- Thread starter
- #81
wanasema ndiyo chanzo Cha utapeli na wizi etiSasa tukimiliki laini zaidi ya moja kuna madhara gani? labda waje watueleweshe kama kuna sababu yoyote ya msingi. vinginevyo ni kuipunguzia mapato nchi kwa huo muda watakaozima.
wanasema ndiyo chanzo Cha utapeli na wizi etiSasa tukimiliki laini zaidi ya moja kuna madhara gani? labda waje watueleweshe kama kuna sababu yoyote ya msingi. vinginevyo ni kuipunguzia mapato nchi kwa huo muda watakaozima.
hatimae mwez na tarehe wa ukomo wa kumiliki laini mbili za mtandao mmoja zimewadia! kuanzia leo 1 July 2020Gharama Za simu zipo juu hilo hawalioni wanakuja nampya watanzania sio wajinga kiasi hicho muda utaongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana Ilikuwa ndo mwisho! operesheni kabambe inaanza leo, ukikamatwa faini 5mil au kifungo Cha miezi12 au vyoteMi ninazo zinadunda mpaka sasa
Kuna mtu kanitonya Kasema eti Kuna uwezekano hili zoezi wakalisogeza mbele ili watu washiriki kwanza uchaguzi na simkad mbili then ndo zoez liendeleeWengine tuna za kazi, kuna za internet na kuna za mawasilaino
We kikongwe KUMBE? Mwaka 85!!!!!Kuna kipindi mwaka nafikiri 1985 nilikuwa nasoma gazeti la Mfanyakazi.
Katika sehemu ya "Amini Usiamini" waliandika, jiji la Tokyo Japan lina line za simu nyingi kuliko bara zima la Africa.
Nafikiri tunataka kurudi huko.
Sent from my typewriter using Tapatalk
mwaka 85 laini za simkad zipi? mbona Kama tunadanganyanaWe kikongwe KUMBE? Mwaka 85!!!!!
ukiwauliza hivyo wanakujibu hawana taarifa za mlalamikaji!Na matapeli bado wapo wanatumia simu kutapeli watu TCRA hamlijui hili
I see....!!ukiwauliza hivyo wanakujibu hawana taarifa za mlalamikaji!
ukiwapelekea wanakujibu Rudi kwa mtoa huduma wako!
ukienda kwa mtoa huduma wanakujibu Rudi polisi ulikotapeliwa, ukifika polisi wanakwambia lete risiti na box la kununulia simu, ukipeleka wanakupa mpelelezi ambaye Hana nauli! hapo ndo utatoboka
yapI see....!!
Kikongwe bibi yako.We kikongwe KUMBE? Mwaka 85!!!!!
yaani tabu tupuHii ndio tatizo ya kuwapa wazee waendeshe shirika wana mawazo ya kizamani zamani tu , Mh Raisi tunakuomba hizi taasisi za kiserikali ziongozwe na vijana wa kisasa wenye Elimu na exposure ambayo itakuja kusaidia ubunifu kama nchi za wenzetu (Young Blood)
Hawa Wazee wa TCRA hawana mpya wanataka kuonekana na wao wanafanya kazi kwa kusumbua Sisi wana nchi
Inawezekana bado hawajambana wanayemtafuta, wakimpata tutatulia.Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga!
Usumbufu umekuwa mwingi mno!
TCRA kwa hili sasa sio ungwana kabisa! Naona kama ni usumbufu mnaofanya wala siyo weledi!
- Tulisajili kwa majina mara ya kwanza, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe,
- Tukarudia tukasajili kwa vitambulisho vya kura, napo mkasema ni batili
- Mkasema tukamilishe usajili kwa kupiga picha mwaka juzi tukafanya hivyo lakini bado ikawa ni batili;
- Mwaka jana mkadai tusajili kwa vitambulisho vya NIDA kwa alama za vidole, tumefanya hivyo bado mnaona hiyo haitoshi!
- Mnataka mwaka huu wenye laini zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja muwazimie simu zao walizozisajili
Kuna majibu mepesi eti; kwa wamiliki wanaohitaji laini zaidi ya moja watatakiwa kusaini fom maaalum;
Swali!
TCRA mtatukosea sana
- Kama electronic data za vidole hamziamini mtu amiliki laini zaidi ya moja, je hizo fomu maalum ndo zitaaminika?
- Hizo fomu zinawafikiaje wananchi huko vijijini?
- Kuna wafanya biashara ambao wana office zaidi ya moja ambazo zinahitaji namba za simu zaidi ya moja hilo hamjalifikilia?
- ufanisi na mazingila ya rushwa katika maombi maalum ya simkad mbili mnayajua?