TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

daaaah kwa hyo mnashaurije wakuu coz ikisoma zero hata ukiitoa au?

We jamaa acha hizo mambo! Unaeza remove chuo ulichochaguliwa hivi hivi kizembe

Chuo kikishaandika zero hata kule kwenye slot kinapotea (kinaji hide automatic) kwasababu kimeshajaa,
Mara ya kwanza slot zilikuwa 489,mara ya mwishi mm kuangalia zlikuwa zmebaki 460 na coure ya (civil must) ilikuwa imeshajihide ila ukiangalia kwenye profile kwa wale waliokuwa wameiwahi ilikuwa inasoma zero
Sasa ww utajuaje kama ni miongoni mwa waliochaguliwa au co? Na kwenye slot haipo
 
wakuu najua nyuzi za 3rd round zpo nyingi ila nimewiwa kuanzisha uzi huu rasmi kwa sababu nilizoztaja kwenye heading.
kwa kuanza mm nina haya mawili ya kutaka kujua kutoka kwenu:
1. website ya tcu inasumbua kufunguka au 'server not found' ni kwangu tu?!
2. baadhi ya faculty kupungua capacity au kusoma 0 inaashiria nini?!
.... Wadau kuna nafasi za udaktar zilizobak? Yaan doctor of Medicine (MD),,,
pia kama kuna Coz ya afya nyingine,,, nina mtu anataka alipie a apply for the first time,,, na mwisho wa application ni lini? Asante
 
.... Wadau kuna nafasi za udaktar zilizobak? Yaan doctor of Medicine (MD),,,
pia kama kuna Coz ya afya nyingine,,, nina mtu anataka alipie a apply for the first time,,, na mwisho wa application ni lini? Asante

Ndio zpo mkuu, za muhimbili
 
Kama yupo sawa na amesema ukiona capacity ni zero that means chuo kimejaa na wewe applicant ukiwemo what if capacity ikiwa zero kwenye zaidi ya chuo kimoja maana yake umechaguliwa kwenye chuo zaidi ya kimoja?

Sidhani kama ni kweli hiyo concept yake kwa simple reasoning tu
usiwe kama sisiemu wewe...kama ikitokea ktk faculty 5 zote zinasoma 0 wewe lazima utakuwa katika mojawapo,sijasema et utakuwa umechaguliwa zote maana hzo zingne ztakuwa zimejazwa na wa2 wengne,ila kwakua hatujui umechaguliwa wapi ndyo maana nikasema vle kwamba ktk hyo capacity 0 huenda wewe umo ktk mojawapo..hebu uwe unasugua akili kwa kujiongeza,kama huamini ngoja nikuitie JUMA NYOSSO nafikiri ana ufafanuzi mzuri kwako.
 
jamani wale wa 3rd round mtandao wa cas uko pouwa zama uone hizo changes pia kwa ushauri zile prgrmes zenye capacity zero ni bora MTU ukabadilisha kabla ya deadline haija fika
 
Jamani mie mbona ya dogo langu course moja tu ndo inasoma 0 but others zina slots zile zile hata hazibadiliki...hapo kuna maana gn hata sielewi jmn..msaada plz
 
Poa mkuu,, ngoja nimwambie afanye application chap,,,

From today zilizopo ambazo naona zinayo mkopo ni hizi hapa (nyingine zmejihide nafikiri,kwasababu hazionekani kama mara ya kwanza nilipoziona)

Kampala university
KUC15
Bachelor of medical and bachelor of surgery (chirugie)
173 remaining capacity
4.5 minimum point
2600,000 tution fee
5.5 years (duration)

Muhimbili university of health and allied science
Bachelor of pharmacy
8 remain capacity
7 minimum point
1600,000 tution fee
4 years (duration)

Kilimanjaro christian medical college
KC005
Bachelor of science in nursing
23 remain capacity
4.5 minimum point
2600,000 tution fee
4 years (duration)

Nafahamu anahitaji MD ila kwa sasa hzo ndio za afya zilizobaki
Nyingine ni moja hv ipo muhimbili ya mambo ya laboratory miaka 3 na haina mkopo,

akijiongeza pia anaweza chukua hata hayo ma pharmacy hvyo hvyo atachange mbele kwa mbele

Nawasilisha
 
mbona mimi niko sahivi mtandaon na TCU imefunguka.Nimemjazia dogo langu Bacherol of pharmacy muhimbili na capacity imeandika 8 hapo inakuwa vp wakuu.
 
mbona mimi niko sahivi mtandaon na TCU imefunguka.Nimemjazia dogo langu Bacherol of pharmacy muhimbili na capacity imeandika 8 hapo inakuwa vp wakuu.

mtandao wa tcu ulkaa sawa masaa meng yaliopita mkuu.... au kuna tatizo lingine?!
 
mbona mimi niko sahivi mtandaon na TCU imefunguka.Nimemjazia dogo langu Bacherol of pharmacy muhimbili na capacity imeandika 8 hapo inakuwa vp wakuu.

Mkuu hi co first come first serve ndio maana haibadiliki,hapo mnaeza kuwa kama 200 hv mliochaguwa,

Ila napata wasiwasi kidogo kwa ripoti niliyopata ya baadhi ya watu waliochaguwa 3rd round kupata nafasi, inaleta picha kwamba,wakat tcu imezinguwa kufunguka ndio huwo mchakato ulikuwa unafanyika, hvyo waliyoona mabadiliko kwenye page zao kusoma zero means wamekosa nafac kwenye hvyo vyuo na hzo slot zlzobaki ambazo hazjaguswa means ikistaki kesho 14/10 ndio watakapopambanishwa?

Nipo sahihi kweli kwa nilichokifikiri?

Mfano kwa slot ya mechanics & electric ya must nani aliyeichaguwa kuwa first priority kwenye choice zake, coz zenyewe ndio naona kama hazijabadilika kabsa
 
Back
Top Bottom