Uzuri leo wanajf hawajapandisha visukari Ila ningeisha 😂Haya rudia kusoma 😂
Hahahaha bi mkubwa alikuwa anapenda sana urembo na fashion ko lzm utasikia akitamka na kumuona hii imenifanya nipende wanawake wanaojipenda pia hata km akiwa rafu akiwa mtu wangu ntamshepu kiaina
Mekuona ulikuwa Msweet kweli kweli 👌😍Sijafikisha bado kabisa niko kwenye 40
Nishaona siwezi kumuonyesha mtu mimi 🤣Sura yangu kabla nimeifanyia ujanja huyo mfanyqkazi mwenza sikuifanya
pls usionyeshe sura yake
Hahaha 😂😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Humu JF kuna huyu leo dada na binti kiziwi yani hawa toka mwanzo hua nakua makini sana nikiwaquote,japo mimi ni mtu wa jokes sometimes najisahau,ila hawa Wadada wawili hua nahisi ni wadada wenye heshima zao,
Simaanishi kua wadada wengine hawana heshima zao ila automatic tu hua nahisi hawa wadada nahitaji kuwaheshimu zaidi ya kawaida.
Vichomi wote wapo korokoroni 😂😂😂Uzuri leo wanajf hawajapandisha visukari Ila ningeisha 😂
Maskin boss wa watu 🤣 mshampgia mahesabuUlinoga! Picha kama vile imepigwa mwaka juzi.
Huyo dada alivyoona boss hajakusema akajua boss amekuelewa.
kama upo home na mna kauwanja kadogo hata ka 20ft kwa ishirini anza nako hata na mboga ambazo mtaani kwenu mnakula my friend after sometime you will be on another level au hata kwenye mifuko ya cement au yeyote ile unaweza bro na haki hapo kwenu HODI hazitakauka hapo home.I gat you de mopak
Sio issue ya kua na hadhi wala cheo,kumuheshimu mtu heshima ya kweli hakuhitaji sababu ya aina yeyote ile ili kumuheshimu mtu huyo.Asante kwa kunipa heshima hiyo.
sina hadhi wala cheo lakini hii huwa inanitokea sana katika maisha yangu kupewa heshima na jamii mpka familia
🤍 I’m humble you know (kwa sauti ya Le mbebez) 🤣Humu JF kuna huyu leo dada na binti kiziwi yani hawa toka mwanzo hua nakua makini sana nikiwaquote,japo mimi ni mtu wa jokes sometimes najisahau,ila hawa Wadada wawili hua nahisi ni wadada wenye heshima zao,
Simaanishi kua wadada wengine hawana heshima zao ila automatic tu hua nahisi hawa wadada nahitaji kuwaheshimu zaidi ya kawaida.