Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 951
- 412
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.
Noma sana we jamaa,,,uko chuo gani?!