Tbc sasa mmevuka mipaka,aibu!

Tbc sasa mmevuka mipaka,aibu!

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,314
wakuu,salaam.
kama kuna mtu kaangalia TBC taarifa ya habari usiku huu kuna dada alikuwa anatangaza utabiri wa hali ya hewa alikuwa kavaa nguo zisizoendana na maadili ya mtanzania ukizingatia huu ni mwezi mtukufu.
alikuwa kavaa blause inayoonesha sehemu ya maziwa yake na sehemu ya tumbo kichini ya kitovu.

sipendi kabisa kuitazama ila leo nikuwa ugenini sehemu na kukutana na hicho kihoja.
 
Pole mkuu, amekutia majarbuni bure kwa kweli, hiyo ni TBCCM Taifa, acha kuhangaika nayo, jamiiforums haikutoshi?...mzima lakini mkuu wa rockcity??...
 
mmmmmh pole sana kumbe bado kuna kituo cha taifa inacho itwa TBC? mie najua kiliondoka na tido muhando,, umebaki mvundo hapo wala hakuna kilichopo,,, mbona huyo ana afadhali ipo cku mnaweza kuja kuona makubwa zaidi ya hayo,,, ila ana haki ya kufanya hivyo kwani anajua hakuna anae muona kwani hakuna anae angalia TBCCM kwani hata akikaa uchi wala hata aibika kwani hakuna mwenye kumwona
 
Ni kosa la mvaaji c tbc

Ni kosa kwa TBC, hususani kama chombo cha umma, kushindwa kusimamia kanuni za mavazi zilizowekwa na serikali, kupitia Utumishi.
Pia ni kosa kubwa kwa TBC kurusu wehu na waliopungukiwa fikra juu ya maadalili yao, kutangaza hadharani.
Sipendi kuamini ile dhana ya kuajiriwa kwa simu au 'vimemo' imetumika kuajiri watumishi wenye muktadha ya ki-kahaba hapo TBC.
Namkumbuka Tido Mhando.
 
Imani bana, eti mwezi mtukufu, so mingine ya maovu?
 
wadada wa hali ya hewa wanatoka idara ya hali ya hewa
sio waajiriwa wa TBC
 
Ungebonyeza 'forward' ya remote upate habari zilizokuwa zinafuatia
 
wakuu,salaam.
kama kuna mtu kaangalia TBC taarifa ya habari usiku huu kuna dada alikuwa anatangaza utabiri wa hali ya hewa alikuwa kavaa nguo zisizoendana na maadili ya mtanzania ukizingatia huu ni mwezi mtukufu.
alikuwa kavaa blause inayoonesha sehemu ya maziwa yake na sehemu ya tumbo kichini ya kitovu.

sipendi kabisa kuitazama ila leo nikuwa ugenini sehemu na kukutana na hicho kihoja.

Mkuu.Kwahili:umewaonea TBC....
 
Ni mambo ya kawaida tatzo mnasahau kwamba tuko digital
 
wakuu,salaam.
kama kuna mtu kaangalia TBC taarifa ya habari usiku huu kuna dada alikuwa anatangaza utabiri wa hali ya hewa alikuwa kavaa nguo zisizoendana na maadili ya mtanzania ukizingatia huu ni mwezi mtukufu.
alikuwa kavaa blause inayoonesha sehemu ya maziwa yake na sehemu ya tumbo kichini ya kitovu.

sipendi kabisa kuitazama ila leo nikuwa ugenini sehemu na kukutana na hicho kihoja.

Aliyekutuma uangalie ni nani. Kwanza hii station bado ipo? Niliacha kuiangalia muda mrefu sababu kuanzia habari za kawaida mpaka za michezo zinaihusu CCM. Ukiendelea kuangalia TBCCM utakayokutana nayo huko usije lalamika...
 
wakuu,salaam.
kama kuna mtu kaangalia TBC taarifa ya habari usiku huu kuna dada alikuwa anatangaza utabiri wa hali ya hewa alikuwa kavaa nguo zisizoendana na maadili ya mtanzania ukizingatia huu ni mwezi mtukufu.
alikuwa kavaa blause inayoonesha sehemu ya maziwa yake na sehemu ya tumbo kichini ya kitovu.

sipendi kabisa kuitazama ila leo nikuwa ugenini sehemu na kukutana na hicho kihoja.
Kwani maadili ya mtanzania ni yapi kuhusiana na mavazi? Pia huo mwezi wengine hautuhusu maisha yetu naendelea kama kawaida.
 
Hivi nyie bado mnaangalia Taarifa za Tbc? Hiyo chanel ya CCM mi siipendi
 
wakuu,salaam.
kama kuna mtu kaangalia TBC taarifa ya habari usiku huu kuna dada alikuwa anatangaza utabiri wa hali ya hewa alikuwa kavaa nguo zisizoendana na maadili ya mtanzania ukizingatia huu ni mwezi mtukufu.
alikuwa kavaa blause inayoonesha sehemu ya maziwa yake na sehemu ya tumbo kichini ya kitovu.

sipendi kabisa kuitazama ila leo nikuwa ugenini sehemu na kukutana na hicho kihoja.

Yaelekea ni bidhaa, ilikuwa sokoni. Ukizingatia mwezi huu mtukufu hawana soko!!
 
Pole mkuu, amekutia majarbuni bure kwa kweli, hiyo ni TBCCM Taifa, acha kuhangaika nayo, jamiiforums haikutoshi?...mzima lakini mkuu wa rockcity??...

Prince Tumbo mzima mkuu wangu hii tv hovyo sana,nilikuwa pahali nikajikuta namtamani mtangazaji.
mwanza ni baridi utadhani tupo marangu mtoni
 
Last edited by a moderator:
Kuna siku watavaa pichu tu ndo mtaamini kuwa nchi ngumu hii

"Nchi ngumu hii"
 
Back
Top Bottom