King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 329
Siku hizi TBC wamebaki kuonyesha Tamthiliya na live football match ndio vya ukweli vya kuviangalialia mana mengi yote lazima wachakachue kulinda matakwa ya wakubwa wa serikali
Wakati Ndesamburo anatoa anaongea vile tayari kulikuwa na mtu alie kuwa amepigwa risasi ya mguu na walipo mchukua kumpeleka hospitali ilibidi wapitie polisi ilikuchukua PF3 matokeo yake walio mpeleka na aliepigwa risasi wote walikamatwa...ulitaka wafanyaje au wao hawana roho..watu wana kibali cha kufanya maandamano na mkutano harafu wanakuja kupigwa mabomu na wahuni wa kikwete...Ndesa tuko pamoja acha watuue wote tunao itwa wahuni wa Arusha kwa faida ya Mganyizi na familia yake ingawa yeye hajui hilo kwajinsi alivyolewa...Pongezi nyingi kwa TBC kwa kutuonyesha ukweli halisi kwa matukio yalio tokea Arusha....
Ndessamburo ni mzee mwenye hulika za kihuni, uwezi sema eti nchi haiwezi tawalika kisa umepingwa mabomu... Ulipo sema unawataka viongozi walio kamatwa uwanjani kabla ya kumalizika kwa mkutano ulikuwa una maanisha kitu gani kwa wahuni wa Arusha?
Pongezi nyingi kwa jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ndio ilikuwa stahili yao.
Mwaka huu, mtaua wengi sana, mmeanza arusha, mbeya sijui mtafata sijui Arusha tena.....tulikuwa tunaenda polisi ndiyo,Nimeona jinsi ilivyokuwa,na nikaujua angalau ukweli,unajua siku zote nachangia ukitaka kujua ukweli msikilize na wa upande wa 2,kila siku mnasema police wameuwa police wameuwa ,hv mlitaka mpk mfike kituoni muwauwe police ,mchukue bunduki ,muwatoe washtakiwa wenu ndo mjisifu??nimegundua ki2 viongozi wa cdm wanamapungufu vichwani,tena police wamejitaidi sn kupunguza idada ya vifo mlitakiwa kufa wengi zaidi.natoa oja polisi sio chanzo cha vifo arusha ila viongozi wasio na busara ndio chanzo,heti ndo tumpe nch pambafu.
Kwa taarifa yako hata tv yenu wamachame+cdm=itv,imeonyesha
Unajua Bomu la machozi lilitupwana na police na kuingia kwa jengo la salim ali na kuunguza magodoro na police wanasingizia ati wananchi walichoma kweli gorofa la pili wananchi walipita wapi choma hilo chengo? taarifa ya mwanzo police walikiri kuwa walilusha bomu la machozi likaenda wrong direction na kupasua vioo vya hilo jengo la salimu ali na kuunguza vitu iweje leo huyo police anasingizia waandamanaji?
ulitaka wafanye nini? tena walivumilisana watu walitaka kuandamana kwenda polisi saa saba wakawaomba wasi fanye hivyo kwa kuwa kulikuwa na wanasheria wanafatilia swala,Mbeya pia chadema wamehusika!?Kwa busara ndogo zilizoonyeshwa na viongozi wa Chadema kwenye mkutano wao wa arusha na kupelekea mpambano wa ana kwa ana kati ya wafuasi wao na polisi na hivyo kupelekea kuuawa kwa vijana wale, viongozi wa Chadema wameshaichagua njia ya kuelekea kufa kisiasa, CCM inachopaswa kufanya sasa ni kuwakumbusha tu wananchi maafa yaliyotokea na sababu ya maafa hayo, kwisha kazi.
kwenye tamko la polisi wanasema CDM walivunja vioo vya magari ya watu lakini Chanel ten walionyesha polisi akivunja vioo vya gari bila sababu yoyote ya msingi.....Ndio wanawasha moto wa mabadiliko mana wengi wanapiga simu nakudai sehemu askari anavunja vioo vya gari ionyeshwe.
hivi TBC ni chombo cha serikali au wananchi?
The source is a bunch of opportunistic armature politicians who incited their followers to disobey a lawful order.
Their evil agenda is to gain political and financial mileage by exploiting disadvantaged youth.
That goal must be achieved by all means even by killing innocent people.
I hope now you know!
Kwa busara ndogo zilizoonyeshwa na viongozi wa Chadema kwenye mkutano wao wa arusha na kupelekea mpambano wa ana kwa ana kati ya wafuasi wao na polisi na hivyo kupelekea kuuawa kwa vijana wale, viongozi wa Chadema wameshaichagua njia ya kuelekea kufa kisiasa, CCM inachopaswa kufanya sasa ni kuwakumbusha tu wananchi maafa yaliyotokea na sababu ya maafa hayo, kwisha kazi.
Chadema walishajulikana ni watu wanaotaka kuleta vurugu na uvunjifu wa Amani wa nchi hii.
Sababu za msingi hawana, kuhusu katiba JMK kisha waambia tayari tunashughulikia uundwaji wa tume. Umewashuka.
Kuhusu Arusha umeya, mpaka saini zao za mahudhurio ya kumchaguwa Meya zipo kwenye kitabu, kuwa walihudhuria, walipoona wanashindwa wakatoka. Mara wameanzisha fujo, wakapigana risasi, kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa chadema wenyewe ama kwa kutumia mbinu za chokochoko ndio waliuwa kwa risasi na kutaka kuisingizia Serikali. Umewashuka.
Wanachotaka ni umwagikaji damu, kafara za kanisa kila miaka 50 ni damu ya binadaam.