kipusi
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 443
- 75
me nimetumiwa na chuo sms ya kwenda kuchukua join kwa hyo hata ikibadilika profile haina shida kwa sababu nimeshachaguliwa. kwa wale walio bado subirini udahili umefungwa kwa hyo kinachofuata kila atakaeona chochote kwenye profile yake basi ndo haki yake
usiwakatshe tamaa watu ndgu