Hata waseme vipi, watanzania wanampenda Dr. Slaa, No one will change it.Moyo wa mwanadamu ndivyo ulivyo. Mwaka 2005 kikwete alipendwa sana lakini kipindi chake kimeshapita.Every thing has got an end. For your information kitu ambacho kitazidi kuiangamiza serikali ni kuendeleza propaganda dhidi ya Dr. Slaa.
Dr. Slaa sasa ana chini ya mwaka mmoja tu katika umaarufu huu wa sasa, kumbuka kuwa ata Mtikila na Lyatonga Mrema pia walikuwa na umaarufu miongoni mwa Watanzania na Umaarufu ule wa Mrema bado haujafikiwa na Dr. Slaa mpaka sasa lakini pamoja na umaarufu wao huo kadri muda ulivyokwenda walizidi kuwa irrelevant na kupoteza thamani zao kisiasa, somo hili linajulikana.
Muda mfupi huu baada ya uchaguzi, Dr. Slaa anaanza kupoteza sifa muhimu ya kuisimamia amani ya nchi hii na busara ya uongozi ya kujali maisha ya wafuasi wake, kama ilivyokuwa kwa Mtikila na Mrema ni suala la muda tu kabla hajaonekana kituko katika ulingo wa siasa za Tanzania, wait and see...