ngorope
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,112
- 243
Ndugu. Nadhani leo utakesha kwenye hii thread.
You are allover the place!. Kila comment unajibu kama vile wewe ndiye mleta thread.
Kazi uliyotumwa kuifanya iko juu ya uwezo wa kiakili.
Hao viongozi waliokutuma kwa sasa wameamua kukificha chama kwenye kikundi kinachojiita UKAWA. Wewe ndiyo utaweza?.
Unachofanya hapa ni kupoteza muda wako na tatizo kuu linalokusumbua ni kutofahamu kama hufahamu.
Kwa faida yako, ni bora kukupuuza tu.
yaani hapo kwenye red ukinizidi hata 0.0000000001% najitoa kuwa great thinker