Tbc ndio nini? Nielewesheni wadau
wakuu,salaam.
kama kuna mtu kaangalia TBC taarifa ya habari usiku huu kuna dada alikuwa anatangaza utabiri wa hali ya hewa alikuwa kavaa nguo zisizoendana na maadili ya mtanzania ukizingatia huu ni mwezi mtukufu.
alikuwa kavaa blause inayoonesha sehemu ya maziwa yake na sehemu ya tumbo kichini ya kitovu.
sipendi kabisa kuitazama ila leo nikuwa ugenini sehemu na kukutana na hicho kihoja.
Ok tukubaliane nawe kwamba mamlaka ya hali ya hewa ina watangazaji wake. Je kama wakija studio au kurekodi kipindi wakiwa uchi wanapaswa kuruhusiwa na TV station husika???Acha ushamba hakuna tv inatangaza hali ya hewa ila hali ya hewa inawatangazaji wake binafsi
maadili na weledi aliondoka nao tido. pole mtanzania
Hivi bado wako hewani??? Mimi nina zaidi ya miezi sita TBC sijaitia machoni kwani imepotea kwenye dishi langu la 6 ft. Nikawapigia simu wakasema nitafute king'amuzi, nikawauliza kwa hiyo nikinunua king'amuzi hili dishi nitupe? Hasara hii atanifidia nani? Sikupata majibu. Basi mimi naendelea kuangalia ITV and related, Chanel 10, star and others na kwa kweli sijajuta na hakuna ninachokosa.
wakuu,salaam.
kama kuna mtu kaangalia TBC taarifa ya habari usiku huu kuna dada alikuwa anatangaza utabiri wa hali ya hewa alikuwa kavaa nguo zisizoendana na maadili ya mtanzania ukizingatia huu ni mwezi mtukufu.
alikuwa kavaa blause inayoonesha sehemu ya maziwa yake na sehemu ya tumbo kichini ya kitovu.
sipendi kabisa kuitazama ila leo nikuwa ugenini sehemu na kukutana na hicho kihoja.