TCRA washughulikieni Halotel

TCRA washughulikieni Halotel

We mzee umetumwa au? Biashara ni competition. Kama HALOTEL wameona kwa kufanya hayo watapata wateja wengi shida yako iko wapi? Labda useme kifurushi cha chuo ni kosa kutumiwa na watu wengine. Halafu unajua definition ya mwanachuo/mwanafunzi? Halotel hata wakiamua kutoa huduma bure poa tu. We kaa tu na ukiritimba wa akina voda na tigo.
 
Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.

Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.

TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.

Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.

Jumapili Njema Kwenu.
TCRA
fair competition act bleached
 
Unavyo pata urahisi wa kitu chochote lazima moyo ufurahi lakini wakati unafurahi ujue kuna watu wanaumia kama vile tigo voda nk sasa wewe mwenda wazimu unaamka na kuona kwamba halotel wamefanya kosa kutupunguzia majukumu alafu wewe unashabikia
 
Unavyo pata urahisi wa kitu chochote lazima moyo ufurahi lakini wakati unafurahi ujue kuna watu wanaumia kama vile tigo voda nk sasa wewe mwenda wazimu unaamka na kuona kwamba halotel wamefanya kosa kutupunguzia majukumu alafu wewe unashabikia
Hajui maana ya ushindani
 
pili pili ya shamba inakuashia nn, Aibu umetumwa na mitandao mengi heti wanakosa Wateja kama wameshidwa ubunifu ni wao.
 
Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.

Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.

TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.

Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.

Jumapili Njema Kwenu.
Huu wote kwa Kiswahili unaitwa Umbeya.
 
Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.

Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.

TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.

Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.

Jumapili Njema Kwenu.
Tena Mi nasajiri kwa buku, acha roho mby
 
Back
Top Bottom