Huna elimu ya kutosha kidadavua,kwenye masomo ya biashara lazima utakutana na kitu kinaitwa SWOT ANALYSIS yani STRENGTH,WEAKNESS OPPORTUNITY AND THREAT sasa nenda kajifunze nakupa homework katafute the meaning, wanachokifanya halotel ni to penetrate into market to get its market share so ni lazima wafanye tafiti hasa externally yani OPPORTUNITY&THREAT to get COMPETITIVE ADVANTAGE OVER THEIR RIVALS ili wateke soko NOTHING wanakosea, faida ipo kwa walaji kama kuna soko huria yani watoa huduma wanapo kuwa wengi, nashangaa wewe ndo kwanza unalalama,Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.
Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.
TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.
Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.
Jumapili Njema Kwenu.
Uache Kutumia Vifurushi Vya Wanachuo Bora Uendelee Kurina Asali Hapo Kaliua TaboraHuna elimu ya kutosha kidadavua,kwenye masomo ya biashara lazima utakutana na kitu kinaitwa SWOT ANALYSIS yani STRENGTH,WEAKNESS OPPORTUNITY AND THREAT sasa nenda kajifunze nakupa homework katafute the meaning, wanachokifanya halotel ni to penetrate into market to get its market share so ni lazima wafanye tafiti hasa externally yani OPPORTUNITY&THREAT to get COMPETITIVE ADVANTAGE OVER THEIR RIVALS ili wateke soko NOTHING wanakosea, faida ipo kwa walaji kama kuna soko huria yani watoa huduma wanapo kuwa wengi, nashangaa wewe ndo kwanza unalalama,
Hamia Halotel ndo habari ya mujininahitahi lain moja please ya chuo.
Imefika wakati tuwe wazalendo,kama kweli hizo laini za wanachuo Hallotel kuna punguzo la kodi wamepewa na serikali,basi waziuze kwa wahusika nasio kinyume kwani inaonekana kama ni ukwepaji wa kodi pia inawaumiza competitors wake.Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.
Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.
TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.
Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.
Jumapili Njema Kwenu.
Roho mbaya inakuhusu,hoja zako dhaifu sana.
Asante Sana Kwa Kunielewa MkuuImefika wakati tuwe wazalendo,kama kweli hizo laini za wanachuo Hallotel kuna punguzo la kodi wamepewa na serikali,basi waziuze kwa wahusika nasio kinyume kwani inaonekana kama ni ukwepaji wa kodi pia inawaumiza competitors wake.
Ujanja Wote Kumbe Unapenda KITONGA?
Mmmh siamini....ulishamaliza chuo gani? Busara zingine huwa hasara usije ukawa mrengo uleerBusara Zangu Zilizotukuka Ndizo Zimenipa Msukumo
Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.
Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.
TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.
Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.
Jumapili Njema Kwenu.