TBT: Mwaka 2014 TEC na Jukwaa la Kikristo Tanzania liloagiza kusitishwa Bunge la Katiba baada ya ccm kupora mchakato mzima.

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,146
20,302
Mwaka 2014 Jukwa la TEC,Tasisi ya Waadventist Wasabato na La Kikrito Tanzania lilisitisha Bunge la Katiba Mpya baada ya kuona ccm imepora mjadala na kutaka kufanya wanavyotaka wao huku wakipuuza maoni ya wananchi.
Rais Kikwete akatumia busaea za Walaka ule akaachana na mchakato ule uliokuwa unaenda kinyume na Malengo.

"...... Sisi tunaona mchakato wa mabadiliko ya katiba unapokwa na wanaccm wenye wabunge wengi huku Spika akitumia nguvu na uhabe kupitisha maoni binafsi nje yanwaliyotoa wananchi,. Pia tunaona vijembe na matusi yakiendelea bungeni na serikali kufunga tovuti ya Kamati ya kukusanya maoni ni dalili mbaya kuwa serikali haina nia njema.....". Ilisema sehemu ya Walaka huo.

Pia hii inanikumbusha mgogoro wa OIC mwaka 1994 ambapo Rais Mwinyi aliamua kuachana nao kwani ulikuwa unaenda kinyume na Katiba.

Hata hili la DPW akiachana nalo yeye sio wa kwanza kikubwa maslahi ya Taifa kwanza.
 
Mwaka 2014 Jukwa la TEC,Tasisi ya Waadventist Wasabato na La Kikrito Tanzania lilisitisha Bunge la Katiba Mpya baada ya kuona ccm imepora mjadala na kutaka kufanya wanavyotaka wao huku wakipuuza maoni ya wananchi.
Rais Kikwete akatumia busaea za Walaka ule akaachana na mchakato ule uliokuwa unaenda kinyume na Malengo.

"...... Sisi tunaona mchakato wa mabadiliko ya katiba unapokwa na wanaccm wenye wabunge wengi huku Spika akitumia nguvu na uhabe kupitisha maoni binafsi nje yanwaliyotoa wananchi,. Pia tunaona vijembe na matusi yakiendelea bungeni na serikali kufunga tovuti ya Kamati ya kukusanya maoni ni dalili mbaya kuwa serikali haina nia njema.....". Ilisema sehemu ya Walaka huo.

Pia hii inanikumbusha mgogoro wa OIC mwaka 1994 ambapo Rais Mwinyi aliamua kuachana nao kwani ulikuwa unaenda kinyume na Katiba.

Hata hili la DPW akiachana nalo yeye sio wa kwanza kikubwa maslahi ya Taifa kwanza.
we ni taahira au ni binadamu wa aina gani. Km hujui jambo lolote si ukae kimya. Mchakato uliosimamishwa ni upi.
 
Unataarifa sahihi kuhusu OIC Mwinyi hakuachana nao bali aliruhusu ila Wazanzibari wakashindwa Kusajili kwasababu sio Sovereign state soma kitabu cha Mwinyi na 38 quotes za Nyerere acha kuweka uwongo. 2014 Bunge liliendelea na kura ikapigwa.
 
Mwaka 2014 Jukwa la TEC,Tasisi ya Waadventist Wasabato na La Kikrito Tanzania lilisitisha Bunge la Katiba Mpya baada ya kuona ccm imepora mjadala na kutaka kufanya wanavyotaka wao huku wakipuuza maoni ya wananchi.
Rais Kikwete akatumia busaea za Walaka ule akaachana na mchakato ule uliokuwa unaenda kinyume na Malengo.

"...... Sisi tunaona mchakato wa mabadiliko ya katiba unapokwa na wanaccm wenye wabunge wengi huku Spika akitumia nguvu na uhabe kupitisha maoni binafsi nje yanwaliyotoa wananchi,. Pia tunaona vijembe na matusi yakiendelea bungeni na serikali kufunga tovuti ya Kamati ya kukusanya maoni ni dalili mbaya kuwa serikali haina nia njema.....". Ilisema sehemu ya Walaka huo.

Pia hii inanikumbusha mgogoro wa OIC mwaka 1994 ambapo Rais Mwinyi aliamua kuachana nao kwani ulikuwa unaenda kinyume na Katiba.

Hata hili la DPW akiachana nalo yeye sio wa kwanza kikubwa maslahi ya Taifa kwanza.
Mimi pia nilishasema, watumishi wa Yesu Kristo na wa Baba yetu aliye mbinguni - Yehova, wakishasema, Mungu huwa amezungumza...

Hakuna mamlaka nyingine yoyote iliyo kuu duniani wala mbinguni kupinga mamlaka ya Jina la Yesu Kristo iliyo ndani yetu aliyotupa sisi watumishi wake. Maaskofu wetu ni sauti ya Yesu Kristo..

Kanisa la Mungu likisimama imara, hakuna nguvu nguvu wala mawakala wa shetani watakaoweza kuwa - manipulate viongozi wa serikali yetu kufanya maamuzi ya kuingamiza nchi..

Asante kanisa la Yesu Kristo - Tanzania kwa kusimama imara Kwa ajili ya nchi yetu. Wakristo wote Tanzania tuendelee kuomba kwa nguvu zote.

Adui wa taifa hili zuri la Tanzania ameshashindwa..
 
Mwaka 2014 Jukwa la TEC,Tasisi ya Waadventist Wasabato na La Kikrito Tanzania lilisitisha Bunge la Katiba Mpya baada ya kuona ccm imepora mjadala na kutaka kufanya wanavyotaka wao huku wakipuuza maoni ya wananchi.
Rais Kikwete akatumia busaea za Walaka ule akaachana na mchakato ule uliokuwa unaenda kinyume na Malengo.

"...... Sisi tunaona mchakato wa mabadiliko ya katiba unapokwa na wanaccm wenye wabunge wengi huku Spika akitumia nguvu na uhabe kupitisha maoni binafsi nje yanwaliyotoa wananchi,. Pia tunaona vijembe na matusi yakiendelea bungeni na serikali kufunga tovuti ya Kamati ya kukusanya maoni ni dalili mbaya kuwa serikali haina nia njema.....". Ilisema sehemu ya Walaka huo.

Pia hii inanikumbusha mgogoro wa OIC mwaka 1994 ambapo Rais Mwinyi aliamua kuachana nao kwani ulikuwa unaenda kinyume na Katiba.

Hata hili la DPW akiachana nalo yeye sio wa kwanza kikubwa maslahi ya Taifa kwanza.
Hatudekezi mtu hapa.
 
Back
Top Bottom