NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Wakikujibu nibip Mkuu
Sent using ungo
Sent using ungo
mimi nilisema hiv: mpaka line zangu zianfike no service au emergeny call ndio wataiona sura yangu ma_ofcn mwao tofauti na hapo sifanyi upumbavu wa kwenda kupanga foreni mimi...hivyo
Inamaana nikitaka kuweka laini kwenye modem ya laptop kudownload movie nisubiri hadi movie iishe kudownload ndio niweze kuirudisha kwenye simu kwa ajili ya kupiga na kupokea simu?Watanzania lazima tusimame tuseme enough of this nonsense.
Matamko kila kukicha
Mwingine juzi alisema hairuhusiwi kutumia laini mbili za mtandao mmoja
Najiuliza hii security ya namna hiyo ni kwaajili gani?
Najaribu kufikiri nje ya box
Nadhani hii ni kwaawaajili ya kuwatisha watu wasiikosoe serikali mitandaoni kwasababu mitandao imekuwa mwiba mkali sana kwa serikali hasa baada ya kuzuia mikutano ya siasa.
Ikumbukwe kwamba rais alikuwa anatamani mitandao ya kijamii ifungwe..(kwa maoni yangu) hii ni gia nyingine.
Bado kidogo,
Tunakaribia kufika Sudan!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila kitu lazima uchangie, Mawakala wanaohusika kusajili line wanatumia Simu tena android phonea na deaigned apps za kusajilo simu karibu mitamdao yote nazifahamu/nishaziona maana wapo watu ninaofahamiana nao since wayback wanasajili line so hiyo finger print wanascan kupitia nini?Watanzania kwa kulalamika, tunaongoza duniani. Hata wangesema, kuanzia sasa hakuna kusajili line, unanunua na kutumia hapo hapo, tungelalamika. Kwa taarifa yako, kusajili line kwa finger print hakujaanza Leo, huu mwaka wa pili sasa na wananchi washaelewa. Makampuni ya simu wanao mawakala walioanza kusajili line kwa mfumo huo toka kitambo. Unga mkono juhudi, tusonge mbele. Tengeneza makala kuonesha faida za finger print badala ya kulalamika, Huu ni ujenzi was Tanzania mpya, utapata stress bure kupinga pinga maendeleo
M
Hata mimi haya maswali nilikuwa nayo...tunaenda mbele au nyumaHellow watu wa Mungu, salam..
TCRA wamenishangaza sana, wanataka alama za vidole kwa kila mmiliki wa line ya simu.. Nimejiuliza maswali mengi mno sijapata jibu sbb sioni sbb yoyote ya msingi kufanya hivyo ukilinganisha na technology ya kisasa iliyopo.. Let's get down to details kwanini nawashangaa
1: Ukimiliki simu, TCRA wanajua line yako, simu yako, na IMEI ya simu yako..
2. Hata ukibadili line katika simu nyingine, ukawasha, still wanajua, unatumia simu gani, IMEI ipi, uko wapi at present position etc
3. Ukiamua, utumie mtandao kwa line yako, still TCRA wanajua IP address yako, uko wapi and a precise location..
4: Simu unazopiga, kuingia, sms, data usage, etc etc wanazo, hata utumie line mpya lakini haina jina still watapata details zote hizo..
Swali rahisi kabisa, je alama ya vidole ndio security sign kubwa zaidi kuliko hizo correct digital details kama ni security mnahitaji? The answer is BIG NO definitely..
Je, alama ya vidole nchi nzima, let's say only 40% wenye line wamejiweza wakaenda, 60% hawajaweza, na mkawafungia tuseme, serikali hawaoni watapoteza matrilioni ya shilingi kwa kuwapoteza hawa ambao hawajaenda kutoa alama ya vidole..?
Swali la mwisho na kubwa kabisa lenye kikwazo haswa, ukisema mwananchi aende na IDs za NIDA wengi hawana, IDs za Mpiga kura wengi hawana na wenye umri wa 18 and below hawana, ID za shule labda sekondari hapo wanazo ila akimaliza tu shule wanaacha so hizo hazifai, hili tu la IDs watapoteza wateja mamilioni, hii ina maana serikali itapoteza matrilioni ya shilingi kwa kupoteza wateja wengi mnooooo
Kama issue ni security, finger print sio realible these days, njia za kisasa za kidigitali nilizotaja hapo juu ndio very correct one and world wide are using..!!
Sijaelewa TCRA wamekaa na kujadili hasara kubwa itakayojitokeza sbb tu ya kutafuta finger prints za watu... Nimeshangaa sana. Siku hizi kumkamata mhalifu finger prints is nothing, just unatakiwa kujua line yake tu, basii. TCRA, msaidieni mh Rais wetu, apate mapato ya kutosha, hizi ideas zenu za kuja kuleta hasara kubwa unreasonably acheni.
yule mzee alipita kwao kukagua kweli?Tcra are worst dog's
Sitaenda kusajili hiyo fingerprint
God first
JE WEWE MHALIFUKikawaida fingerprint ni utaratibu unaotumiwa polisi kuwatambua wahalifu, ina maana watanzania wote wanatakiwa kufanyiwa surveillance kama watu waliokwisha kufanya matukio ya kihalifu!? kwa hili wengi tutafungiwa laini zetu
Namaanisha huo usumbufu wa kupanga foleni pasipokuwa na mashikoJE WEWE MHALIFU
Mkuu hutaki kutambuliwa? Fingerprints ni kwa ajili ya kukutambua in relation to that Simcard. Bado fingerprints zinatumika nchini mwetu kumtambua mtu hata huko ulaya bado wanawatambua raia wao kwa njia ya fingerprints na DNA. Acha waanze kwanza kututambua kwa fingerprints. We need to start from somewhere mkuu!