Tetesi: TCRA Wanaomiliki laini (simkadi) zaidi ya moja katika mtandao mmoja kupokonywa ifikapo June 2020

Upuuzi ..shenzi kabisa,
Wenzetu wako wanakimbia kwa kasi sisi tumebaki tunahangaika na laini za simu
Unaandika tetesi wakati kanuni ziko wazi tangia mwezi wa 2 tarehe 7! Na usipoteshe eti watapokonywa ila sema utapaswa kuchagua ni lain hipi uitumie na nyingine uziache na pia unaruhusiwa kuwa na lain zaid ya moja ndani ya mtandao mmoja isipokuwa lazima uireport utaitumia kwa matumizi ya modem tu na si vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika tetesi wakati kanuni ziko wazi tangia mwezi wa 2 tarehe 7! Na usipoteshe eti watapokonywa ila sema utapaswa kuchagua ni lain hipi uitumie na nyingine uziache na pia unaruhusiwa kuwa na lain zaid ya moja ndani ya mtandao mmoja isipokuwa lazima uireport utaitumia kwa matumizi ya modem tu na si vinginevyo.
Vipi kama laini moja ni ya shughuli za kibiashara kwa mawasiliano na wateja na nyingine ni kwa ajili ya mawasiliano yangu binafsi, sio modem, inakuwaje
 
Katika shirika ambalo halijui majukum yake ni TCRA baada ya kuangakia technolojia ina increase vipi wao wapo busy na SIM card
Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga!
Usumbufu umekuwa mwingi mno!
  • Tulisajili kwa majina mara ya kwanza, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe,
  • Tukarudia tukasajili kwa vitambulisho vya kura, napo mkasema ni batili
  • Mkasema tukamilishe usajili kwa kupiga picha mwaka juzi tukafanya hivyo lakini bado ikawa ni batili;
  • Mwaka jana mkadai tusajili kwa vitambulisho vya NIDA kwa alama za vidole, tumefanya hivyo bado mnaona hiyo haitoshi!
  • Mnataka mwaka huu wenye laini zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja muwazimie simu zao walizozisajili
TCRA kwa hili sasa sio ungwana kabisa! Naona kama ni usumbufu mnaofanya wala siyo weledi!

Kuna majibu mepesi eti; kwa wamiliki wanaohitaji laini zaidi ya moja watatakiwa kusaini fom maaalum;
Swali!
  1. Kama electronic data za vidole hamziamini mtu amiliki laini apendavyo, je hizo fomu maalum ndo zitaaminika?
  2. Hizo fomu zinawafikiaje wananchi huko vijijini?
  3. Kuna wafanya biashara ambao wana office zaidi ya moja ambazo zinahitaji namba za simu zaidi ya moja hilo hamjalifikilia?
TCRA mtatukosea sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vip nawewe ni Kizazi malalamiko! Tafuta pessa mkuuu malalamiko hayana tijja. Ukiwa na pessa Laini moja tu ya Simu inakutosha huna hajja ya Haloteli umpigie kwa Halo, Voda kwa Voda nk. Ukiwa njema UNATWANGA KOTE KOTE KWA LAINI MOJA hayo mambo ya kuwa na Laini Kibao ni Ishara za Uwoga wa Maisha.
Una hela gani wewe? Jitahidi mwaka huu utoke kwa shemeji yako lasivyo kijambio chako kipo hatarini.
 
Vip nawewe ni Kizazi malalamiko! Tafuta pessa mkuuu malalamiko hayana tijja. Ukiwa na pessa Laini moja tu ya Simu inakutosha huna hajja ya Haloteli umpigie kwa Halo, Voda kwa Voda nk. Ukiwa njema UNATWANGA KOTE KOTE KWA LAINI MOJA hayo mambo ya kuwa na Laini Kibao ni Ishara za Uwoga wa Maisha.
Kwahiyo mtu unataka awape vimada namba yake rasmi ya simu?
 
Haya mambo ya ajabu kabisa.
Tuambieni huu woga wa watu kumiliki namba zaidi ya moja kwa mtandao mmoja unatokana na nini?
Leteni sababu!!

Kama nimesajili namba moja yangu, ya pili nimeacha nyumbani kwa matumizi ya simu ya nyumbani inakuwaje hii?
Kama nimesajili laini tatu zingine za kwenye vibanda vyangu vya biashara ya kawaida sio kampuni inakuwaje hii?
Huo utakuwa ni uvunjwaji wa katiba....
haki ya kumiliki mali.....
sidhani kama watafanikiwa katika hili
 
Una matatizo ya akili, japo ni kazi sana kuliona hili, let say ninazo line mbili kwa sababu ya michepuko wewe kama binti unaumia nini?
Mkuu bora umemwambie wewe, Watu wamekuwa walalamishi mpaka inakera, anyway wengine wanajitetea kwa uhalifu wao waendeleee na Simu ya Mke na Mchepuko kivyake. Kwa wale Wafanyabiashara Rasmi upo utaratibu wa Simu za Kibiashara unapata mpaaka Laini 50 ktk mtandao mmoja. Sasa kama biashara yako hulipi kodi kazi kwako.
Mwanaume unamiliki laini za Simu kila mtandao kwani wewe Dalaliiii! Hizi dalili mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo sahihi la kufanya ni TCRA kuongeza uwezo wao wa kiteknolojia wa ku mcontrol mtu hata kama ana laini mia moja....
provided kwamba amezisajili
 
Badala ya kuumiza mibichwa yao kutafuta technology mpya wao wamekazana kugombana na line za simu kwanini majambazi na matapeli kila siku wanatapeli hatuoni cha maana akikamatwa mmoja wanavyomtangaza kana kwamba wamekamata Idd Amin! Wasituchoshe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Back
Top Bottom