapendwa nimefanikiwa... Nimewapigia tcu wakanielekeza kwamba nitumie ile namba ya muamala walionitumia Tigo... Na nimefanikiwa

mkuu nataka kutuma pesa tcu kupitia tigo lakin cjui unachagua ipi kat ya zoop au ict digital school. msaada tafadhal
 
mkuu nataka kutuma pesa tcu kupitia tigo lakin cjui unachagua ipi kat ya zoop au ict digital school. msaada tafadhal

Huko ulikoenda sio mkuu,chagua sehemu wameandika ingiza namba ya kampuni ambayo ni 240077 kisha reference number 123456.
 
Natumaini mu wazima wana jf, nimefungua thread hii ili iweze kuwasaidia wale wote wanaofanya application vyuo vikuu mbalimbali nchini, pia maswali mbalimbali yanaweza ulizwa hapa.

Payment Details (Non-refundable):
Note: Payment Instructions: Please follow the steps below to pay through M-Pesa:
1. Dial *150*00#
2. Select 4. Payments
3. Select 4. Enter business number
4. Enter the business number (607070)
5. Enter reference number. (1234)
6. Enter Amount (e.g. 50,000/=)
7. Enter PIN
8. Press 1 to Confirm:
After confirmation you will receive a message from Vodacom (e.g. "BA54KP432 confirmed. Tshs. 50,000 sent to business NACTE for account 1234 on 14/4/14 at 2:33 PM New M-Pesa balance is Tshs 200").
*Use the confirmation code at the beginning of the message to enter on Payment Details - M-Pesa Confirmation Code box.



10. How to apply
Applications shall be done through Internet. Applicants should not submit their applications to TCU or NACTE by e-mail, fax, or deliver them in person.
NB: Applicants should ensure that they have paid the application fee through prescribed procedures before starting application.
10.1. Instructions on How to Apply Using the Central Admission System (CAS)
a) Introduction
Four groups of applicants can apply for admission into Higher Education Institutions (Universities and Colleges) as follows:
- Recognition of Prior Learning (RPL) applicants
- Form Six Leavers who sat for NECTA Examinations
- Form Six Leavers who sat for Examinations of Other Foreign Examining Boards (Holders of Foreign Certificates either O-Level, A-Level or Both)
- FTC or Diploma holders from colleges and Institutions under NACTE
Each of these types of applicants has a different route of application as explained hereunder. Kindly read carefully and follow instructions.
b) Before you apply
Holders of Foreign certificates from other examination Boards different from NECTA should first present their certificates to National Examination Council (NECTA) for verification. They will in turn be given letters showing NECTA Equivalent grades. The equivalent letters and certified copies of certificates should then be presented to TCU for application approval. This step should be done before they make any payment.
Form Six applicants (both NECTA and Non NECTA) , are required to pay a non-refundable application fee of TZS 50,000/= through Maxmalipo paypoints, Mpesa, Tigo pesa, Airtel Money or Zpesa to TCU. (See how to pay)
After the payment is received, you will receive via short message service (SMS) a payment transaction ID which you must enter in the system when registering online as proof of payment.
c) Information Requirements
After you have paid the required application fee, make sure you have the following information before you start the application process
Form Six applicants (NECTA) Information
1. Payment Transaction ID
2. Form Four Index Number in the format S0101/0002/2015 or P4003/0200/2013
3. Postal Address, E-mail Address, Mobile number, District of domicile, Date of Birth and National ID number (if available),
4. Form Six Index Number in the same format as Form Four above
5. In case you re-sat Form Four or Form Six Examinations, then the Index Numbers for the resit(s) will be needed
Undergraduate Admissions Guidebook for Higher Education Institutions in Tanzania
12
Form Six applicants (Non NECTA) Information
1. Payment Transaction ID
2. Certified copies of NECTA equivalence letter and your foreign certificates presented to TCU for entry of the information into the system and for record purposes
3. Form Four Index (or Exam) number exactly as appearing on your foreign certificates including the year of the examination e.g. S0101/0002/2015 or P4003/0200/2013
4. Postal Address, E-mail address, Mobile number, District of domicile, Date of Birth and National ID number (if available),
5. Form Six Index (or Exam) number (exactly as appearing on your foreign certificates including the year of the examination),
6. In case you re-sat Form Four or Form Six Examinations, then the Index Numbers for the resit(s) will be needed
d) How to Apply Step by Step Form Six Applicants (both NECTA and Non NECTA)
1. Go to TCU website (Home - Tanzania Commission for Universities) and click on CAS link. The Central Admission System will open. (Alternatively go directly to TCU CAS | Home and follow a - d below)
2. Click on “F6 and Foreign Certs Registration” link to register.
a) Enter your Form Four Index Number and the Year of Completion (as per indicated format) and Password (You need to create your own password and make sure it is simple enough to remember)
b) Select applicant category
c) Enter payment ID (This is the number you have received after you have made a payment through proposed mode of payment)
d) Click “Submit” button
NB: Your examination results and some personal particulars will be automatically fetched from NECTA database
3. After successful registration, on your left a menu will show your application progress. Finish the process by entering “Additional Details” such as Nationality, Postal Address, Form Six Index Number, District of domicile, Date of Birth, Mobile Number, Email Address and National ID (If available).
4. You are strongly advised to setup a secret question and answer to be used later should you forget your password.
5. If you don’t have three (3) O-level credits, on your right menu, you can “Add O-Level seat” (Form Four exam reseat Index Number). Likewise, if you don’t have Two (2) A-level passes, on your right menu, you can “Add A-Level seat” (Form Six exam reseat Index Number).
6. The system provides you with links to view your O-level and A-level results and review information contained in your profile.
Undergraduate Admissions Guidebook for Higher Education Institutions in Tanzania
13
7. On the left hand side menu, the last link provides links that will enable you to edit your personal information such as Date of Birth, District of Domicile, Health Condition, Mobile Number, Email Address and Postal Address.
8. After you are registered and you have provided additional details, the system will validate your profile by:-
i) Comparing O-level and A-level names
ii) Check if you have three (3) O-level credits (C grade or above)
iii) Check if you have two (2) A-level passes (grade D or above for graduates of 2014 or later and grade E or above for graduates of 2013 or earlier )
9. Programme Selection
i) If there is no problem in your registration, the system will automatically advance you to degree programme selection page. (For RPL applicants, this will happen after you have sat and pass RPL examinations and results have been uploaded into the system)
ii) Each Form Six applicant (both NECTA and non NECTA) MUST select at least Three (3) programmes and at most Five (5) degree programmes.
iii) The maximum number of programmes one can select from same institution is Two (2) degree


 Tanzania Commission for Universities (TCU)
P.O. Box 6562, Dar es Salaam, Tanzania
Tel. +255-22-2772657; Fax +255-22-2772891
E-mail: admission@tcu.go.tz or dad@tcu.go.tz; Website: www.tcu.go.tz
Hotline Numbers: +255 757 593868, +255 757 594087, +255 656 596822 and +255 682 544832
Physical Address: Garden Road, Mikocheni Area, Dar es Salaam

Habari mkuu,naomba msaada kwako jana nlikuwa namsaidia mdogo wangu kuapply chuo,yeye alisoma diploma ya coz ya afya sasa anataka kujiunga na chuo kwa coz hyohyo,tulilipia tcu ile 50000 na tukarudishiwa ile comfirmation namba,sasa tukaanza registration kwenye ile category ya ftc,diploma na equivalents,sasa kwenye kuingiza ile comfirmation namba inaniambia error,wrong confirmation number!!! Nifanyeje wadau,msaada plz mwenye ufahamu zaidi
 
habari mkuu,naomba msaada kwako jana nlikuwa namsaidia mdogo wangu kuapply chuo,yeye alisoma diploma ya coz ya afya sasa anataka kujiunga na chuo kwa coz hyohyo,tulilipia tcu ile 50000 na tukarudishiwa ile comfirmation namba,sasa tukaanza registration kwenye ile category ya ftc,diploma na equivalents,sasa kwenye kuingiza ile comfirmation namba inaniambia error,wrong confirmation number!!! Nifanyeje wadau,msaada plz mwenye ufahamu zaidi

kama diploma lazima apitie nacte
 
Wadau kama ulikosea ukatuma 50000 tcu njoo inbox/message mimi nina nacte(diploma) hakikisha msg yako mpesa au tigo pesa yako ina neno tcu yangu ina nacte
 
habari mkuu,naomba msaada kwako jana nlikuwa namsaidia mdogo wangu kuapply chuo,yeye alisoma diploma ya coz ya afya sasa anataka kujiunga na chuo kwa coz hyohyo,tulilipia tcu ile 50000 na tukarudishiwa ile comfirmation namba,sasa tukaanza registration kwenye ile category ya ftc,diploma na equivalents,sasa kwenye kuingiza ile comfirmation namba inaniambia error,wrong confirmation number!!! Nifanyeje wadau,msaada plz mwenye ufahamu zaidi

lazima apitie nacte njoo inbox tubadilishane nina ya nacte nilikosea
 
Back
Top Bottom