jiwe jeusi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 863
- 850
Watu wengine bana mkiambiwa mnafikiri kwa kutumia maka..o mnaona mnatusiwa.. may be sio kosa lako umetumwa
Huenda ni mmoja wa mameneja wa zile kampuni nyingine za simu.Watu wengine bana mkiambiwa mnafikiri kwa kutumia maka..o mnaona mnatusiwa.. may be sio kosa lako umetumwa
TCRAKampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.
Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.
TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.
Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.
Jumapili Njema Kwenu.
Ha ha haa nikweli mkuu, wameona wanapigwa bao!Huenda ni mmoja wa mameneja wa zile kampuni nyingine za simu.
Hajui maana ya ushindaniUnavyo pata urahisi wa kitu chochote lazima moyo ufurahi lakini wakati unafurahi ujue kuna watu wanaumia kama vile tigo voda nk sasa wewe mwenda wazimu unaamka na kuona kwamba halotel wamefanya kosa kutupunguzia majukumu alafu wewe unashabikia
Huu wote kwa Kiswahili unaitwa Umbeya.Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.
Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.
TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.
Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.
Jumapili Njema Kwenu.
Tena Mi nasajiri kwa buku, acha roho mbyKampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.
Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.
TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.
Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.
Jumapili Njema Kwenu.
Ninazo mkuu, ww tunahitahi lain moja please ya chuo.
nkutumie buku unsajilie?Tena Mi nasajiri kwa buku, acha roho mby
Hamia halotel.... H+full timeNahisi umerogwa!
Nilikuwa bada najibanza tigo, airtel na voda sasa kwa kauli yako NAWAHAMA kabisa!
Kukusajiri sio issue mkuui, BT utaipataje hiyo linenkutumie buku unsajilie?
mhhhhhhhhhhhh kwan ww upo wap?Kukusajiri sio issue mkuui, BT utaipataje hiyo line