Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Ripoti iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (#TCRA) imeonesha Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom inaongoza kwa Wateja waliojisali na huduma ya kutumia fedha kwenye simu
Usajili wa Wateja wanaotumia fedha kwenye simu umeongezeka kutoka akaunti Milioni 47.3 zilizokuwepo mwishoni mwa Juni 2023 hadi akaunti Milioni 51.4 kufikia mwisho wa Septemba 2023 ikiwa ni ongezeko la 8.7%
Ripoti hiyo ya Takwimu za hadi Septemba 2023, imerejelea idadi ya laini zote za simu zilizosajiliwa na zinatumika ambazo zina akaunti za fedha zilizotumika walau mara moja katika miezi mitatu
Aidha, jumla ya akaunti 9,248,902 zimejisajili kutumia huduma za fedha kupitia simu kwa mitandao mbalimbali nchini kuanzia Januari hadi Septemba 2023
Akaunti chache zaidi zimejisajili katika kipindi cha Machi hadi Aprili 2023 ikiwa ni Akaunti 586,873 huku akaunti nyingi zikisajiliwa katika kipindi cha mwezi Mei hadi Juni 2023, ikiwa ni akaunti 1,494,335
Akaunti zilizojiunga na Huduma za Fedha kwa Simu
Januari - 42,120,445
Februari - 43,172,914
Machi - 44,353,568
Aprili - 44,940,441
Mei - 45,781,325
Juni - 47,275,660
Julai - 48,673,694
Agosti - 50,007,613
Septemba - 51,369,347
Lakini pia idadi ya miamala imeongezeka kwa miaka mitatu iliyopita kutoka bilioni 3.4 kwa mwaka 2020 hadi bilioni 4.2 mnamo mwaka 2022
Usajili wa Wateja wanaotumia fedha kwenye simu umeongezeka kutoka akaunti Milioni 47.3 zilizokuwepo mwishoni mwa Juni 2023 hadi akaunti Milioni 51.4 kufikia mwisho wa Septemba 2023 ikiwa ni ongezeko la 8.7%
Ripoti hiyo ya Takwimu za hadi Septemba 2023, imerejelea idadi ya laini zote za simu zilizosajiliwa na zinatumika ambazo zina akaunti za fedha zilizotumika walau mara moja katika miezi mitatu
Aidha, jumla ya akaunti 9,248,902 zimejisajili kutumia huduma za fedha kupitia simu kwa mitandao mbalimbali nchini kuanzia Januari hadi Septemba 2023
Akaunti chache zaidi zimejisajili katika kipindi cha Machi hadi Aprili 2023 ikiwa ni Akaunti 586,873 huku akaunti nyingi zikisajiliwa katika kipindi cha mwezi Mei hadi Juni 2023, ikiwa ni akaunti 1,494,335
Akaunti zilizojiunga na Huduma za Fedha kwa Simu
Januari - 42,120,445
Februari - 43,172,914
Machi - 44,353,568
Aprili - 44,940,441
Mei - 45,781,325
Juni - 47,275,660
Julai - 48,673,694
Agosti - 50,007,613
Septemba - 51,369,347
Lakini pia idadi ya miamala imeongezeka kwa miaka mitatu iliyopita kutoka bilioni 3.4 kwa mwaka 2020 hadi bilioni 4.2 mnamo mwaka 2022