TBC wamekata matangazo ya Bunge kuficha Sheria ya Manunuzi inayoruhusu Serikali kununua ndege, treni na meli za mitumba?

Magari ya mitumba yako barabarani tele, magagulo ya mitumba yalikuwa bwerere Manzese. Ya nini kushangaa mabehewa na vichwa vya tereni vya mitumba??? Tafuta wataalamu wa kuelezee kwa nini mitumba ya hivi vitu hasa kipindi hiki baada ya janga la covid.
 
Tatizo sio mitumba, ila kununua mitumba kwa bei ya brand new. Yaani sisi waafrika sijui tumerogwa na nani, na ndiyo maana kila siku hua nasema kama kungekuwa sheria inaruhusu kuchagua mtu wa kuua, basi kila mwaka tunapoadhimisha sherehe za uhuru basi mimi ningekuwa nachagua kichwa cha mwanasiasa mmoja nachinja. Maana hawa wanasiasa wenyewe wanajiona wana akili sana kuzidi watu wengine, kutwa vikao vyao ni kaa na kuwaza jinsi gani kuwaibia wananchi. Hivi inamaana leo wabunge wamesahau kama tulishawahi kuuzia rada mbovu kwa bei kubwa mpaka wazungu wakawa wanatushangaa, leo huu mwigulu anataka aturudishe kulekule, hivi hawa wabunge tukiwachagua wanajua wananchi tunakuwa mazombie hatuna kitu tunachokijua ila wao ndiyo wanajua kila.
 
Daaah 🤔🤔!! Hivi kuna wakati utafika wananchi wajivunie wabunge wao? Au ndo mpaka angalau katiba mpya ipatikane kwanza na tume huru isiyokua nominated na Rais!!
Tatizo unapompigia kura anakuwa ni mgombea wako wa ubunge, ukisha mchagua anakuwa ni mbunge wa CCM na ndiyo inamlazimu kuitii, hatakiwi kukusikiliza wewe.
 
Tatizo sio mitumba, ila kununua mitumba kwa bei ya brand new. Yaani sisi waafrika sijui tumerogwa na nani, na ndiyo maana kila siku hua nasema kama kungekuwa sheria inaruhusu kuchagua mtu wa kuua, basi kila mwaka tunapoadhimisha sherehe za uhuru basi mimi ningekuwa nachagua kichwa cha mwanasiasa mmoja nachinja. Maana hawa wanasiasa wenyewe wanajiona wana akili sana kuzidi watu wengine, kutwa vikao vyao ni kaa na kuwaza jinsi gani kuwaibia wananchi. Hivi inamaana leo wabunge wamesahau kama tulishawahi kuuzia rada mbovu kwa bei kubwa mpaka wazungu wakawa wanatushangaa, leo huu mwigulu anataka aturudishe kulekule, hivi hawa wabunge tukiwachagua wanajua wananchi tunakuwa mazombie hatuna kitu tunachokijua ila wao ndiyo wanajua kila.
Mpaka mtumba ukufikie wewe umekwisha onesha uimara wake, hivyo unatakiwa uuzwe kwa bei kubwa kuliko kipya.
Sasa ni wakati wa kutengeneza pesa haramu kwani uchaguzi uko around the corner.
 
Tatizo unapompigia kura anakuwa ni mgombea wako wa ubunge, ukisha mchagua anakuwa ni mbunge wa CCM na ndiyo inamlazimu kuitii, hatakiwi kukusikiliza wewe.
Ni muhimu wabunge wa upinzani wawe weng bungeni kuliko wa CCM!! Kdg hua wana impact kuliko wa CCM!!
 
Una hela ya kununua vipya!?..Kodi unakwepa,tozo ulizisakama,kukopa unapigia kelele, kuwekeza bandari unafanyia maombi lisiwezekane
Hi nchi Ina wajinga wengi sana

mbona Magufuli alinunua ndege mpya tena sio Moja zaidi ya 7 tena Kwa cash
 
Vichwana mabehewa ya treni ulinganishe na v8,umelogwa!?
Marehemu mzee wangu alinunua "kilimo kwanza" mwaka 1998 ikiwa mtumba na mpaka leo naitumia.
Ni kheri kupoteza mtu mmoja kuliko kuweka hatarini mamia ya wasafiri wa treni,ndege na meli.

Nao watumie VX mitumba.

Pole kwa kuwa na kichwa cha kufugia nywele.
 
Marehemu mzee wangu alinunua "kilimo kwanza" mwaka 1998 ikiwa mtumba na mpaka leo naitumia.
Ni kheri kupoteza mtu mmoja kuliko kuweka hatarini mamia ya wasafiri wa treni,ndege na meli.

Nao watumie VX mitumba.

Pole kwa kuwa na kichwa cha kufugia nywele.
Mbona unaji-kontradikt mwenye kichwa Cha kuvalia kapelo!?
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa sababu wanajua wananufaika na nini kufanya maamuzi hayo.

Sheria hii ikipita iko siku taifa litakuja kuomboleza msiba mkubwa utakaosababishwa na maamuzi ya leo pale Meli zitapakuja kuzama, ndege kuungua angani, treni kuua watu wakati huo Mwigulu yuko zake ughaibuni hayuko tena tanzania. Sisi familia zetu zinakwenda kupoteza maisha kwa maamuzi ya leo kisa tu watu wamekula rushwa kufanya maamuzi hayo.

Hii Sheria ni moja ya Sheria mbovu na iliyojaa mazingira ya rushwa kwa watu wachache wenye madaraka kwa sasa kina mwigulu na washirika wake.

Tuliombee taifa letu tuko kwenye hatari kubwa.

Mbaya zaidi Bunge haliko live kwenye TV ili watanzania wasijue kinachojadiliwa na kupitishwa na Bunge.
Tatizo tumetoka kua na rais bora sana na kua na rais sio bora kabisa (nimeepuka kumwita ovyo). Ulazima kwa serikali kununua vifaa vipya ni njia ya udhibiti.
Hapo ni sheria zinakuja chini ya rais mwenye kauli kama 'tatizo mnakula hadi kuvimbiwa' kwa hivyo kuleni ila msivimbiwe😂 na ile '..najua mnakula,..'kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake'🚶🚶
 
Acha ujinga, mbona ma V8 hamnunui used, hela mnapata wapi?
Hapo sasa. Ila vifaa na magari ndege na treni kwa ajili ya wananchi ziwe mitumba huku mkifukuzia binafsi kua tajiri namba moja afrika kwa kula rushwa. Mlaaniwe wote.
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa sababu wanajua wananufaika na nini kufanya maamuzi hayo.

Sheria hii ikipita iko siku taifa litakuja kuomboleza msiba mkubwa utakaosababishwa na maamuzi ya leo pale Meli zitapakuja kuzama, ndege kuungua angani, treni kuua watu wakati huo Mwigulu yuko zake ughaibuni hayuko tena tanzania. Sisi familia zetu zinakwenda kupoteza maisha kwa maamuzi ya leo kisa tu watu wamekula rushwa kufanya maamuzi hayo.

Hii Sheria ni moja ya Sheria mbovu na iliyojaa mazingira ya rushwa kwa watu wachache wenye madaraka kwa sasa kina mwigulu na washirika wake.

Tuliombee taifa letu tuko kwenye hatari kubwa.

Mbaya zaidi Bunge haliko live kwenye TV ili watanzania wasijue kinachojadiliwa na kupitishwa na Bunge.
Salam comrades,

Asanten kwa mijadala critical na yenye tija kwa Nchi yetu.

Naomba kutoa ufafanuzi moja hata kama ni kwenye kichwa cha Thread.

SIJAPENDEKEZA SHERIA MPYA YA SERIKALI KUNUNUA VITU VILIVYOTUMIKA. Hii ilikwepo kwenye Sheria ya Zaman ambayo tumeiandika upya someni kifungu cha 65B na 66 cha Sheria iliyomaliza muda.

Kwenye Sheria mpya pia Sikupendekeza kuifuta, NILIPENDEKEZA KIFUNGU KIDOGO CHA KUNIWEZESHA KUTUNGA KANUNI ZA KUWEKA UTARATIBU MZURI WA KUTOKUINGIZA BIDHAA ZILIZOTUMIKA BILA KUUNDA KAMATI AU NODI YA WATAALAM KUVIANGALIA KITAALAM VITU HIVYO.

Labda ningelaumiwa kuwa nyongeza hii haitoshi au ningelaumiwa kwa kuiacha bila kuifuta 😂
 
Back
Top Bottom