TBT

TBT

Humu JF kuna huyu leo dada na binti kiziwi yani hawa toka mwanzo hua nakua makini sana nikiwaquote,japo mimi ni mtu wa jokes sometimes najisahau,ila hawa Wadada wawili hua nahisi ni wadada wenye heshima zao,

Simaanishi wadada wengine hawana heshima zao ila automatic tu hua nahisi hawa wadada nahitaji kuwaheshimu zaidi ya kawaida.
Ndugu yangu we unabusara..
 
Naishi Dsm- Kigamboni inaweza kuwa rasmi au isiyo rasmi brother
ok sitaki nikudanganye kwa sasa but nikisikia nafasi sehemu ntakwambia. Ok jah rasta farai de bomboclat de rasta de no die. Afu si ujaribu kilimo kidogo kidogo bro unaweza toka na ukaona hata kazi za watu ni miyeyusho. Mleta uzi sorry tupo nje ya mada bt it can help somebody.
 
Humu JF kuna huyu leo dada na binti kiziwi yani hawa toka mwanzo hua nakua makini sana nikiwaquote,japo mimi ni mtu wa jokes sometimes najisahau,ila hawa Wadada wawili hua nahisi ni wadada wenye heshima zao,

Simaanishi kua wadada wengine hawana heshima zao ila automatic tu hua nahisi hawa wadada nahitaji kuwaheshimu zaidi ya kawaida.

Mi ndio nimejua leo huyu Bimkubwa age imesonga. Japo mimi kila mtu namheshimu humu. 😊
 
Back
Top Bottom