Kwanza napenda kuwapa pole wale wote mliochaguliwa 4th round kwenda vyuo ,hii ni kutokana na TCU Kuwapangia tarehe ya kuripoti vyuoni wakati registration deadline imepita,hivyo kuwapotezea mda wa kwenda chuo na kukataliwa kusajiliwa na adm.officers,pia ningependa kuuliza hivi je,ni kweli hakuna connection yoyote kati ya chuo,tcu na bodi?