TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

me nimetumiwa na chuo sms ya kwenda kuchukua join kwa hyo hata ikibadilika profile haina shida kwa sababu nimeshachaguliwa. kwa wale walio bado subirini udahili umefungwa kwa hyo kinachofuata kila atakaeona chochote kwenye profile yake basi ndo haki yake

usiwakatshe tamaa watu ndgu
 
tumeni picha za mabadilko tzione msiwe mnalalamika tu xo mie iko kawaida tu
 
ivi wakuu profile kukuonyesha negative na zero alafu zingine ziko vile vile nini maana yake hii????
 
hii ya -ve na 0 cjaelewa vzur maana hata mm manzon nlijaza civil eng ya must ilkuwa na slots 33 nashangaa gafla inasoma 0 nkairemove na ikapotea mazmaa
 
Nilikuwaselected nacte kwenda chuo cha
NIT. NIT walipotoa majina na jina langu
nililiona lipo,sasa leo nimeingia nakuta
wametoa majina mengine na jina langu
halipo.nini kimetokea jamani? au ndo
nimekatwa? Na nikiingia kwenye profile yangu nakuta message hii "You have current chosen the following programme(s)". Sasa nikitu gani kinaendelea, au mimi hku nifanyaje jamani naombeni ufafanuzi na ushauri
 
Nilikuwaselected nacte kwenda chuo cha
NIT. NIT walipotoa majina na jina langu
nililiona lipo,sasa leo nimeingia nakuta
wametoa majina mengine na jina langu
halipo.nini kimetokea jamani? au ndo
nimekatwa? Na nikiingia kwenye profile yangu nakuta message hii "You have current chosen the following programme(s)". Sasa nikitu gani kinaendelea, au mimi hku nifanyaje jamani naombeni ufafanuzi na ushauri

umesha kuwa selected just wait......
 
umesha kuwa selected just wait......

kipus we haujui kama mda umesha kwisha hadi sasa, vyuo vina hitaji maandaliz pia na bodi ya mkopo taarifa zetu watapata lini kama shughul yenyewe ndo hii ya kuendelea kusubiriii tyu kila wakat na je uchaguz mwak huu usinge kuwepo hii hali c wanafunzi wote tungebaki mwaka huu nyumbani maana vyuo vingekuwa tayari vimesha funguliwa ingali wengine hata hatuja chaguliwa.
Yani kipindi iki taasisi za kudahili wanafunzi wamekuwa wazembe kupitiliza kutokana na kujiona wako na mda mwingi wa kufanya kazi.
 
So leo wanaweza wakaachia hy majna ya 3rd round maana nna ndugu yangu had anatia huruma
 
chuo ulichochaguliwa mwanzo ndo hicho hicho utakachopelekwa cha msingi ni kuandaa ada na mambo mengine.Kama ulichaguliwa NIT first batch download ile pdf ya first batch,ile iliyotoka jana au juzi inawahausu watu wa second na third tu
 
kipus we haujui kama mda umesha kwisha hadi sasa, vyuo vina hitaji maandaliz pia na bodi ya mkopo taarifa zetu watapata lini kama shughul yenyewe ndo hii ya kuendelea kusubiriii tyu kila wakat na je uchaguz mwak huu usinge kuwepo hii hali c wanafunzi wote tungebaki mwaka huu nyumbani maana vyuo vingekuwa tayari vimesha funguliwa ingali wengine hata hatuja chaguliwa.
Yani kipindi iki taasisi za kudahili wanafunzi wamekuwa wazembe kupitiliza kutokana na kujiona wako na mda mwingi wa kufanya kazi.

sahau mkopo ww jipange kwani ulikuwa hujui kama mwaka huu unatakiwa kwenda shule nacte&heslb wanaamin ww unajira na utajsomesha.
 
umesha kuwa selected just wait......

sasa na chuo kipi ndugu. kama chuo nilichokuwa selected ni NIT,na walivyotoa first banch jina langu lilikuwe ila juzu NIT wametoa second na third banch jina langu halipo?
 
Back
Top Bottom