TCU 4th ROUND: HIVI NI KWELI KUNA CONNECTION YOYOTE KATI YA TCU,BODI NA CHUO?

Lugano5

R I P
Jul 15, 2010
4,520
755
Kwanza napenda kuwapa pole wale wote mliochaguliwa 4th round kwenda vyuo ,hii ni kutokana na TCU Kuwapangia tarehe ya kuripoti vyuoni wakati registration deadline imepita,hivyo kuwapotezea mda wa kwenda chuo na kukataliwa kusajiliwa na adm.officers,pia ningependa kuuliza hivi je,ni kweli hakuna connection yoyote kati ya chuo,tcu na bodi?
 
Kwanza napenda kuwapa pole wale wote mliochaguliwa 4th round kwenda vyuo ,hii ni kutokana na TCU Kuwapangia tarehe ya kuripoti vyuoni wakati registration deadline imepita,hivyo kuwapotezea mda wa kwenda chuo na kukataliwa kusajiliwa na adm.officers,pia ningependa kuuliza hivi je,ni kweli hakuna connection yoyote kati ya chuo,tcu na bodi?

Una akili au aubongo mleta mada, nani amewapotezea muda? walikuwa wapi kwenye raundi zoote za aapplication hadi wajikute 4th round kama walikuwa wanafanya makosa wao kuapply je? wenye akili woote walishariport vyuoni na wanakaribia kumaliza semister, 4th round wajijue wamwpata vyuo kuriport majaliwa hata mwakani kwani ni makapi acha utoto
 
Chunguza,Fikiri na changanua mambo kabla ya kuandika!we unadhania wamependa kuja 4th round.
 
Una akili au aubongo mleta mada, nani amewapotezea muda? walikuwa wapi kwenye raundi zoote za aapplication hadi wajikute 4th round kama walikuwa wanafanya makosa wao kuapply je? wenye akili woote walishariport vyuoni na wanakaribia kumaliza semister, 4th round wajijue wamwpata vyuo kuriport majaliwa hata mwakani kwani ni makapi acha utoto
Kumbe TCU siku hizi wanapeleka makapi vyuo vikuu? Ni majambele au majanyuma? Tutegemee nn toka kwa hayo makapi?
TCU mko wapi mjibu hili? Ahahaaaaa!! Mmechafuka. Yewe, Mutama ulabhonye?
 
Una akili au aubongo mleta mada, nani amewapotezea muda? walikuwa wapi kwenye raundi zoote za aapplication hadi wajikute 4th round kama walikuwa wanafanya makosa wao kuapply je? wenye akili woote walishariport vyuoni na wanakaribia kumaliza semister, 4th round wajijue wamwpata vyuo kuriport majaliwa hata mwakani kwani ni makapi acha utoto

Waliochagulia 4th round sio makapi mimi ni m1 wao na inaniuma sana kuitwa makapi wakati nimesoma kwa tabu mchepuo wa PCB na matokeo yangu ni kama ifuAtavyo phy-d,chem-d na bios-e,nimekataliwa kuripot chuoni kisa deadline na 2takutana mwakani,tengua kauli mkubwa
 
Una akili au aubongo mleta mada, nani amewapotezea muda? walikuwa wapi kwenye raundi zoote za aapplication hadi wajikute 4th round kama walikuwa wanafanya makosa wao kuapply je? wenye akili woote walishariport vyuoni na wanakaribia kumaliza semister, 4th round wajijue wamwpata vyuo kuriport majaliwa hata mwakani kwani ni makapi acha utoto


inaelekea shule ulikua kiraza sana, mada imebeba kitu cha msingi kabisa ila ww na akili yako mbaya unataka kuipotosha.
 
Hebu tujiulize,nini lilikuwa lengo la TCU kutangaza 4th round appl?
Lilikuwa kudahili waombaji kujiunga na elimu ya juu au ni kutafuta makapi? Ya kazi gani?
Hayo makapi hayakuomba yenyewe ila yaliitikia wito wa tangazo la TCU yatume maombi kama mojawapo ya taratibu za TCU kudahili waombaji. Je,yangesubiri hadi mwakani yakaomba mapema yangeitwaje?

Kuna dogo langu naye angekuwa mhanga wa hili ila amepokelewa chuo alichoomba ila tatizo likawa mkopo. Tumehangaika sana kutafuta pesa ya ada na mahitaji mengine,lakini bado hatujafanikiwa. Wakati anafanya application alitegemea kupata mkopo maana kozi yake ina priority.
Kwa hiyo ukirejea swali la mwanzilishi wa thread, ni kweli hakuna hakuna connection kati ya vyombo vitatu tajwa hapo juu.
 
dah nahisi mwaka ujao kutakuwa na competition kubwa sana aisee maana a lot of guys wamepostpone mwaka huu kwa sababu mbali mbali........kikweli hakuna connection kati ya taasisi tajwa hapo juu nawasilisha maada
 
Mimi sikuwa member wa JF, ila baada ya kusoma huu uzi, hasa kauli ya MKL post #2 aliyotoa kwa muanzisha uzi na jina alilowabatiza waliochaguliwa TCU 4th round la makapi, nilihisi nachomwa na kitu moyoni nikalazimika kujisajili JF ili nami nipunguze machungu yangu. Huyu MKL kama kweli ni muungwana, bila kujali ana mamlaka gani au la , atengue kauli na kuomba radhi kwa maumivu aliyowasabishia aliowatukana. @ MKL

JF si pahali pa kuropokea tu analojisikia mtu kufanya hivyo, hasa ktk jukwaa la elimu,jukwaa ambalo linahusisha watu walokwenda shule wakaelimika. Hizi kauli za piga tu, hata wa-tz wale nyasi lazima rada inunuliwe, hivi vijisenti, nk zitaisha Tanzania yetu?
Kwa uzoefu wangu, kauli hizi hutoka kwa watu waliolewa madaraka. Je,hii ya makapi imetoka kwa mlevi wa madaraka gani? @ MKL

Kuna post ya mdau mmoja alikuwa amechambua vizuri sana kauli ya MKL, nashangaa leo imefutwa. Ilikuwa post #4 . Sijui kwa nini? Inaonekana jamaa aliguswa sana na kauli chafu ya MKL,akaamua kuichambua. @ alpha1
 
Tumekupata mkuu,,,asante sana.ajakujibu jamaa,ameona,,amekimbia,,,,,MKL.
Mkuu,uliona uka-comment kuwa MKL kaona,kakimbia.
Sikuwa na lengo la kumkimbiza MKL kwenye uzi huu,ila kulingana na post yake ilivyonichoma,kwani kuna watu wangu wa karibu ni wahanga wa hilo tatizo, niliichambua na kutoa assignment kwake. Kwa mujibu wa comment yako kama kweli alikimbia post yangu niliamua kuifuta ili apate amani,maana halikuwa kusudio langu kumnyima amani. Kwa nini? Kwa sababu wote ni wanadamu tunaopaswa kubadilika kulingana mazingira tuliyomo,pia tujifunze kutokana na makosa. PEACE,FREEDOM & CHANGE @ MKL
 
Mimi sikuwa member wa JF, ila baada ya kusoma huu uzi, hasa kauli ya MKL post #2 aliyotoa kwa muanzisha uzi na jina alilowabatiza waliochaguliwa TCU 4th round la makapi, nilihisi nachomwa na kitu moyoni nikalazimika kujisajili JF ili nami nipunguze machungu yangu. Huyu MKL kama kweli ni muungwana, bila kujali ana mamlaka gani au la , atengue kauli na kuomba radhi kwa maumivu aliyowasabishia aliowatukana. @ MKL

JF si pahali pa kuropokea tu analojisikia mtu kufanya hivyo, hasa ktk jukwaa la elimu,jukwaa ambalo linahusisha watu walokwenda shule wakaelimika. Hizi kauli za piga tu, hata wa-tz wale nyasi lazima rada inunuliwe, hivi vijisenti, nk zitaisha Tanzania yetu?
Kwa uzoefu wangu, kauli hizi hutoka kwa watu waliolewa madaraka. Je,hii ya makapi imetoka kwa mlevi wa madaraka gani? @ MKL

Kuna post ya mdau mmoja alikuwa amechambua vizuri sana kauli ya MKL, nashangaa leo imefutwa. Ilikuwa post #4 . Sijui kwa nini? Inaonekana jamaa aliguswa sana na kauli chafu ya MKL,akaamua kuichambua. @ alpha1


In red above
Mkuu,ndiyo ilibidi nifute hiyo post kulingana na hulka niliyonayo. Huwa napenda kufanya nilichokusudia kufanya mimi kama mimi huku nikiwafikiria na wengine pia. Kama amekimbia kama inavyofikiriwa,halikuwa lengo langu kumkimbiza,nilifuta post ili arejewe na amani aruhusu mabadiliko yachukue nafasi. Huwa naamini kuwa,nafsi haiwezi kufanya maamuzi sahihi kama haiko huru. CHANGE @ MKL
 
Pole sana alpha1 na wadau woote hasa mleta UZI, mlioguswa na kauli zangu, Nashukuru kwa response zenu ambazo zoote hazilengi kuwasaidia wahanga binafsi nilimtumia kitu kinaitwa shambulia mtoa mada ili wenye taarifa watoe ukweli, alpha1 ulikuja na response mzuri sana counter attack ambayo ilinilenga mimi ambayo nayo ulifuata falsafa yangu nikiamini sasa wadau watakuwa wananidharau mimi kwenye post zao LAKINI wanatoa majibu ya maswali ya mleta uzi. kwani binasi sina na majibu nami nayatafuta kama tungekuwa tunajuana na mleta uzi hii ingekuwa ni agenda setting nikitegemea wachangiaji watapandwa jazba, wataniponda, lakini hasira zao zitawafungua watoe majibu na mwisho tunanufaika woote.
"ENDS JUSTIFY THE MEANS" nasikitika mpaka sasa hakuna majibu sawia na hivyo tuendelee kutafuta majibu kwani methodology ya kwanza haijafanikiwa
na wewe alpha1 usiwe unafuta kwani madhara ya kufuta elimu ambayo tayari ulishawapa walaji ni kama kuwadorishia na hivyo watakao tembelea uzi huu kwa sasa hawataona hicho wanacho kinukuu wenzao toka kwenye response yako kwangu ambayo ulishaifuta na hivyo wanakosa connection.
OK siku njema
 
Pole sana alpha1 na wadau woote hasa mleta UZI, mlioguswa na kauli zangu, Nashukuru kwa response zenu ambazo zoote hazilengi kuwasaidia wahanga binafsi nilimtumia kitu kinaitwa shambulia mtoa mada ili wenye taarifa watoe ukweli, alpha1 ulikuja na response mzuri sana counter attack ambayo ilinilenga mimi ambayo nayo ulifuata falsafa yangu nikiamini sasa wadau watakuwa wananidharau mimi kwenye post zao LAKINI wanatoa majibu ya maswali ya mleta uzi. kwani binasi sina na majibu nami nayatafuta kama tungekuwa tunajuana na mleta uzi hii ingekuwa ni agenda setting nikitegemea wachangiaji watapandwa jazba, wataniponda, lakini hasira zao zitawafungua watoe majibu na mwisho tunanufaika woote.
"ENDS JUSTIFY THE MEANS" nasikitika mpaka sasa hakuna majibu sawia na hivyo tuendelee kutafuta majibu kwani methodology ya kwanza haijafanikiwa
na wewe alpha1 usiwe unafuta kwani madhara ya kufuta elimu ambayo tayari ulishawapa walaji ni kama kuwadorishia na hivyo watakao tembelea uzi huu kwa sasa hawataona hicho wanacho kinukuu wenzao toka kwenye response yako kwangu ambayo ulishaifuta na hivyo wanakosa connection.
OK siku njema

Hurraaaaah!!!
Umerudi Mkuu. Safi sana.
Hicho ndo nilitaka Mkuu, urudi uwe pamoja nasi, siyo ujitenge,maana tungekosa mchango wa mawazo yako mazuri. Baada ya post yangu, nilifuatlia post zako nikaona una mchango mkubwa sana kwa JF hasa katika Jukwaa la Elimu, na kulingana na comment ya KG.KASELO niliona tutampoteza shujaa wa JF,labda uliteleza tu wala si hulka yako. Niliona hilo tatizo ni kama punje moja ya mchanga ktk punje elfu za mchele.

Pili, nashukuru umeguswa na maumivu ya mioyo iliyoumia umeomba radhi,nadhani wenye majeraha moyoni tayari utakuwa umeyatibu. HUO NDO USTAARABU. KARIBU KUNDINI MKUU.
 
Hurraaaaah!!!
Umerudi Mkuu. Safi sana.
Hicho ndo nilitaka Mkuu, urudi uwe pamoja nasi, siyo ujitenge,maana tungekosa mchango wa mawazo yako mazuri. Baada ya post yangu, nilifuatlia post zako nikaona una mchango mkubwa sana kwa JF hasa katika Jukwaa la Elimu, na kulingana na comment ya KG.KASELO niliona tutampoteza shujaa wa JF,labda uliteleza tu wala si hulka yako. Niliona hilo tatizo ni kama punje moja ya mchanga ktk punje elfu za mchele.

Pili, nashukuru umeguswa na maumivu ya mioyo iliyoumia umeomba radhi,nadhani wenye majeraha moyoni tayari utakuwa umeyatibu. HUO NDO USTAARABU. KARIBU KUNDINI MKUU.
EXCELLENT,GOALS ACHIEVED Amerudi kaomba radhi. alpha1,umetumia falsafa gani hadi jamaa karudi?
Ni kweli jamaa ana mawazo mazuri na mchango mkubwa sana kwa JF ila ni muathirika wa negative attitude kwa watu wanaofanya asiyoyatarajia yeye.
Siyo kwamba aliteleza, ni mzoefu. Angalia post #5 kwenye uzi huu:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/305349-majina-ya-wasiokamilisha-applicationa-tcu-see-the-attachment.html

NANUKUU:
"hiyo sio ishu cha muhimu ni kwamba jina lako limo au halimo kwenye list hii....? kuelewa nako ni matatizo kwa WTZ wenzangu sijui...., hebu soma uzi wangu vizuri nimesemaje kwani swali liko nje ya nilichokisema sana tuu, List hii ndio wanahusika ambao hawajakamilisha maombi. kwa sasa status za walioomba woote zinasomeka hivyo kama yako. kwa maana kwamba process iliyofanyika ilikuwa ni kutoa makapi ambao hawakukamilisha mlio kamilisha maana yake subirini tuu mmepangwa wapi swala la status hebu achana nalo inaweza ikakaa hivyo mwaka mzima..... ni ushauri wangu tuuu."

MWISHO WA KUNUKUU

Ila hastahili kumnyoshea mtu kidole kwa makosa yake mwenyewe kwa kuchambuliwa na alpha1,maana nilivyoona huo uchambuzi ulitoa sababu za mtu kujikuta 4th round na akapewa assignment ambayo yaliyoulizwa kwa kina yalitoka kwenye comment yake mwenyewe MKL,wala alpha1 hakutoa matusi au lugha chafu kama ilivyokuwa counter-attack ya MKL . Kama anatafuta majibu,haitaji kutafuta majibu nje ya aliyoulizwa na alpha1.

Kwa kuwa ameona makosa yake na kurudi kuomba radhi ANASTAHILI KUSAMEHEWA.
 
Back
Top Bottom