Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,850
- 16,747
Hellow watu wa Mungu, salam..
TCRA wamenishangaza sana, wanataka alama za vidole kwa kila mmiliki wa line ya simu.. Nimejiuliza maswali mengi mno sijapata jibu sababu sioni sababu yoyote ya msingi kufanya hivyo ukilinganisha na technology ya kisasa iliyopo.. Let's get down to details kwanini nawashangaa
1: Ukimiliki simu, TCRA wanajua line yako, simu yako, na IMEI ya simu yako..
2. Hata ukibadili line katika simu nyingine, ukawasha, still wanajua, unatumia simu gani, IMEI ipi, uko wapi at present position etc
3. Ukiamua, utumie mtandao kwa line yako, still TCRA wanajua IP address yako, uko wapi and a precise location.
4: Simu unazopiga, kuingia, sms, data usage, etc etc wanazo, hata utumie line mpya lakini haina jina still watapata details zote hizo..
5: Utaratibu wa sasa wa kusajili line mpya, unapigwa picha iliyo clear kabisa na ku upload ktk system, kisha kitambulisho ulichosajilia line kinapigwa picha na inaingizwa ktk system ya kampuni ya simu husika, na majibu yanarudi instantly, kuwa picha na kitambulisho vimekubalika, je picha ya passport size ya mmiliki wa line si zaidi ya finger print.
Swali rahisi kabisa, je alama ya vidole ndio security sign kubwa zaidi kuliko hizo correct digital details kama ni security mnahitaji? The answer is BIG NO definitely..
Je, alama ya vidole nchi nzima, let's say only 40% wenye line wamejiweza wakaenda, 60% hawajaweza, na mkawafungia tuseme, Serikali hawaoni watapoteza matrilioni ya shilingi kwa kuwapoteza hawa ambao hawajaenda kutoa alama ya vidole..?
Swali la mwisho na kubwa kabisa lenye kikwazo haswa, ukisema mwananchi aende na IDs za NIDA wengi hawana, IDs za Mpiga kura wengi hawana na wenye umri wa 18 and below hawana, ID za shule labda sekondari hapo wanazo ila akimaliza tu shule wanaacha so hizo hazifai, hili tu la IDs watapoteza wateja mamilioni, hii ina maana serikali itapoteza matrilioni ya shilingi kwa kupoteza wateja wengi mnooooo
Kama issue ni security, finger print sio realible these days, njia za kisasa za kidigitali nilizotaja hapo juu ndio very correct one and world wide are using..!!
Sijaelewa TCRA wamekaa na kujadili hasara kubwa itakayojitokeza sbb tu ya kutafuta finger prints za watu... Nimeshangaa sana. Siku hizi kumkamata mhalifu finger prints is nothing, just unatakiwa kujua line yake tu, basii. TCRA, msaidieni mh Rais wetu, apate mapato ya kutosha, hizi ideas zenu za kuja kuleta hasara kubwa unreasonably acheni. TCRA tayari mna TTMS, inawapatia kila kitu at your finger tips. Ukianzisha project hasa kama hii ya finger print nchi nzima lazima ufikiri mara elfu na elfu, big question is, DOES IT REALLY WORTH THE INVESTMENT? You can rethink again, mtapoteza trillions kwa maamuzi yasiyo na umuhimu mkubwa..!! Ni ushauri tu
👏👆 Asante Mh. Rais wetu, atleast umesikia kilio cha wanyonge
TCRA wamenishangaza sana, wanataka alama za vidole kwa kila mmiliki wa line ya simu.. Nimejiuliza maswali mengi mno sijapata jibu sababu sioni sababu yoyote ya msingi kufanya hivyo ukilinganisha na technology ya kisasa iliyopo.. Let's get down to details kwanini nawashangaa
1: Ukimiliki simu, TCRA wanajua line yako, simu yako, na IMEI ya simu yako..
2. Hata ukibadili line katika simu nyingine, ukawasha, still wanajua, unatumia simu gani, IMEI ipi, uko wapi at present position etc
3. Ukiamua, utumie mtandao kwa line yako, still TCRA wanajua IP address yako, uko wapi and a precise location.
4: Simu unazopiga, kuingia, sms, data usage, etc etc wanazo, hata utumie line mpya lakini haina jina still watapata details zote hizo..
5: Utaratibu wa sasa wa kusajili line mpya, unapigwa picha iliyo clear kabisa na ku upload ktk system, kisha kitambulisho ulichosajilia line kinapigwa picha na inaingizwa ktk system ya kampuni ya simu husika, na majibu yanarudi instantly, kuwa picha na kitambulisho vimekubalika, je picha ya passport size ya mmiliki wa line si zaidi ya finger print.
Swali rahisi kabisa, je alama ya vidole ndio security sign kubwa zaidi kuliko hizo correct digital details kama ni security mnahitaji? The answer is BIG NO definitely..
Je, alama ya vidole nchi nzima, let's say only 40% wenye line wamejiweza wakaenda, 60% hawajaweza, na mkawafungia tuseme, Serikali hawaoni watapoteza matrilioni ya shilingi kwa kuwapoteza hawa ambao hawajaenda kutoa alama ya vidole..?
Swali la mwisho na kubwa kabisa lenye kikwazo haswa, ukisema mwananchi aende na IDs za NIDA wengi hawana, IDs za Mpiga kura wengi hawana na wenye umri wa 18 and below hawana, ID za shule labda sekondari hapo wanazo ila akimaliza tu shule wanaacha so hizo hazifai, hili tu la IDs watapoteza wateja mamilioni, hii ina maana serikali itapoteza matrilioni ya shilingi kwa kupoteza wateja wengi mnooooo
Kama issue ni security, finger print sio realible these days, njia za kisasa za kidigitali nilizotaja hapo juu ndio very correct one and world wide are using..!!
Sijaelewa TCRA wamekaa na kujadili hasara kubwa itakayojitokeza sbb tu ya kutafuta finger prints za watu... Nimeshangaa sana. Siku hizi kumkamata mhalifu finger prints is nothing, just unatakiwa kujua line yake tu, basii. TCRA, msaidieni mh Rais wetu, apate mapato ya kutosha, hizi ideas zenu za kuja kuleta hasara kubwa unreasonably acheni. TCRA tayari mna TTMS, inawapatia kila kitu at your finger tips. Ukianzisha project hasa kama hii ya finger print nchi nzima lazima ufikiri mara elfu na elfu, big question is, DOES IT REALLY WORTH THE INVESTMENT? You can rethink again, mtapoteza trillions kwa maamuzi yasiyo na umuhimu mkubwa..!! Ni ushauri tu
👏👆 Asante Mh. Rais wetu, atleast umesikia kilio cha wanyonge