TCRA washughulikieni Halotel

TCRA washughulikieni Halotel

Binafs nawapongeza sana halotel...wapo vzr sana...line mama kwangu ni airtel ila kwa kwel ukilinganisha mitandao mingine na halotel...hawa jamaa halotel wapo juu sana...kuanzia internet had njia nyingine za mawasiliano
 
Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.

Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.

TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.

Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.

Jumapili Njema Kwenu.
Nyie ndio waleeee wachoyo.
Sasa usipokuwa mwanachuo ndio huduma usipate? Basi Halotel ifanye kazi kwenye vyuo tu.Utaona Kama mtu atalalamika.
Halafu huo sio ukweli weye ROHO mbaya tu.
 
Utashangaa na yeye ana Halotel ya chuo wakati sio mwanachuo anashuka kitonga!!
 
Kuna dogo mmoja mi aliniuzia kule kyela mbeya namkumbuka kwa jina moja la Modern aisee nikajua dogo anatania kuhusu ofa za line zao wanachuo mmh...mpaka nimeiacha tigo kabisa halotel nawakubali sana...mimi napanda nayo milimani.nashuka ipo safi tuuu...angekuwemo humu JF ningemwambia awajibu ngoja nimpigie nimuulizie
 
mkuu huyu haijuhi shinda ya kukosa option ya kuwa na mitandao mingi,ili uchague wenye nafuu!sasa mfano kule Tulya Iramba kuna mtandao mmoja wa Voda tu,ila mateso tuliyo yapata Mungu mwenyewe anajua!sasa hivi Halotel wapo uko,mpaka voda wameacha dharau na ukiritimba!sasa kwa masikini kama mimi nikiweka efu mbili napata mb 400 kwa wiki kwenye ka tecno kangu,nachati mpaka kiporo kinabaki ila nenda voda,uone!japo tigo wana unafuu wa buku moja unapata mb 150 kwa wiki,ila hawana coverage kubwa!
Kama una rafiki au ndugu mwanachuo mwambie anunue laini ya halotel ya mwanachuo then akutumie details alizozitumia kusajilia alafu wew ufanye kurenew. Utainjoi sana unapata mb 500 kwa wiki.
 
Mi natumia halotel lakini sijui line ya chuo ni ipi, niliinunua mtaani lakini napata menyu ya chuo na najiunga popote! Mi najua ni utaratibu wao wa kawaida tu, na mimi nilishawishiwa na mtu tu, mbona simpo piga *148*55#..!
Hiyo ni ya chuo kaka
 
Shida ya wabongo ni kuchomeana kwani kama Halotel wanaweza kupunguza gharama na internet yao ni faster na makampuni mengine si ya adapt shida IPO wapi binafsi Mimi nawapenda Halotel. Hebu imagine Tigo wanavyozingua.very zero kwenye net iko slower saana
 
U smell dumb
non-sense..get out of here...fair competition back up this folks.
 
Kampuni Ya Simu Ya Halotel Kupitia Mawakala Wake Imekuwa Ikiuza Laini Za Wanachuo Kwa Wananchi Wa Kawaida Ambao Si Wanachuo Hivyo Kuwa Wamekiuka Kanuni Na Masharti Zilizowekwa Na Mamlaka Husika. HALOTEL Ni Kama Wanakwepa KODI Tu.

Kwa Sasa Ukiwa Na Buku Mbili Yako Unapata Laini Ya Chuo Kutoka Halotel Ambapo Inakuwezesha Kuunga Bando La Chuo Popote Ulipo Hivyo Kufanya Kampuni Nyingine Kukosa Wateja Kabisa.

TCRA Wachukulieni Hatua Hawa Wavietnam Wanaowanyima Haki Wanachuo Wetu Wa Tanzania.

Pia Watanzania Wenzangu Ambao Sio Wanachuo Tuache Kupenda Kitonga, Bando Za Chuo Tuwaachie Wanafunzi.
Nasubiria MADONGO Yenu Maana Ukweli Siku Zote HUUMA.

Jumapili Njema Kwenu.
Wewe ni mwanga acha ukuda utabeba nyumba
 
nadhani siku ya leo mtoa mada hata isahau hahahahahha hadi kaukimbia uze wake mwenyewe

HALOTEL SINA LAINI YAO YA CHUO LAKINININAJIUNGA NA KIFURUSHI CHA UNLIMITED NAPEWA MB 600 ZA KASI KUBWA JAPO ZILIKUA MIANANE LAKINI SIJUTII COZ I CAN STILL STREAM ON YOU TUBE HATA HIZO MIASITA ZA KASI ZIKIISHA


HALOTELI MMEBADILI GIA ANGANI KAZENI BUTI MSIBWETEKE IWE MWANZO MWISHO MPAKA HAWA WENGINE WASHIKE ADABU YAO. viva....
 
Back
Top Bottom