TCU na Kozi za Udakitari

TCU na Kozi za Udakitari

....jaribu kuomba chuo ambacho kina kozi unayotaka ukifika hapo uombe kubadilisha...hope utafanikiwa....bt n vzur hta ukikataliwa md njoo coz nyingne kama bpharm, lab, nursng, dentst, na nyinginezo...poa jaribu vyuo vyetu walivoviita vya viraza kama cuhas, kcmc,imtu, st.francs n.k.....hope utafanikiwa...bt ikishindikana zaid bas anzia diploma ya pharmacy au lab then mbelen utajiendeleza....n hayo tu boy...
 
hv coz nyingne uwez kuomba mtoa mada mpaka udaktari mbona education wangekuchukua asubui kabsa fikria kabla ya kutenda
 
Vuta subira kijana na sisi mwaka Jana tulinyimwa kama wewe tukakaa nyumbani mwaka mzima.
Nmeaply muhas na nmechaguliwa hapo.
Now be patients waiting for next year.
Usihofie kupitwa ilimradi muda usikuache.!!
 
Hiyo kazi unapataje bila kufaulu ,tena kufaulu sanaa, acheni kumshauri Dogo ujinga, mwambieni ukweli kuwa Medicine hasa Muhas haihtaji vilaza ,kwa matokeo yake hayo dogo alibugi, narudia tena ,watanzania wengi hatupendi kuambiwa ukweli, a guy he is not suitable and fit kwa chuo kama Muhas

You dont sound like a medical student...hata kubishana na ww ni kazi bure....!!!
 
Wadau nataka kujua TCU wametumia vigezo gani kuwapata hawa au mwaka huu wanaosoma kizi hii ni distinction pekee? Wadau inaniuma sana nina merit lakini mpaka leo TCU hawajanichagua.

Kuna MTU yeyote mwenye. Merit au credit aliyechaguliwa? Wadau nipo njiapanda.
Kama ukikosa kabisa Anza clinical officer... .
 
Hiyo kazi unapataje bila kufaulu ,tena kufaulu sanaa, acheni kumshauri Dogo ujinga, mwambieni ukweli kuwa Medicine hasa Muhas haihtaji vilaza ,kwa matokeo yake hayo dogo alibugi, narudia tena ,watanzania wengi hatupendi kuambiwa ukweli, a guy he is not suitable and fit kwa chuo kama Muhas
Unaweza ukadhan unatoa point but ni pumba.. .. Mtu ana merit ukilaza wake upo wap hapo.. Hujui alisoma shule gani, hujui alisoma katika mazingira gan, hujui kwao kupo Vipi, hujui yeye ana majukum kiasi gani.... Inawezekana wew ungekuwa kwenye mazingira yake hata pass usingepata
 
Wadau nataka kujua TCU wametumia vigezo gani kuwapata hawa au mwaka huu wanaosoma kizi hii ni distinction pekee? Wadau inaniuma sana nina merit lakini mpaka leo TCU hawajanichagua.

Kuna MTU yeyote mwenye. Merit au credit aliyechaguliwa? Wadau nipo njiapanda.

Ndugu una merit ya ngapi,,, GPA,,, nina dogo namfaham mbona kapata UD? B, B, B+
KWAN HIYO THIRD ROUND C NIMECKIA BADO KUNA COZ ZA MD? don't give up
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.

Mh! Na wewe ni kilaza kumbe; 'daktari' kweli huna hata com' sills nzuri! Ndo mana wakubwa wanaendaga nje (hâta kutumbua jipu) ni ni?-kwann lakini
 
Wadau nataka kujua TCU wametumia vigezo gani kuwapata hawa au mwaka huu wanaosoma kizi hii ni distinction pekee? Wadau inaniuma sana nina merit lakini mpaka leo TCU hawajanichagua.

Kuna MTU yeyote mwenye. Merit au credit aliyechaguliwa? Wadau nipo njiapanda.

Pole sana, wewe unapenda hyo kazi ila uwezo wako mdogo kama vp kasomee clinical assistant
 
Dogo jaribu kufuatilia hadi TCU kabisa mbona kuna watu wenye pass wamepata UDOM kwenye hyo kozi? Au subiria 4th round ujaribu tena.
 
Sijifanyi najua ,ukweli nikuwa najua , natatizo lenu hampendi kuambiwa ukweli madogo

Pole! Naona hujijui! Maisha yatakuonyesha kuwa hujui chochote! Ila kwa umri wako siwezi kukulaumu sana! Miaka 10 ijayo utaweza kukubaliana nami kuwa miaka 10 iliyopita ulikuwa hujijui/hujitambui! Ila kwa leo huwezi kumsikiliza yeyote!
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.
we jamaa umesema kweli ila unajiona kichwa kinoma yani, but haina mbaya waliofeli ni wajinga sana inaonekana. but naona kikubwa ni noti tuu coz hata ww kama ulikimbilia huku MD ni sababu ya pesa na ajira. mm nimezngua na sio kwamba sina akili hapana ipo nyingi tuu na namshukuru mungu. pepa nlipga fresh mambo yakaja tofauti,
in general tumchukulie mfano bill gates yeye baadhi ya masomo alifelwenzie walipiga fresh. lakn pamoja na ukilaza wake chuon hapo waliofauli ndo ma engineer katika kampuni yake microsoft. so bro usione kila anaefel hana akili, wengne ni sabab mbali mbaml kama kuumwa, mambo ya kishirikina na mengne kibao ila kama unajicho tatu utakubaliana na mm.
 
hata uwe na mafanikio kiasi gani ukiwa na element za dharau unaweza poteza vyote.ulivyokuw navyo wakati unajivunia....jenga saikolojia ya kuhusiana na wenzako....na siku zote jambo liwe lolote ulifanyalo fikiri mara mbili..kuwa MUHAS au hata chuo chochote duniani afu ukawa na dharau au dosari inayowakera wazi watu wanaokuzunguka ni bure tu...tunasoma kuja kuhusiana na wenzetu walio kwenye system na nje ya system hivyo tunapaswa kujifunza...post ya kijana ilihitaji mawazo afanyeje na sio majungu na kejeli kutoka wachache waliokosa ustaarabu...kama kwl we ni msomi tumia usomi wako...nyie ndo huwa mnawatenga hata ndugu zenu mkifanikiwa eti walikiluwa hawawajali mkiwa mko shule...style up guys
 
Wadau nataka kujua TCU wametumia vigezo gani kuwapata hawa au mwaka huu wanaosoma kizi hii ni distinction pekee? Wadau inaniuma sana nina merit lakini mpaka leo TCU hawajanichagua.

Kuna MTU yeyote mwenye. Merit au credit aliyechaguliwa? Wadau nipo njiapanda.
tatizo ww jamaa nahis kama ulijiamini kinoma. kwan hukuona watu walivyokua wamepga vizur distinction za PCB na na kama uliona idadi ya one za PCB sasa kwa nn ujisumbue na ile kitu ya MUHAS???? na unajua pale MD wanachukuliwa 225 tuu. yan bora ulijaribu hata UDOM coz pale watu wanapadharau. pia hingera hukujarib UDSM, ila KCMC yenyewe nayo inaheshimia ina compettition balaa nadhan hukuwah kuckia historia yake. bugando pia ungekosa coz kinakubalika.
yan ungechek na vyuo kama kairuki, imtu nauhakika ungepata coz hiki wanatafuna sana ada so watu wana kikimbia mno. yan ww inshort ungechek na coz nyingne za afya kama labaratory, nursing tena nahis udom ungeweza pata. vyuo vya serikali kwa coz ya MD ucjaribu. st fransic ungejeribu pia. kampala kule ungepotea hingera huku jaribu maana hakifai kabisa amini nakwambia. st jose ni mpya ila ungepata pia tatizo ni mkwanja babu na st jose wanasema kuna madudu kibao. kama unauchungu na MD sana we nenda tcu wakufute kwenye system, ujipange home pia uombe madogo wanaokuja huku nyuma wafeli ili ww upate chance ila vizur kuwaomba wenzio vibaya natania. maana hamna tena namna coz ya afya imejaa,
kingne ndugu yang hivo vyuo nlivokuambia vijaribu mwakan nakuhakikishia mungu nhamtupi mja wake, so rafk yang mshirikishe mungu kwanza pia usikate tamaa kwa meneno makali unayopata kuku Jf. vumilia uwe ke/me
 
Dogo jaribu kufuatilia hadi TCU kabisa mbona kuna watu wenye pass wamepata UDOM kwenye hyo kozi? Au subiria 4th round ujaribu tena.
haki ya mungu pass kwa coz za afya vyuo vya serikali??? cjui kwa kweli lakn ww una uhakikia? labda environmental health na sio afya ya binadamu, butb im sorry kama utanielewa vibaya
 
Back
Top Bottom