TBC1: Ukweli wa yaliyojiri Arusha

Hata waseme vipi, watanzania wanampenda Dr. Slaa, No one will change it.Moyo wa mwanadamu ndivyo ulivyo. Mwaka 2005 kikwete alipendwa sana lakini kipindi chake kimeshapita.Every thing has got an end. For your information kitu ambacho kitazidi kuiangamiza serikali ni kuendeleza propaganda dhidi ya Dr. Slaa.

Dr. Slaa sasa ana chini ya mwaka mmoja tu katika umaarufu huu wa sasa, kumbuka kuwa ata Mtikila na Lyatonga Mrema pia walikuwa na umaarufu miongoni mwa Watanzania na Umaarufu ule wa Mrema bado haujafikiwa na Dr. Slaa mpaka sasa lakini pamoja na umaarufu wao huo kadri muda ulivyokwenda walizidi kuwa irrelevant na kupoteza thamani zao kisiasa, somo hili linajulikana.

Muda mfupi huu baada ya uchaguzi, Dr. Slaa anaanza kupoteza sifa muhimu ya kuisimamia amani ya nchi hii na busara ya uongozi ya kujali maisha ya wafuasi wake, kama ilivyokuwa kwa Mtikila na Mrema ni suala la muda tu kabla hajaonekana kituko katika ulingo wa siasa za Tanzania, wait and see...
 
Jeshi la polisi lisijidanganye kwamba linaweza kujisafisha lenyewe kwa hizo Propoganda zao.Tangu lini Hakimu akajihukumu kwenye kesi yake mwenyewe(Conflict of Interest).Njia Pekee ya kutatua hili swala ni kuundwa kwa Tume huru yakimahakama kufanya uchunguzi wa hili swala na wale wote watakaobainika kuhusika kuua na kujeruhi Mkondo wa Sheria uwaadhibu na kwakufanya ivyo Wananchi Watarudisha Imani ktk Jeshi la Polisi ila Kuingiza Propaganda kwenye swala lililogharimu maisha ya Watu na wengine kusababishiwa Ulemavu wa Maisha hakutawasaidia.

Uindwe tume kwenye jambo lilio wazi, chanzo ni Chadema kuwaprovoke polisi ili maandamono yao yazuiwe na kuzua vurugu bila kujali madhara yatakayowapata wafuasi wake ili wapate mtaji wa kisiasa wa kuipa lawama serikali lakini kwa bahati mbaya sana hili litabackfire na kuwadidimiza wao kisiasa.
 
Naona hoja nyingi ni chadema wamefanya hiki na kile. Yule Mkenya aliuawa katika mazingira gani? Kilichokuwa kikifanywa na polisi kilikuwa kumshambulia kila mtu waliyemdhani anastahili kushambuliwa hata kama mazingira hayakuwa yakionyesha uvunjifu wa amani na watu walioathirka siyo waliokuwa kwenye suala la maandamano. Soko la Arusha lilikuwa na uhusiano gani na maandamano?mbona mabomu yalifyatuliwa hadi kule?
 
Kuna mtu humu kaita wanamapinduzi wa Ar wahuni. Yeye ni ma*lay*a wa huko aliko. Ashukuru Mungu Mods wanamlinda shzi type.
 
kwa walichofanya pale na ile sinema yao kwa mwenye akili timamu ataelewa mipango yao iliyofanywa na polisi na serikali,ila watambue hawawezi kudanganya watu wa kizazi cha leo kisichodanganyika.
Sasa sitoshangaa mchakachuaji mkuu aka kubwa la maadui aka mlinda mafisadi akatoa kauli.
kumbukeni hata wakisema wawaue au kuwafunga viongozi wa chadema,sio dawa ya kuzuia mabadiliko hata chembe.

Kwa busara ndogo zilizoonyeshwa na viongozi wa Chadema kwenye mkutano wao wa arusha na kupelekea mpambano wa ana kwa ana kati ya wafuasi wao na polisi na hivyo kupelekea kuuawa kwa vijana wale, viongozi wa Chadema wameshaichagua njia ya kuelekea kufa kisiasa, CCM inachopaswa kufanya sasa ni kuwakumbusha tu wananchi maafa yaliyotokea na sababu ya maafa hayo, kwisha kazi.
 
Chadema walishajulikana ni watu wanaotaka kuleta vurugu na uvunjifu wa Amani wa nchi hii.

Sababu za msingi hawana, kuhusu katiba JMK kisha waambia tayari tunashughulikia uundwaji wa tume. Umewashuka.

Kuhusu Arusha umeya, mpaka saini zao za mahudhurio ya kumchaguwa Meya zipo kwenye kitabu, kuwa walihudhuria, walipoona wanashindwa wakatoka. Mara wameanzisha fujo, wakapigana risasi, kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa chadema wenyewe ama kwa kutumia mbinu za chokochoko ndio waliuwa kwa risasi na kutaka kuisingizia Serikali. Umewashuka.

Wanachotaka ni umwagikaji damu, kafara za kanisa kila miaka 50 ni damu ya binadaam.
 
jamani tusiwe bias kiasi hiki ujue wewe ukiwa bias na wenzio watakua bias. Maanayake gap btn litakua kubwa.Tbc hawajaanda hii video wamepewa warushe imeandaliwa na wizara ya habar
 
CDM nao wapewe airtym based on TBC questions. otherwise CDM weka matukio yote ya Arusha kwenye CD bila kuedit. Mutauza kukijengea chama uwezo na pia kutupa ujasiri.

Hawataipata hiyo coverage, wanapaswa wajue kucheza siasa ndani ya mazingira yaliyopo, mpira upo upande wao.
 
chadema walishajulikana ni watu wanaotaka kuleta vurugu na uvunjifu wa amani wa nchi hii.

Sababu za msingi hawana, kuhusu katiba jmk kisha waambia tayari tunashughulikia uundwaji wa tume. Umewashuka.

Kuhusu arusha umeya, mpaka saini zao za mahudhurio ya kumchaguwa meya zipo kwenye kitabu, kuwa walihudhuria, walipoona wanashindwa wakatoka. Mara wameanzisha fujo, wakapigana risasi, kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa chadema wenyewe ama kwa kutumia mbinu za chokochoko ndio waliuwa kwa risasi na kutaka kuisingizia serikali. Umewashuka.

Wanachotaka ni umwagikaji damu, kafara za kanisa kila miaka 50 ni damu ya binadaam.


hapo kwenye red, acha uchochezi! Kumbe na wewe ni wale wale? Una elimu gani? Std ...
 
Tujue kwamba mauaji hayakutokea wakati wa maandamano. Mauaji yametokea baada ya maneno ya ndesamburo kusema risasi zitaisha twende tukawatoe kina lema pamoja na maneno ya Kichaa SLAA kusema serikal yakikwete haitatawalika twenden tukakiteketeze kituo. Huu ni uhain wawazi. Baada ya hapo ndo mauaji yakatokea wakati kikao na maandamano yalikua yamekwisha kilichobaki ni fujo ziliagizwa na padre
 
Dr. Slaa sasa ana chini ya mwaka mmoja tu katika umaarufu huu wa sasa, kumbuka kuwa ata Mtikila na Lyatonga Mrema pia walikuwa na umaarufu miongoni mwa Watanzania na Umaarufu ule wa Mrema bado haujafikiwa na Dr. Slaa mpaka sasa lakini pamoja na umaarufu wao huo kadri muda ulivyokwenda walizidi kuwa irrelevant na kupoteza thamani zao kisiasa, somo hili linajulikana.

Muda mfupi huu baada ya uchaguzi, Dr. Slaa anaanza kupoteza sifa muhimu ya kuisimamia amani ya nchi hii na busara ya uongozi ya kujali maisha ya wafuasi wake, kama ilivyokuwa kwa Mtikila na Mrema ni suala la muda tu kabla hajaonekana kituko katika ulingo wa siasa za Tanzania, wait and see...

Mkuu thanx a milion.
Watanzania ni waelewa kuliko tunavyodhani, wanajua fika dr slaa ni mtu wa kutakakuingia ikulu kwa kuforce, alipo Mrema na Mtikila atafika tu na yeye, its matter of time
 
Duh, jamani hili shirika letu linakufa kabisa sasa. Jana nimehudhulia kongamano la katiba pale Nkurumah Hall, nimekuja kuangalia habari TBC1, ujinga wanaoufanya, unaweza kulia.

Eti wamemnukuu Professor Shivji akisema hakuna haja ya Katiba mpya, iliyopo inaeza kurekebishwa tu, na eti kasema anamuunga mkono raisi uundwaji wa tume, hivyo hivyo wakamnukuu Ulimwengu akisema lazima tujirekebishe kwanza kimaadili kabla ya kupata katiba mpya.

Eti, mpaka Tundu lisu kasema hatuhitaji katiba mpya? ya tundu lisu wamechakakua kabisaaaaa.

mtu ambae hakuenda kwenye kongamano, na ambaye hajaona wala kusikia toka kwingine kuhusu kongamano hilo, na akawa ameangalia TBC1 peke yake, atahitimisha kwamba watu wote wa kwenye kongamano hawakua wanataka katiba mpya, hii dhambi kubwa sana TBC1.

yaani wamechukua vipengele vya sentensi na kuziunga unga, ili kupata upotoshaji huo walioufanya. hii dhambi kubwa sana kufanywa na shirika letu, na bila shaka shirika litakufa sasa hivi, wamuulize Rostam na magazeti yake kama anauza, siku hizi ni hasara tupu.



 
ndio matunda ya kuwa na waajiriwa wasio na confidence wala professional standards... yeye anamuangalia anayesaini payroll, haangalii anayemuweka mjini
 
Hicho kipindi ni Cha Police wanajitetea duniani huko wajue kuwa ati sio wao ila swala ni mmoja

Walidai kuzui maandamano coz of Intelligencer na ni ipi hiyo? na kama walijua si wangewakamata hao watu? au hilo jungu lilipikwa na akina nani hao police watuambie.

Ilikuwaje watu walitembea km2 from Philips haki Tanki la maji karibu na jengo la takukuru na walikuwa wakilindwa na police na gafla hapo tanki la maji ndipo palipotokea kurupushani na nani alilianzisha na kwanini pale ndipo patokee vurugu huku walitembea almost 2km na hapakuwa na shida na TBC1 hawajaonyesha hilo tukio wameonyesha watu wakipanda magari ya police ila vurugu iliyotokea pale hawajaionysha kwanini maana pale ndipo chanzo cha vurugu nzima na wasisingizie ati wananchi waliandamana kwenda vamia kituo cha police. TBC1 kwa taaarifa yenu kuna watu wana mikanda hiyo kuweni makini msitumiwe na police kurusha uongo ivi mwajua kwanini maaskofu waliongea ivi mwajua kuna watu walikimbilia St.Teleza kanisani kujificha yalipo rushwa mabomu na police walienda pale kuwatoa waandamanaji kwa nguvu? Unajua Bomu la machozi lilitupwana na police na kuingia kwa jengo la salim ali na kuunguza magodoro na police wanasingizia ati wananchi walichoma kweli gorofa la pili wananchi walipita wapi choma hilo chengo? taarifa ya mwanzo police walikiri kuwa walilusha bomu la machozi likaenda wrong direction na kupasua vioo vya hilo jengo la salimu ali na kuunguza vitu iweje leo huyo police anasingizia waandamanaji? Jengo la CCM ndio kweli waandamanaji walirusha mawe na kupasua duka mmoja pale la masobe na viioo vya jengo la CCM mkoa.

Na hili loteni kuwa na police ambao hawajajiandaa kabisa na mafunzo ya kukabili ghasia au vurugu zozote ni kukosa akili au ufahamu wa kuweza kuwa control raia mbinu zao hazipo na hawana procedure za kuanzia na jinsi gani kutatua matatizo kama hayo ya maandamano.
 
nasikir raha nijikuna raha nijikuna kichwa,yaliyo ripotiwa na kuyaona kwenye sinema ya tbc,,,,,,,,,,,,,,wizi mtupu,,,,huwezi kushindana na ria kwa kutumia risasi za moto,wakati wao wana mawe,,,,,,walikuwa wanajaribu shabaha hao,,,,,lawama kwa kuruhusiwa kufanya hivyo
 
Hivi Tido Mhando yuko wapi siku hizi? Ukiajiriwa na CCM akili yako weka mfukoni, anza kutumia mdomo na tumbo lako!
 
Back
Top Bottom