Kama kwenye miaka 50 tunatoa 10 atabaki na 40, basi ni dada ndugu yangu, si shangazi Tena.Aah wapi, hapo kwa harakaharaka umeongeza 10. Ni hisia zangu tu inaweza kuwa tofauti
mafanikio bila jasho, soma komentis za wadau 😂Ukiitoa sababu nitag pls
Huyo kijana anashindia ufuta na maji baridi,tumuombee tu.Kwa kweli,, mi toka usichana wangu nina allergie mbaya kali sana na wasiokuwa na pesa
Hapa ni issue ya wivu tu na kutokujiamini,kwa huyo bidada,Sababu ya bidada kukuchukia inaweza kuwa ni ipi?
😆😆 Hii yote ni wivuHuyo kijana anashindia ufuta na maji baridi,tumuombee tu.
Hongera kipenzi, siku zote huwa najua wewe ni age moja na akina Saint AnneSijafikisha bado kabisa niko kwenye 40
Ngoja nimcheki Active tumfungulie Seran.😆😆 Hii yote ni wivu
Uzuri wewe husikilizagi maneno ya uongo..Kwa kweli,, mi toka usichana wangu nina allergie mbaya kali sana na wasiokuwa na pesa
Ungejua hayo maneno yeye aliyokwambia wewe ndio ya uongo,eti pesa si chochote.Uzuri wewe husikilizagi maneno ya uongo..
nakumbuka uliniambia pesa si chochote kwenye mapenzi ya kweli 😊
Mi sijui,, lakini baadhi ya niliosoma nao wanaonekana wazee kabisa.
Na huwa nikikutana na watu wananiambia kwa nn huzeeki.
labda nilichelewa kuanza starehe na pia najitunza sana kuanzia chakula mpaka vipodozi
Ungejua hayo maneno yeye aliyokwambia wewe ndio ya uongo,eti pesa si chochote.
I seeKwa kweli,, mi toka usichana wangu nina allergie mbaya kali sana na wasiokuwa na pesa
Hongera kipenzi, siku zote huwa najua wewe ni age moja na akina Saint Anne
GenZ wanasema pisi ya kwendaPisi ya maana