TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

Inashangaza sana mtu kama mwigullu mchemba kutumia pesa ya kodi zetu kusomba watu vijijini ili kuhudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika leo tarehe 26 jumamosi hapa jijini mwanza katika uwanja wa furahisha,cha ajabu ni kwamba hakuna pointi hata moja ya msingi,badala ya kutoa hoja eti yeye ni kutoa lawama lukuki kwa ukawa na kuilaumu serikali kwa kutumia mabilioni kununua magari ya kifahari,watu kama huyu hatakiwi kabisa kwenye uongozi popote duniani labda kwa serikali ya ccm kwani wao wamezoea kulindana.ila siku zenu zinahesabika,2015 sio mbali kitaeleweka tu.

unavyo mpaisha yeye anachekelea. Yeye ana janga gani la kitaifa? Think twice mwigulu sio janga la kitaifa. Janga la kitaifa ni aliyemteua. Nadhani umenielewa maana yangu.
 
kwi kwi kwi! nasikia leo hawakupewa nyama ndo maana wakagoma kumshangilia mwiguluuuu

Mijitu ya Ccm inawaza kula tu ndio mana nivitambi kwenda mbele kwasababu vichwa havisumbuki kufikiri zaidi yakukinga bakuli kwa akina Obama nakuletea hiyo misukule inayopandishwa kwenye mafuso
 
Mmmh!! haya malori si ndio yanaletaga wale ng'ombe wa mapembe makubwa( ya kisukuma) huku dar es salaam. aaaaah aaaaah maccm bwana!!!
 
CCM ina akili za maiti. Watu wasipoukataa ujinga hawawezi kuikataa CCM. Hiki chama ni chama cha majambazi, mafisadi, wauwaji, watekaji, wanaong'oa meno za watu bila ganzi na ni chama chakavu. Ni bora kufa kuliko kuishabikia CCM. Mwigulu Mchemba ni muasisi wa ugaidi hapa nchini, mtu huyu ni wa kuogopwa kama UKOMA.
 
Mmmh!! haya malori si ndio yanaletaga wale ng'ombe wa mapembe makubwa( ya kisukuma) huku dar es salaam. aaaaah aaaaah maccm bwana!!!

Yale mang'ombe wenyewe wanayaita NZAGAMBA,,, MaCCM yanaombea watanzania wazidi kuwa maskini na kukosa elimu ili yaendelee kupata Misukule ya kuipandisha kwenye fuso
 
Katika mijitu miongo bavichwa mnaongoza! watu kibao wamevaa kijani na mi mwenyewe nimeona kuanzia Igogo, Bugarika, Mabatini, mitaa ya Rufiji,Kirumba, Nyamanoro hali ilikuwa bam bam vipi unaleta ushuzi humu jf! muongo mkubwa.

Wewe unajulikana kuwa mfuasi wa chama cha mashetani. Hakuna jema wala ukweli kutoka kwako. Shetani ni shetani tu, hata akivishwa mabawa kama malaika.
 
ukawa inayowatoa jasho kila siku mkuu!!!!

Haimtoi mtu yeyote jasho hiyo UPAWA yenu,zaidi zaidi nyinyi mtakaoanza kuchangishwa na mpiga dili mbowe kwa ajili ya oparesheni yake ya nchi nzima eti!
 
Wewe unajulikana kuwa mfuasi wa chama cha mashetani. Hakuna jema wala ukweli kutoka kwako. Shetani ni shetani tu, hata akivishwa mabawa kama malaika.

Mkuu, hakuna mashetani kuliko chagadema! Lema-mabom, mbowe-maandamano wakifa watu anadai na ccm! Kibabu ndio shetani mkuu kwa uzinzi na uongo!
 
CCM ina akili za maiti. Watu wasipoukataa ujinga hawawezi kuikataa CCM. Hiki chama ni chama cha majambazi, mafisadi, wauwaji, watekaji, wanaong'oa meno za watu bila ganzi na ni chama chakavu. Ni bora kufa kuliko kuishabikia CCM. Mwigulu Mchemba ni muasisi wa ugaidi hapa nchini, mtu huyu ni wa kuogopwa kama UKOMA.

Viroba, gongo and bhang, matokeo yake ni kubwata.


CCM ina akili za maiti. Watu wasipoukataa ujinga hawawezi kuikataa CCM. Hiki chama ni chama cha majambazi, mafisadi, wauwaji, watekaji, wanaong'oa meno za watu bila ganzi na ni chama chakavu. Ni bora kufa kuliko kuishabikia CCM. Mwigulu Mchemba ni muasisi wa ugaidi hapa nchini, mtu huyu ni wa kuogopwa kama UKOMA.




Mmmh!! haya malori si ndio yanaletaga wale ng'ombe wa mapembe makubwa( ya kisukuma) huku dar es salaam. aaaaah aaaaah maccm bwana!!!




Mmmh!! haya malori si ndio yanaletaga wale ng'ombe wa mapembe makubwa( ya kisukuma) huku dar es salaam. aaaaah aaaaah maccm bwana!!!




CCM ina akili za maiti. Watu wasipoukataa ujinga hawawezi kuikataa CCM. Hiki chama ni chama cha majambazi, mafisadi, wauwaji, watekaji, wanaong'oa meno za watu bila ganzi na ni chama chakavu. Ni bora kufa kuliko kuishabikia CCM. Mwigulu Mchemba ni muasisi wa ugaidi hapa nchini, mtu huyu ni wa kuogopwa kama UKOMA.
 
Haimtoi mtu yeyote jasho hiyo UPAWA yenu,zaidi zaidi nyinyi mtakaoanza kuchangishwa na mpiga dili mbowe kwa ajili ya oparesheni yake ya nchi nzima eti!

UPAWA ndo kitu gani..?

Mara ya mwisho kupima magonjwa ya akili ni lini..?
 
Mwigulu anastahili pongezi kwa kuwa mtumishi mwema wa watu wote wa kitanzania.
 
Chonde chonde CCM muwalipe ujira wao wananchi mliowabeba na malori ya ng'ombe kuja kupendezesha mkutano wenu...

Natumai hatutosikia malalamishi kesho ya watu kuachwa solemba..
 
Back
Top Bottom