huku ndo mnapitia mliofeli form four?
we unagongwa kwel, we unadhan xote tumefel 4m 4, kwa taarifa yako wengne 2na div one na two, *** u!!
Ukiona Info zako na capacity zako zmebadilika jua umeshachaguliwa!!!! xo be waiting.............afu leo ndo deadline 16.10.2015 saa 11.59 PM.
Kuiondoa must kwa vigezo gani
Imeshakua University na sio Institute
But hajaspecify
Mm wananishangaza sana dit wametoa majna ya undergraduate ila 4m6 levers ni wadogo sana ukilinganisha na dip levers lakn MUST wao vise versa na dit alafu ATC wao majna yao yote ni dip levers hakuna hata 1 ambaye ni 4m6 levers,,,,, kulekebishwa naruhusu
We ka nani? Utakuwa. Una pumuliwa kisogoni,
Kila aliyekuwa selected .mambo yamerudi upya .na hakuna tena cha selected .na sjui kwanni ?? Ila kesho jumamosi ..ngonja tuwasubiri jumatatu
we unagongwa kwel, we unadhan xote tumefel 4m 4, kwa taarifa yako wengne 2na div one na two, *** u!!
huu usengere...... naingia profile kama ndo naanza application,
Degree za kike coet
me nimetumiwa na chuo sms ya kwenda kuchukua join kwa hyo hata ikibadilika profile haina shida kwa sababu nimeshachaguliwa. kwa wale walio bado subirini udahili umefungwa kwa hyo kinachofuata kila atakaeona chochote kwenye profile yake basi ndo haki yake
Yah Coet degree za kike ndio,huwez linganisha Bachelor of Engineering in Civil engineering ya Dit na Bachelor of Science in Civil engineering ya Coet.