RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 340
- 119
vp wadau kutakuwa na 4th selection? coz mm mwenywe ni.mhanga wa third selection
probably itakuwepo lkn kuna mdau albambia ukikosa hii 3rd round unaletewa sugestion za slots ambazo hazjajaa uchague moja
vp wadau kutakuwa na 4th selection? coz mm mwenywe ni.mhanga wa third selection
Kwenye peofile ya nacte means no action thar means your qualifications are totally conplete
niliandikiwa ivyo na nilipata first selection .
Dada, humu JF unatakiwa uwe makini unapoweka information zako. Unaweza ukakuta kila kitu kinakuwa hadharani na hata kama umetumia ID, inakuwa haina maana tena. Ona sasa, kila mtu anajua kuwa wewe unaitwa Happiness Godfrey, ulisoma A leve pale Bagamoyo Secondary School, ukapata Division III ya 16 mwaka 2012 na uliscore SSD katika combination yako ya PCM, ukaenda chuo cha Ualimu Monduli na sasa umeapply chuo kupitia equivalent qualification, yaani diploma yako ya ualimu.Hiv neno NA linamaana gani?
Dada, humu JF unatakiwa uwe makini unapoweka information zako. Unaweza ukakuta kila kitu kinakuwa hadharani na hata kama umetumia ID, inakuwa haina maana tena. Ona sasa, kila mtu anajua kuwa wewe unaitwa Happiness Godfrey, ulisoma A leve pale Bagamoyo Secondary School, ukapata Division III ya 16 mwaka 2012 na uliscore SSD katika combination yako ya PCM, ukaenda chuo cha Ualimu Monduli na sasa umeapply chuo kupitia equivalent qualification, yaani diploma yako ya ualimu.
Siku nyingine uwe makini
Mm wananishangaza sana dit wametoa majna ya undergraduate ila 4m6 levers ni wadogo sana ukilinganisha na dip levers lakn MUST wao vise versa na dit alafu ATC wao majna yao yote ni dip levers hakuna hata 1 ambaye ni 4m6 levers,,,,, kulekebishwa naruhusu
Toa MUST,weka NIT na WDMI.
Kuiondoa must kwa vigezo gani
Kwa kawaida kila mwamba ngoma nafikiri unaelewa. ukitaka majibu sahihi angalau fanya utafiti kwa waajiri na makampuni binafsi ukweli utaujua tu.Tatzo humu ndan ckuhz watu wanaendekeza sana ushabki & mapenzi yao hawapend kuongea ukwel ili tusaidiane maana kuna wa2 humu huwa tunautumia ushaur tunaoupata humu sasa mapenzi yakzd kwa unachokipenda tutakuja kupotezana wakuu,,, TUWE WAKWELI ILI TUFAIDIKE NA MTANDAO HUU
Na Mimi Nashangaa Cjui Katumia Vgezo Gani Mkuu..Embu Atuambie
Ukiona Info na capacity zako zmebadilika jua umeshachaguliwa!!!! xo be waiting.............
What!!? Mbona kilakitu kimechange wkt nilikua selected!?
xo waitng........ my brooo