Hivi ni kweli hakuna hata member mmojawapo mwenye connection ya kazi?

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,700
9,778
Wakuu, Natumai mko poa!

Kwanza nianze kwa kukili kuwa JamiiForums ndio social media pekee ambayo members hujadili mambo yenye manufaa, maisha na shauri chanya!

Kama kawaida, members wa jamiiForums ni watu ambao wako stable kiuchumi, wanaendesha maisha yao katika hali ya kulizika kwa kuwa laki kwao si pesa, milioni kwao ni pesa ya sabuni! Ni members wachache sana ambao hawana magari, wengi wao humiliki ma M.W

Pia members ni watu wa kuhudhuria clubs kila siku, wengine kila weekends, huacha malaki ya pesa mezani pasi na matumizi au kwa ajili ya watoto wazuri, kisha kuingia ndani ya ndinga zao za viwango

Nyuzi zinazotengenezwa humu ndani ni zile za kuomba shauri za kawaida sana katika ndoa kama vile "mke wangu kanikosea, nimpeleke nchi gani bara la ulaya ili akajifunze kutoka kwa wanawake wengine?" Kwa kuwa waswahili wa pwani hujuana kwa vilemba utakuta replies za kutosha na reasons! Lakini mwenzenu nitaleta uzi wa "Kaniacha kisa nimeshindwa kumpatia 50k ya kusuka" ndipo watakuja member watano tu na kusema Tafuta hela! Kisha wengine wawili kuusindikiza uzi na emoji za kunicheka, kisha uzi utafungwa

Hata nitakapojaribu kuomba ushauri juu ya biashara gani nifanye kwa mtaji fulani, nitaishiwa kupondwa tu, wengine wataishia kudandia siti ya mbele kwa dereva, wengine wataanza kujuliana hali ndani ya uzi wangu wa kuomba utatuzi wa jambo.

Juzi nimeanzisha uzi wa "Nina laki na nusu nifanye biashara ipi?" Mdau wa kwanza kaja kudandia siti ya mbele, wakati kwenye uzi wake mmoja anadai boss wao katoa nafasi arobaini za kazi kwa wenye elimu kidato cha nne! Mwingine kafuata na kusema "Tafuta hela kijana " Mwingine kaja kusema "Hama hapo kwa shemeji ulipolala" Aliyefunga uzi kaandika "Hii ni Chai" Aliyem-qoute kaandika "Mods wafute huu uzi" na uzi ukapotea!

Kwa kufupisha mashtaka, Kama kuna mtu ana connection ya kazi yoyote yenye mshahara ambao anahisi nitaweza kuhandle maisha hadi kufikia stage ya kuanzisha familia anisaidie, hata kama ni kazi ya kiwandani ni sawa, hata kama ni kazi ya kununua ni sawa tu, ili mradi mwisho wa siku na mimi nianze kitengeneza nyuzi za "Hili gari langu nahitaji kulichoma, nikalichomee wapi?" ili watu waangushe replies za kutosha na mimi niwe mtu kati ya watu!

Hivi kweli members, mnajiskiaje mkiwa mnatengeneza nyuzi za kutafuta viwanja vya mamilioni halafu mimi naanzisha uzi wa kuibiwa elfu ishilini ndani? Hii haijakaa pouwa! Mwenye connection ya kazi almost hapa Dar anishtue basi twende sawa.

Kuna watakaokuja kusema HII NI CHAI, wengine wataususa uzi, nitawakumbusha mpite hapa hata kwa kuwaita.

Elimu kidato cha sita, ila nilifaulu.

Asanteni kwa kupita hapa!
 
pole sana kaka, usikate tamaa na haya mapito unayopitia humu. Usichoke kupambana huku na kule.

Ni vyema pia ukatoa location uko mkoa gani angalau watu wanaweza kutoa direction za hapa na pale, lakini pia ni vyema ukasema una elimu kiasi gani na taalum gani. USIKATE TAMAA, RIDHKI YA MJA HUISHA PALE ROHO INAPOACHA MWILI.
 
1657552965197.png
 
Wakuu, Natumai mko poa!

Kwanza nianze kwa kukili kuwa jamiiForums ndio social media pekee ambayo members hujadili mambo yenye manufaa, maisha na shauri chanya!

Kama kawaida, members wa jamiiForums ni watu ambao wako stable kiuchumi, wanaendesha maisha yao katika hali ya kulizika kwa kuwa laki kwao si pesa, milioni kwao ni pesa ya sabuni! Ni members wachache sana ambao hawana magari, wengi wao humiliki ma M.W

Pia members ni watu wa kuhudhuria clubs kila siku, wengine kila weekends, huacha malaki ya pesa mezani pasi na matumizi au kwa ajili ya watoto wazuri, kisha kuingia ndani ya ndinga zao za viwango

Nyuzi zinazotengenezwa humu ndani ni zile za kuomba shauri za kawaida sana katika ndoa kama vile "mke wangu kanikosea, nimpeleke nchi gani bara la ulaya ili akajifunze kutoka kwa wanawake wengine?" Kwa kuwa waswahili wa pwani hujuana kwa vilemba utakuta replies za kutosha na reasons! Lakini mwenzenu nitaleta uzi wa "Kaniacha kisa nimeshindwa kumpatia 50k ya kusuka" ndipo watakuja member watano tu na kusema Tafuta hela! Kisha wengine wawili kuusindikiza uzi na emoji za kunicheka, kisha uzi utafungwa

Hata nitakapojaribu kuomba ushauri juu ya biashara gani nifanye kwa mtaji fulani, nitaishiwa kupondwa tu, wengine wataishia kudandia siti ya mbele kwa dereva, wengine wataanza kujuliana hali ndani ya uzi wangu wa kuomba utatuzi wa jambo!

Juzi nimeanzisha uzi wa "Nina laki na nusu nifanye biashara ipi?" Mdau wa kwanza kaja kudandia siti ya mbele, wakati kwenye uzi wake mmoja anadai boss wao katoa nafasi arobaini za kazi kwa wenye elimu kidato cha nne! Mwingine kafuata na kusema "Tafuta hela kijana " Mwingine kaja kusema "Hama hapo kwa shemeji ulipolala" Aliyefunga uzi kaandika "Hii ni Chai" Aliyem-qoute kaandika "Mods wafute huu uzi" na uzi ukapotea!

Kwa kufupisha mashtaka, Kama kuna mtu ana connection ya kazi yoyote yenye mshahara ambao anahisi nitaweza kuhandle maisha hadi kufikia stage ya kuanzisha familia anisaidie, hata kama ni kazi ya kiwandani ni sawa, hata kama ni kazi ya kununua ni sawa tu, ili mradi mwisho wa siku na mimi nianze kitengeneza nyuzi za "Hili gari langu nahitaji kulichoma, nikalichomee wapi?" ili watu waangushe replies za kutosha na mimi niwe mtu kati ya watu!

Hivi kweli members, mnajiskiaje mkiwa mnatengeneza nyuzi za kutafuta viwanja vya mamilioni halafu mimi naanzisha uzi wa kuibiwa elfu ishilini ndani? Hii haijakaa pouwa! Mwenye connection ya kazi almost hapa Dar anishtue basi twende sawa!

Kuna watakaokuja kusema HII NI CHAI, wengine wataususa uzi, nitawakumbusha mpite hapa hata kwa kuwaita!

Elimu kidato cha sita, ila nilifaulu

Asanteni kwa kupita hapa!

Namimi Pia Elimu yangu Degree ya Account Naungana na muanzisha uzi Tukumbukane kwenye kazi hata Intern.
Nendeni jukwaa la kazi kuna nafasinza kazi zimetangazwa leo.

Tatizo lenu kubwa hamjui majukwaa ya kutembelea, mnashinda MMU halafu unategemea michongo ya kazi hizo ni ndoto.

Ukitaka michongo ya biashara nenda jukwaa la biashara huko kila kitu kipo tumejadiri sana.

Ushauri wangu kwa vijana wote kabla ya kuivamia JF jifunze kwanza ina majukwaa mangapi na kila jukwaa lina madhumuni gani?
 
 
Nendeni jukwaa la kazi kuna nafasinza kazi zimetangazwa leo.

Tatizo lenu kubwa hamjui majukwaa ya kutembelea, mnashinda MMU halafu unategemea michongo ya kazi hizo ni ndoto.

Ukitaka michongo ya biashara nenda jukwaa la biashara huko kila kitu kipo tumejadiri sana.

Ushauri wangu kwa vijana wote kabla ya kuivamia JF jifunze kwanza ina majukwaa mangapi na kila jukwaa lina madhumuni gani?
Bila ya connection 😳😳
 
Wakuu, Natumai mko poa!

Kwanza nianze kwa kukili kuwa jamiiForums ndio social media pekee ambayo members hujadili mambo yenye manufaa, maisha na shauri chanya!

Kama kawaida, members wa jamiiForums ni watu ambao wako stable kiuchumi, wanaendesha maisha yao katika hali ya kulizika kwa kuwa laki kwao si pesa, milioni kwao ni pesa ya sabuni! Ni members wachache sana ambao hawana magari, wengi wao humiliki ma M.W

Pia members ni watu wa kuhudhuria clubs kila siku, wengine kila weekends, huacha malaki ya pesa mezani pasi na matumizi au kwa ajili ya watoto wazuri, kisha kuingia ndani ya ndinga zao za viwango

Nyuzi zinazotengenezwa humu ndani ni zile za kuomba shauri za kawaida sana katika ndoa kama vile "mke wangu kanikosea, nimpeleke nchi gani bara la ulaya ili akajifunze kutoka kwa wanawake wengine?" Kwa kuwa waswahili wa pwani hujuana kwa vilemba utakuta replies za kutosha na reasons! Lakini mwenzenu nitaleta uzi wa "Kaniacha kisa nimeshindwa kumpatia 50k ya kusuka" ndipo watakuja member watano tu na kusema Tafuta hela! Kisha wengine wawili kuusindikiza uzi na emoji za kunicheka, kisha uzi utafungwa

Hata nitakapojaribu kuomba ushauri juu ya biashara gani nifanye kwa mtaji fulani, nitaishiwa kupondwa tu, wengine wataishia kudandia siti ya mbele kwa dereva, wengine wataanza kujuliana hali ndani ya uzi wangu wa kuomba utatuzi wa jambo!

Juzi nimeanzisha uzi wa "Nina laki na nusu nifanye biashara ipi?" Mdau wa kwanza kaja kudandia siti ya mbele, wakati kwenye uzi wake mmoja anadai boss wao katoa nafasi arobaini za kazi kwa wenye elimu kidato cha nne! Mwingine kafuata na kusema "Tafuta hela kijana " Mwingine kaja kusema "Hama hapo kwa shemeji ulipolala" Aliyefunga uzi kaandika "Hii ni Chai" Aliyem-qoute kaandika "Mods wafute huu uzi" na uzi ukapotea!

Kwa kufupisha mashtaka, Kama kuna mtu ana connection ya kazi yoyote yenye mshahara ambao anahisi nitaweza kuhandle maisha hadi kufikia stage ya kuanzisha familia anisaidie, hata kama ni kazi ya kiwandani ni sawa, hata kama ni kazi ya kununua ni sawa tu, ili mradi mwisho wa siku na mimi nianze kitengeneza nyuzi za "Hili gari langu nahitaji kulichoma, nikalichomee wapi?" ili watu waangushe replies za kutosha na mimi niwe mtu kati ya watu!

Hivi kweli members, mnajiskiaje mkiwa mnatengeneza nyuzi za kutafuta viwanja vya mamilioni halafu mimi naanzisha uzi wa kuibiwa elfu ishilini ndani? Hii haijakaa pouwa! Mwenye connection ya kazi almost hapa Dar anishtue basi twende sawa!

Kuna watakaokuja kusema HII NI CHAI, wengine wataususa uzi, nitawakumbusha mpite hapa hata kwa kuwaita!

Elimu kidato cha sita, ila nilifaulu

Asanteni kwa kupita hapa!
Kijana, unasema kila mtu humu jf ana maisha mazuri, sasa wewe umeingiaje humu wakati huna maisha mazuri?
 
pole sana kaka, usikate tamaa na haya mapito unayopitia humu. Usichoke kupambana huku na kule..
Napambana sana tu ila hakuna matokeo, mitaji inakufa tu kila wiki

Ni vyema pia ukatoa location uko mkoa gani angalau watu wanaweza kutoa direction za hapa na pale, lakini pia ni vyema ukasema una elimu kiasi gani na taalum gani. USIKATE TAMAA, RIDHKI YA MJA HUISHA PALE ROHO INAPOACHA MWILI.
Niko Dar es Salaam Tandale
Elimu:Kidato cha Sita PCB
Chuo nilikanyaga, HESLB wakanichinjia mbali

Sikutaka kurudi nyumbani kuwaongezea mzigo

Nashukuru kwa faraja yako!
 
Mkuu, hizi nafasi zimefikia deadline

Lakini hata zingekuwa bado zina-survive, elimu yangu ya kidato cha sita ingelifaa nini hapa
 
Napambana sana tu ila hakuna matokeo, mitaji inakufa tu kila wiki


Niko Dar es Salaam Tandale
Elimu:Kidato cha Sita PCB
Chuo nilikanyaga, HESLB wakanichinjia mbali

Sikutaka kurudi nyumbani kuwaongezea mzigo

Nashukuru kwa faraja yako!

Bila shaka kuna wadau humu, wanaweza kufanya jambo kama issue ni HESLB.

Jaribu kupita huku na kule mitandaoni kuomba scholarship kadhaa ambazo ni full funded lakini pia kuna taasisi ila shaka huku huku Tanzania zinatoa ufadhili elimu ya juu.

Ni mapambano bila kuchoka mkuu, tuendelee kukaza, pole sana mkuu, MUNGU ni mwema tusichoke kumuomba ipo siku yatakaa sawa na kusahau shida zote.
 
Back
Top Bottom