Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 5,640
- 10,699
Hawa watu wa jf usiombe uwakosee af umejoin by 2022+Uzuri leo wanajf hawajapandisha visukari Ila ningeisha 😂
utaskia "Jf imevamiwa, hii sio ile yetu ya 2008" 🤣
Hawa watu wa jf usiombe uwakosee af umejoin by 2022+Uzuri leo wanajf hawajapandisha visukari Ila ningeisha 😂
Ila babu kumpanga bibi kijanja 😂 mm mjukuu wako nimekushtukiaSio issue ya kua na hadhi wala cheo,kumuheshimu mtu heshima ya kweli hakuhitaji sababu ya aina yeyote ile ili kumuheshimu mtu huyo.
Hakika wewe ni fantastic sanaThanks for the compliment.
Please usiseme chochoteHuyu utani tu hana lolote
Age imesonga ki ukweli. lakini ukiniona live na miaka utakataa
Sasa huyo Fundi cherehani atakupa nini mtu kama wewe,Huyu utani tu hana lolote
Moja hivi sikumbuki vizuri ulitupa humu ulielezea maeneo ya sayansi-kijitonyama enzi hizo wengi hatujaja mjini bado.Wa mjini kidogo sio sana,, story ipi hiyo
Kuna siri gani? Inakuwaje age inasonga na unaonekana bado? 😊
Aah wapi, hapo kwa harakaharaka umeongeza 10. Ni hisia zangu tu inaweza kuwa tofautiKwa Sasa una umri wa miaka 54!
Ukiitoa sababu nitag plsSababu ntatoa next episode. uhondo utapungua
Ipo wazi RUNGU LA KOMREDI.KIPEPESababu ya bidada kukuchukia inaweza kuwa ni ipi?
Sijaona sehemu kwenye uzi wake alipoandika ulichoandikaIpo wazi RUNGU LA KOMREDI.KIPEPE
😆😆😆😆 Ila we jamaaSasa huyo Fundi cherehani atakupa nini mtu kama wewe,
Seran mwenyewe kila siku anapelekewa zawadi ya Juice ya miwa utafikiri Seran ni Nyuki.