Jana nilikua naangalia taarifa ya habari ya Saa mbili.
Nilibahatika kuona sehemu ya hutuba ya Dr. Slaa Jangwani.
Cha ajabu ni kwamba, Niliona Sura ya Dr. slaa Peke yake.Hivi mliona mkioenyesha ule umati ulifurika pale Jangwani ndio mtampa ujiko?
Too sad!
Tatizo lawezekana lisiwe la TBC... Sheria ya Gharama za Uchaguzi inasema hivi (msisitizo wangu):
acheni kutisha watu.....MBONA NYIE JF NI COVERAGE YA SLAA PEKE YAKE........! na wengine hawalalami.......! mliwaalika huko mikutano yenu mingine? au mjuacho ni kupinga tu....! TBC wameonyesha slaa akizungumza.....MLITAKA WAONESHE KITU KIPI? SI MUONESHE KWENYE MEDIA ZENU NAMNA MNAVYOTAKA IONEKANE!..........!
acheni kutisha watu.....MBONA NYIE JF NI COVERAGE YA SLAA PEKE YAKE........! na wengine hawalalami.......! mliwaalika huko mikutano yenu mingine? au mjuacho ni kupinga tu....! TBC wameonyesha slaa akizungumza.....MLITAKA WAONESHE KITU KIPI? SI MUONESHE KWENYE MEDIA ZENU NAMNA MNAVYOTAKA IONEKANE!..........!
:confused2: