kweliInawezekana bado hawajambana wanayemtafuta, wakimpata tutatulia.
Unachosema ni kweli wanataka kuleta mianya ya RUSHWA TU, hakuna lolote jipya. Tuliwaeleza kuwa watu wana matumizi mbalimbali na hizo laini, kwa mfano mimi nina laini mbili za Airtel, moja ni purely for my Laptop, haitumiki kwa jambi linguine lolote, ipo fulltime kwenye modem sasa mnataka kuifunga ili IWEJE? Nije kuwaomba omba hapo ofisini ili iweje, wacheni hizo. Laini nyingine ni fulltime kwenye simu. Hii ni hali kwa watumiaji wengi, siyo lazima wote tutumie simu all the time kwa mambo ya mitandao, wengine we enjoy using our PC s and computers kwa mambo ya mtandao via other separate SIM CARDS. TCRA acheni mambo hayo!Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga!
Usumbufu umekuwa mwingi mno!
TCRA kwa hili sasa sio ungwana kabisa! Naona kama ni usumbufu mnaofanya wala siyo weledi!
- Tulisajili kwa majina mara ya kwanza, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe,
- Tukarudia tukasajili kwa vitambulisho vya kura, napo mkasema ni batili
- Mkasema tukamilishe usajili kwa kupiga picha mwaka juzi tukafanya hivyo lakini bado ikawa ni batili;
- Mwaka jana mkadai tusajili kwa vitambulisho vya NIDA kwa alama za vidole, tumefanya hivyo bado mnaona hiyo haitoshi!
- Mnataka mwaka huu wenye laini zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja muwazimie simu zao walizozisajili
Kuna majibu mepesi eti; kwa wamiliki wanaohitaji laini zaidi ya moja watatakiwa kusaini fom maaalum;
Swali!
TCRA mtatukosea sana
- Kama electronic data za vidole hamziamini mtu amiliki laini zaidi ya moja, je hizo fomu maalum ndo zitaaminika?
- Hizo fomu zinawafikiaje wananchi huko vijijini?
- Kuna wafanya biashara ambao wana office zaidi ya moja ambazo zinahitaji namba za simu zaidi ya moja hilo hamjalifikilia?
- ufanisi na mazingila ya rushwa katika maombi maalum ya simkad mbili mnayajua?
Hata magari yanatumika kufanya uhalifu lakini mtu mmoja anamiliki magari 4 au 6 au zaidi kwa nini asibanwe, yote ya nini?.Mkuu bora umemwambie wewe, Watu wamekuwa walalamishi mpaka inakera, anyway wengine wanajitetea kwa uhalifu wao waendeleee na Simu ya Mke na Mchepuko kivyake. Kwa wale Wafanyabiashara Rasmi upo utaratibu wa Simu za Kibiashara unapata mpaaka Laini 50 ktk mtandao mmoja. Sasa kama biashara yako hulipi kodi kazi kwako.
Mwanaume unamiliki laini za Simu kila mtandao kwani wewe Dalaliiii! Hizi dalili mbaya
wameweka pamba masikioni; kwanza hata hayo ya kusema ukitaka ya pili ukawaombe, mbona sheria haiko wazi juu ya Hilo?Unachosema ni kweli wanataka kuleta mianya ya RUSHWA TU, hakuna lolote jipya. Tuliwaeleza kuwa watu wana matumizi mbalimbali na hizo laini, kwa mfano mimi nina laini mbili za Airtel, moja ni purely for my Laptop, haitumiki kwa jambi linguine lolote, ipo fulltime kwenye modem sasa mnataka kuifunga ili IWEJE? Nije kuwaomba omba hapo ofisini ili iweje, wacheni hizo. Laini nyingine ni fulltime kwenye simu. Hii ni hali kwa watumiaji wengi, siyo lazima wote tutumie simu all the time kwa mambo ya mitandao, wengine we enjoy using our PC s and computers kwa mambo ya mtandao via other separate SIM CARDS. TCRA acheni mambo hayo!
yaanBBM (Bongo bahati mbaya)
Huna akiliMkuu bora umemwambie wewe, Watu wamekuwa walalamishi mpaka inakera, anyway wengine wanajitetea kwa uhalifu wao waendeleee na Simu ya Mke na Mchepuko kivyake. Kwa wale Wafanyabiashara Rasmi upo utaratibu wa Simu za Kibiashara unapata mpaaka Laini 50 ktk mtandao mmoja. Sasa kama biashara yako hulipi kodi kazi kwako.
Mwanaume unamiliki laini za Simu kila mtandao kwani wewe Dalaliiii! Hizi dalili mbaya
kwa kuhangaisha wanainchWanahangaika tu ili mkuu wa nchi awaone wanafanya kazi, ubunifu zero
Tatizo uvivu wa kufikiri na uvivu wa ubunifu, wanataka watu watumie line za makampuni yao ili mengine yashindwe kujiendesha, mbona kila siku tunatapeliwa lakini hakuna chochote wanachofanya zaidi ya kupiga makele tu!Hata nagat
Hata magari yanatumika kufanya uhalifu lakini mtu mmoja anamiliki magari 4 au 6 au zaidi kwa nini asibanwe, yote ya nini?.
Suala la uhalifu halianzii kwenye laini nyingi. Mtu anaweza kuwa na laini 10 lakini kama hakuna ushahidi wa yeye kuhusika kwenye uhalifu utamtuhumu vipi?