TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Mie nafikiri issue yote ya Bw. Muro ni Total Distraction tu. Hawa watu are very smart. Wananchi sasa tumejiondoa kwenye issues za muhimu zanazotikisa taifa letu tunakalia Muro, sijui Kapama ooh sijui Kova. Jamii ilishachanganywa tayari, mara haya yametokea kwenye Hospitali ya Sea Cliff mara City Garden. Sasa sijui lipi la kweli.
Kova alikuwa anachemka tu. Alisema kuwa wale matapeli hawawezi kupewa dhamana kuwa wataitapeli. Lakini dhamana yenyewe imeachwa wazi for everyone of them. Sijui akirudi kusikiliza ile tape atakuwa na maoni gani.
Turudi kwenye important issues.
NO DISTRACTION IS ALLOWED ESPECIALLY AT THIS TIME.
Ni kweli kabisa uliyosema... Its total distraction.. kwa sababu ni wao waliojigeuza nyoka (kama ile issue ya Adam and Eve) na wakamlaghai Muro adai hongo...
 
hapa walisema ali-pose kama askari wa JWTZ na pia Muandishi wa Habari, Sasa JWTZ huwa wanashika wahalifu, hivyo huyo Muhasibu a
TV journo Muro posed as soldier, allege police




By Rosemary Mirondo



2nd February 2010


email.png

Email



printer.png

Print



comment_bubble.png

Comments








KovaPingu.jpg

Dar es Salaam Special Zone Police Commander Suleiman Kova displays handcuffs said to have been found in TBC journalist Jerry Muro`s car during a police inspection on Sunday.



Tanzania Broadcasting Corporation television journalist Jerry Muro falsely presented himself as a soldier and threatened former Bagamoyo District Council treasurer Michael Wage with a pistol and handcuffs, police alleged yesterday.
They added that they were now planning to forward to the Attorney General’s Chambers details on the criminal allegations involving the journalist, who was arrested in Dar es Salaam yesterday, “for necessary further action”.
Dar es Salaam Special Zone Police Commander Suleiman Kova told a news conference in the city that Muro and three other persons who had posed as PCCB (Prevention and Combating of Corruption Bureau) officials but are yet to be apprehended were trying to solicit a 10 million/- bribe from Wage.
He said that the suspects threatened to expose allegedly damaging information incriminating Wage, one of five Bagamoyo District Council officials fired recently by Prime Minister Mizengo Pinda over reported misuse of public funds.
Kova said that the suspects threatened the complainant (Wage) by telling him that their investigations had confirmed that he owned a lot of suspicious property, including several bungalows in Morogoro, and that they would expose his shady activities through the media or even take legal action against him.
He added that Wage went to the Central Police Station in the city at around 11.00am on Sunday complaining that he had been subjected to incessant harassment and blackmail attempts by the foursome since January 28 this year.
According to Kova, police then began working on the assumption that the four suspects were conmen “and decided to set a trap at City Garden (restaurant) where Muro and the suspects had planned to meet a waiting Wage for the deal”.
“As plainclothes police officers waited for them at the agreed rendezvous, a Toyota Cresta car with registration number T545BCH soon arrived at the parking lot,” he explained.
He added that Muro, who was driving the car, refused to alight and meet with the complainant but instead asked the complainant to get into the vehicle.
“Following the unexpected turn of events, police swung into action and stormed into the car where, to their surprise, they found Muro,” narrated Kova further.
He said both the journalist and the complainant were taken to the Central Police Station “where Muro denied ever knowing the complainant”.
According to Kova, Wage was emphatic that he could prove to the police that he had indeed been together with Muro and had even left his eye glasses in the journalist’s car and was sure that the journalist kept handcuffs in the car’s dashboard and was also in possession of a pistol.
The police commander also explained that police searched Muro’s car and found a pistol which he owned legally “but he is yet to prove the legality of his having handcuffs, which no civilian is allowed to be in possession of”.
He clarified that handcuffs were not available for sale in the country “and even the Police Force has to get supplies from abroad whenever it needs some”.
“We (police) have impeccable evidence that Muro and Wage met before the former’s arrest on Sunday because we have conducted thorough investigations at the restaurant concerned and have even taken video images of the incident using CCTV cameras,” the police commander pointed out.
However, he stressed that the issue was not between the police and Muro but between Muro and Wage “and police are only doing their duty because no one is above the law”.
“There is no conspiracy here and that’s why we are planning to take the file to the Attorney General’s Chambers so that a state attorney can go through it before a decision on whether to proceed with prosecution is made,” he said.
Asked why the police did involve PCCB when going to arrest Muro, Kova explained that they were involved in a race against time and could not wait.
He said Muro was not caught red-handed with a bribe “but the law is clear that the mere soliciting of a bribe calls for a five-year jail term if proved in a court of law.
Meanwhile, the Media Council of Tanzania has called on police to speed up investigation into the allegations levelled against Muro “and take the matter to court soonest so that justice may take its course”.
MCT Executive Secretary Kajubi Mukajanga told a hurriedly called news conference in Dar es Salaam yesterday that they were shocked to receive the news “because Muro is Tanzania’s best journalist for 2009 and has won acclaim for his good work, especially in the fight against corruption”.
“Muro’s arrest raises serious doubts and suspicion because the allegations levelled against him are far from clear. Additionally, if this matter is not taken to court, many journalists might be scared of doing investigative stories for fear of facing similar consequences,” noted Mukajanga.
“Corruption is an offence in law and is against journalism ethics and therefore such allegations as these put the integrity and honesty of journalists in serious jeopardy,” he added.
He appealed to the public to treat Muro as an innocent citizen until proven guilty by the court of law “as provided for under Tanzanian law”.
“We still believe in Muro’s good work and, until a competent court of law proves to the contrary, we will continue cherishing the exemplary work he has done,” he added.
Mukajanga said the council did not intend to interfere with police work “but we will support Muro throughout the case, including hiring a lawyer for him through funds given to us to support journalists”.
He said that good investigative journalists the world over were being attacked in various ways, some of them vicious, embarrassing and even life-threatening, as a way of blackmailing them into submission and thus forcing them to compromise or abandon their noble crusades altogether.
There are reports that Muro was putting final touches to a “world shaking” story before the Sunday incident, but this is yet to be confirmed.




SOURCE: THE GUARDIAN


1 Comments | View commentsnataka kusema Yeye ni Mbumbumbu?



na Huko mahakamani mbona sijasikia hizo tuhuma?
 
IF this is true:

"As plainclothes police officers waited for them at the agreed rendezvous, a Toyota Cresta car with registration number T545BCH soon arrived at the parking lot," he explained.
He added that Muro, who was driving the car, refused to alight and meet with the complainant but instead asked the complainant to get into the vehicle.
"Following the unexpected turn of events, police swung into action and stormed into the car where, to their surprise, they found Muro," narrated Kova further.
then, how is it possible that Muro was seen IN the hotel with the other accused if he had indeed refused to come out of his car to meet the complainant?
 
maelezo ya wapi? Maelezo yote ambayo Jerry na Polisi wameyatoa nje ya kiapo cha mahakama hayana nafasi katika ushahidi. Polisi hawawezi kusema mahakamani ati "jerry alipozungumza global publishers alisema x,y"; mahakama itawapiga stop.. inadmissible!

Mhhhh...
This may only hold iwapo system yetu haina something similar to Miranda rights.
I understand where you are coming from though....too much CSI,lol!
 
JF kwa kutetea wahalifu ambao huko nyuma walijifanya wapiganaji ndiyo yenyewe. Ukifanya kosa jua mahakama inakusubiri. Watanzania wengi ni wala rushwa tu ila wengi hawajapata nafasi tu. Muro ni mwakilishi wetu, ambaye baada ya kupata umaarufu kazini, akaamua kutumia nafasi hiyo kujitajirisha.

Tupige kelele kwamba wahalifu wengine kama akina Chenge mbona hawafikishwi mahakamani? Lakini ambacho tunafanya makosa ni kuwatetea wale wapenzi wetu hata pale wanapofanya makosa.

Ukiwa unapigana na makosa lazima wewe ndio uwe wa kwanza kuhakikisha huna kosa.

Tulaani matendo mabaya bila kujali yamefanywa na nani.

Kwenye hili wacha vyombo vya sheria viamue kama jamaa ana makosa au la.

Ila mwandishi wa habari kukutwa na pingu, hapo mimi nimebaki hoi. Bastola sawa, labda alitaka kujilinda, lakini pingu? Mmmm!!! Mungu ibariki Tanzania.

Sishangai Muro kufikishwa mbele ya vyombo vya dola kwa shutuma za kudai rushwa kwa wale wakazi wa Mabibo wanaomfahamu Muro wanamjua kwa kupenda ngawira na ana tabia ya kukopa hela na ukimkopesha jua ndio bye bye harudishi na hubadili njia,hiyo tabia anayo siku nyingi,hiyo ya kujifanya kufichua maovu ni ghiriba yake tu na ndio maana kwa wale wanaomfahamu hawashangai kwa yaliyomkuta ilikuwa ni muda tu ndo haujafika .atakayeamini au kutoamini habari ndio hiyo
 
This debate is very interesting! Hivi kuhoji uhalali wa mtu kumiliki PINGU unatoka wapi? PINGU kwa hali ya kawaida ni kifaa cha kawaida tu kama vile kumiliki mwanasesere nyumbani kwako. Tatizo lililpo ni kwamba polisi wametuaminisha ya kwa kwamba PINGU ni kitu hatari raia hatakiwi kuwa nacho. This is just social construction of reality that needs radical deconstruction of our mental abtractions. Hii ndiyo iliyopelekea hukumu ya kusema eti kwanini JM amiliki PINGU! JM ameonyesha ujasiri wa hali ya juu kwa kutamka wazi ya kwamba PINGU anamiliki kihalali na kathibitisha kwa risti ya serikali.

Tuamke ili kuona hila za watu tuliyowapa dhamana ya kusimamia ustawi wetu wanavyotuzalilisha.

"Haya yote yana mwisho wake..." and please "give me my machine gun!"
 

hapa ndipo napo pata tabu sana na waandshi wa habari wa kitanzania pale wanapoandika habari zao kwa lugha ya kizungu!

tv journo muro posed as soldier, allege police


by rosemary mirondo,

source: The guardia, 2nd february 2010
tanzania broadcasting corporation television journalist jerry muro falsely presented himself as a soldier and threatened former bagamoyo district council treasurer michael wage with a pistol and handcuffs (????), police alleged yesterday.


they added that they were now planning to forward to the attorney general's chambers (????) details on the criminal allegations involving the journalist, who was arrested in dar es salaam yesterday, "for necessary further action".
dar es salaam special zone police commander suleiman kova told a news conference in the city that muro and three other persons who had posed as pccb (prevention and combating of corruption bureau) officials but are yet to be apprehended were trying to solicit a 10 million/- bribe from wage.

he said that the suspects threatened to expose allegedly damaging information incriminating wage, one of five bagamoyo district council officials fired recently by prime minister mizengo pinda over reported misuse of public funds.
Kova said that the suspects threatened the complainant (wage) by telling him that their investigations had confirmed that he owned a lot of suspicious property, including several bungalows in morogoro, and that they would expose his shady activities through the media or even take legal action against him.


he added that wage went to the central police station in the city at around
11.00am on sunday complaining that he had been subjected to incessant harassment and blackmail attempts by the foursome since january 28 this year.
according to kova, police then began working on the assumption that the four suspects were conmen "and decided to set a trap at city garden (restaurant) where muro and the suspects had planned to meet a waiting wage for the deal".
"as plainclothes police officers waited for them at the agreed rendezvous, a toyota cresta car with registration number t545bch soon arrived at the parking lot," he explained.

he added that muro, who was driving the car, refused to alight and meet with the complainant but instead asked the complainant to get into the vehicle.
"following the unexpected turn of events, police swung into action and stormed into the car where, to their surprise, they found muro," narrated kova further.
He said both the journalist and the complainant were taken to the central police station "where muro denied ever knowing the complainant".


according to kova, wage was emphatic that he could prove to the police that he had indeed been together with muro and had even left his eye glasses in the journalist's car and was sure that the journalist kept handcuffs in the car's dashboard and was also in possession of a pistol.


the police commander also explained that police searched muro's car and found a pistol which he owned legally "but he is yet to prove the legality of his having handcuffs, which no civilian is allowed to be in possession of".
He clarified that handcuffs were not available for sale in the country "and even the police force has to get supplies from abroad whenever it needs some".
"we (police)
have impeccable evidence that muro and wage met before the former's arrest on sunday because we have conducted thorough investigations at the restaurant concerned and have even taken video images of the incident using cctv cameras," the police commander pointed out.
however, he stressed that the issue was not between the police and muro but between muro and wage "and police are only doing their duty because no one is above the law".
"
there is no conspiracy here and that's why we are planning to take the file to the attorney general's chambers(???) so that a state attorney can go through it before a decision on whether to proceed with prosecution is made," he said.
 
Mie nafikiri issue yote ya Bw. Muro ni Total Distraction tu. Hawa watu are very smart. Wananchi sasa tumejiondoa kwenye issues za muhimu zanazotikisa taifa letu tunakalia Muro, sijui Kapama ooh sijui Kova. Jamii ilishachanganywa tayari, mara haya yametokea kwenye Hospitali ya Sea Cliff mara City Garden. Sasa sijui lipi la kweli.
Kova alikuwa anachemka tu. Alisema kuwa wale matapeli hawawezi kupewa dhamana kuwa wataitapeli. Lakini dhamana yenyewe imeachwa wazi for everyone of them. Sijui akirudi kusikiliza ile tape atakuwa na maoni gani.
Turudi kwenye important issues.
NO DISTRACTION IS ALLOWED ESPECIALLY AT THIS TIME.

Kama una maana ya distraction kwamba haistahili press inayoipata, that is debatable, on one hand kuna mambo muhimu zaidi ya hili, on the other ukisema uongelee mambo yenye priority/ visibility kubwa tu utashindwa kufuta vumbi nyumbani kwako, mwisho utapata mafua na mpaka TB, halafu utakufa. Najaribu kukuonyesha kwamba hakuna jambo dogo.

Kuna mwanajeshi aliyesahau kufunga kamba za kiatu, kwa sababu alisahau kufunga kamba za kiatu alianguka vitani, kwa sababu alianguka vitani farasi alimparamia, na farasi wengine wakaparamia wale wa mbele, mikuki ikawachoma wanajeshi wengi, mpaka kufikia mwisho kwa Jemadari, jeshi likashindwa pambano, na kwa sababu jeshi lilishindwa pambano hili likashindwa mengine, hatimaye ufalme ukapotea.Kisa nini? Kisa kitu ambacho unaweza kukiita "kitu kidogo" mwanajeshi hakufunga kamba za viatu.

Waswahili wanasema usipoziba ufa utajenga ukuta, kwa hiyo usidharau kitu kidogo. Hakuna sabau inayozuia wananchi ku address maswala yote, makubwa na madogo, ndiyo price ya kuwa a literate and developed society, huku kuna ufisadi, huku Muro, huku EAC, huku viwanja vinapanda bei, yote yanaendana haya. Viwanja partly vinapanda bei kwa sababu ya ufisadi na speculation za wageni kutoka EAC.Muro anaripoti kuhusu ufisadi, everything is interlinked, huwezi kuangalia issue ya Muro kama an isolated case, kwa sababu inahusisha mambo mengi, maadili ya uandishi, abuse na incompetency ya polisi, sheria ya nchi etc etc. Tunajifunza.Hatuwezi wote kuwa tunaongea issue moja kila siku.

Kuhusu Kova kusema matapeli hawapati dhamana, kama amesema nitamuona mtupu kweli.Nimeangalia video yake part one nikamuona bonge la Gestapo, hata kama jamaa ni matapeli kweli hizi habari za kusema "hawa wanakaa mjini kwa utapeli tu, wanakula na kulala kwa utapeli" ni kufuru, maana anataka kujifanya kama anawajua nyendo zao zote kihivyo.Halafu hayuko legally aware au hajali, kwa sababu anaposema matapeli hatuambii kwamba ni convicted tapelis or not, na kama matapeli wanaojulikana na kuweza kupatikana kirahisi hivyo wanafanya nini uraiani? Kwa nini hawako jel?

Kova kuchemka kachemka sana tu, hili nakuunga mkono.

Huyo Muro mimi nilishamtolea guilty verdict kitambo, tatizo akipata lawyer mzuri kesi hii wanageuziwa polisi kama Cochran alivyoigeuza kesi ya OJ. Muro anaonekana victim, polisi wanaonekana wamemframe. Wakati ukweli ni kwamba wote waganga njaa tu, huyo Muro, Kopva na hao matapeli, wote matapeli tu.
 
Ushaidi wa kimazingira ni kama ifuatavyo:

1. Kamera yake ilikuwa na nyumba za jamaa mhasibu anazojenga Morogoro so Jerry alikuwa anamchunguza

2. Walionekana wote na CCTV hotelini ambako Jerry alikana kwenye maelezo yake kuwa hamjui jamaa

3. Mhasibu alisema wazi kuwa ndani ya gari la Jerry kuna nini (pingu, bastola)

4. Miwani ya mhasibu ilikutwa ndani ya gari la Jerry inaonyesha kimazingira walishakutana jambo ambalo jerry alikana.

Jerry alikurupuka, laiti angesema alishamuona mahali au jana yake huyu mhasibu na wakakaa meza mmoja, maana unaweza hotelini kukaa meza moja na mtu usiemjua hasa kama CCTV kamera ikionyesha kulikuwa kumejaa..ANGEKUWA HANA KESI YA KUJIBU KABISA.

Yeye Jerry ndo amekaribisha ushahidi wa kimazingira.

Tatizo alishavimba sana bichwa....linaelekea kupasuka sasa.

FP,hizi ni facts katika kesi hii au ni possible scenarios unazotumia kuelezea maana ya ushahidi wa kimazingira?
 
Sishangai Muro kufikishwa mbele ya vyombo vya dola kwa shutuma za kudai rushwa kwa wale wakazi wa Mabibo wanaomfahamu Muro wanamjua kwa kupenda ngawira na ana tabia ya kukopa hela na ukimkopesha jua ndio bye bye harudishi na hubadili njia,hiyo tabia anayo siku nyingi,hiyo ya kujifanya kufichua maovu ni ghiriba yake tu na ndio maana kwa wale wanaomfahamu hawashangai kwa yaliyomkuta ilikuwa ni muda tu ndo haujafika .atakayeamini au kutoamini habari ndio hiyo


Wewe tuu ndio unaishi mambobo ndugu yetu? Hao wakazi ni wangapi wanaweza kuleta shutuma dhidi ya Muro? Ninachosema ni kwamba, wacha kuzungumza on behalf of others...mimi nami ni mkazi hapo 15yrs now, i know Muro tangu tukiwa shule Moshi hadi UDSM.

Mtu akifanya mazuri tumsifu. Akifanya mabaya kama tunafikiri, tuiachie mahakama iamue.

Leo nimelipenda sana jibu la Zitto kule kwa wanabidii forums alilosema kuwa kinachoendelea Tanzania.. na mimi naongeza among some of us ni kujifanya police, procecuters abd Judgesat the same time!
 
Watanzania mnapenda sana process (mchakato)


a. Watu wanazungumza mambo ya bunge wakati ule .. mara vyumba vya kina slaa vimekutwa na wadudu
b. Mara unga umekutwa Bungeni
c. Mara ..

na sasa tunaelekea tena richmond na ripoti ya Mwinyi.. guess what.. tunazungumzia pingu!!


...yaani acha tu! its a hammer on the nail! A quote from an article by Ulimwengu that JAMAA prefer to dwell on the pettier, thinner headlines such as:
1: ...jamaa aliyejamba mahakamani
2: ...alishafumaniwa gest waki-mnanihii
.
.
Spinners are well aware of what to dish out, and in so doing to DIVERT jamaa from ISSUES.

Mkjj, I salute you. On the other hand, some of us remain tuned to an announcement coming out soon...KINA NANI watovuliwa uanachama. Muungwana kasem kwenye kadamnasi juzi! stay tuned
 
Wewe tuu ndio unaishi mambobo ndugu yetu? Hao wakazi ni wangapi wanaweza kuleta shutuma dhidi ya Muro? Ninachosema ni kwamba, wacha kuzungumza on behalf of others...mimi nami ni mkazi hapo 15yrs now, i know Muro tangu tukiwa shule Moshi hadi UDSM.

Mtu akifanya mazuri tumsifu. Akifanya mabaya kama tunafikiri, tuiachie mahakama iamue.

Leo nimelipenda sana jibu la Zitto kule kwa wanabidii forums alilosema kuwa kinachoendelea Tanzania.. na mimi naongeza among some of us ni kujifanya police, procecuters abd Judgesat the same time!

Mbona siku hizi hayo uliyoyapenda hayazungumzi hapa JF?
 
Wewe tuu ndio unaishi mambobo ndugu yetu? Hao wakazi ni wangapi wanaweza kuleta shutuma dhidi ya Muro? Ninachosema ni kwamba, wacha kuzungumza on behalf of others...mimi nami ni mkazi hapo 15yrs now, i know Muro tangu tukiwa shule Moshi hadi UDSM.

Mtu akifanya mazuri tumsifu. Akifanya mabaya kama tunafikiri, tuiachie mahakama iamue.

Leo nimelipenda sana jibu la Zitto kule kwa wanabidii forums alilosema kuwa kinachoendelea Tanzania.. na mimi naongeza among some of us ni kujifanya police, procecuters abd Judgesat the same time!

msio mwelewa zitto mko wengi sana!...haya angalia na hii:

Wanabidii: Mamuruki wa chadema/fanatics wa Zitto
Na, <bongotz.com>​
Kwa muda mrefu, vyombo vya habari Duniani kote (Televisheni, Magazeti, Majarida, redio, Tovuti) vimekuwa ndio chanzo kikubwa cha kufichua watenda makosa wa Idara nyingine za serikali na kuhakikisha kuwa hazifanyi mambo ambayo hazitakiwi kufanya. Hili tumelishudia sana katika nchi zilizoendelea. Kadhia ya miaka ya sabini (70s) ya Watergate iliyomlazimisha Rais Richard Nixon kujiuzuru ni mfano mzuri wa kutizamwa.
Ingawa kumekuwepo na ongezeko la Vyombo vya habari nchini, kinachosikitisha ni kwamba, vyombo hivyo (aidha kwa kutokujua wajibu wao) vimeshindwa kabisa kukidhi maridhio yao na badala yake vinatumia vitisho/matusi kuhakikisha kwamba wale wote wasiokubalina na mitizamo yao (walio na mawazo tofauti), hawatoi maoni yao kupitia vyombo hivyo. Kundi la Wanabidii ni mfano mzuri wa kutizamwa.
Hivi karibuni kulizuka mjadala kwenye forum ya Wanabidii kuhusu hoja ya kutenganisha uchaguzi wa urais na wabunge. Maada ambayo ilichangiwa na watu wengi akiwemo mbuge wa Kigoma-kaskazini, Zitto Zuberi Kawe, mhariri wa gazeti la Tanzania Daima (Absalom Kibanda), Managing Editor, The Gurdian on suday (Richard Mgamba); na Excecutive Editor, Tanzania Media Women's Association (TAMWA)-- Ananilea Nkya. Katika kuchangia mada hiyo, Zitto alikurupuka (a rookie mistake), na kutoa mifano mbalimbali (basically, mifano ya kitoto) ikiwemo Rwanda ambapo rais anakaa madarakani miaka 7 na wabunge miaka 5. Akaenda mbali kidogo na kutoa mifano ya nchi za dunia ya kwanza kama vile marekani ambapo rais anakaa madarakani miaka 4, maseneta miaka 6, na members of congress (wabunge) miaka 2. Kwenye hitimisho la mjadala, Zitto akesema (kwa ki-inglish), nami namnukuu, " I would go for 6 years Urais and 4 years Ubunge.
Siku iliyofuata, gazeti la Tanzania Daima likaandika habari kulingano na alichokisema Zitto kichwa cha habari kikisomeka, "Zitto: JK aongezewe Muda". Baada ya hapo, Zitto na wafuasi wake (Wanabidii); Richard Mgamba, pamoja na Ananilea Nkya wakaanza kumshambulia mhariri wa Tanzania Daima ndugu Absalom Kibanda huku wakidai gazeti lake (Tanzania Daima) limuombe radhi Zitto. Kwa ushujaa wa pekee, ndugu Kibanda akajbu na kusema, "hatutarajii kufanya hivyo!" Baadhi ya wanabidii wachache (foward-thinking people), wakaandika maoni yao wakimuunga mkono ndugu Kibanda kitu ambacho kiliwakera mamuruki wa Chadema na mafanatics wa Zitto wanaoendesha forum ya Wanabidii na kuanza kumshambulia kila mtu aliyeonekana kutofautiana nao kiitikadi. Wengi wakakasirika na kutaka mjadala huu ufungwe eti kwasababu tu sisi tulio wachache hatukukubaliana na matakwa ya walio wengi (wafuasi wa Zitto). Maoni yetu yakawa blocked/deleted, na wakaanza kututukana na kuturushia vijembe.
Penginepo tu labda niwakumbushe Wanabidii kuwa, uhuni na vitisho vinavyoendeshwa na forum yao, ni kinyume kabisa na katiba ya nchi yetu: Ibara ya kumi na nane (18) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inaeleza waziwazi kwamba: [1] Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati. [2] Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbali mbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.
Chini, nimeambatanisha maoni ya mwanabidii mmoja [Kevin Makyao] ambaye aliandika na kufafanua kwa kina kuhusu nilichoandika/sema:
"Wanabidii naona baadhi yenu mnakuwa wakali kiasi cha kutia wasiwasi ikiwa hapa ni jukwaa lililo tofauti na wale tunaowaeleza kwamba wameshindwa. Linageuka kuwa jukwaa la kuzuia kisima cha fikra. Linakuwa jukwaa la kushindwa kuvumiliana lakini baya zaiidi linakuwa jukwaa la kutaka vikwazo dhidi ya uhuru wa kutoa maoni. Hoja ya kutaka kuombwa radhi kwa kutumia maelezo ya humu ndani ni potofu kwa sababu chache rahisi kabisa.
[1]. Ili iwe umetumia maelezo ya mtu bila halali unatakiwa kuwa umechukua maelezo fulani na kudai ni ya kwako.
[2]. Sheria mama ni katiba. Kama kanuni ya Wanabidii inazuia watu kutumia uhuru wa kikatiba wa kukusanya na kusambaza habari au maoni ni kukiuka katiba. Nitashangaa sana kama wanabidii mnakubaliana na hilo.
[3]. Kama kwa namna yoyote ile kuna ukiukwaji wa haki miliki anayepaswa kulalamika ni yule anayeweza kuthibitisha kwamba haki miliki yake imetumiwa isivyo. Katika hili Wanabidii hatuna haki miliki ya chochote kilichopo jukwaani. sana sana aliyeandika ahangaike kututhibitishia kwamba ana haki miliki ya alichokiandika.
[4]. Habari inayolalamikiwa haijaonyeshwa popote ambapo ilinukuu kwa makosa chochote kilichopo ndani ya jukwaa. kama kuna makosa (jambo ambalo ni la mjadala) basi hayawezi kwa namna yoyote kuwa yamekuwa dhidi ya wanabidii.
[5]. Nani annafungwa na kanuni za Wanabidii? Gazeti ni "legal person". Je gazeti kama gazeti ni mwanachama wa Wanabidii? kama sio, unawezaje kulibana kwa kanuni ambazo kama kweli zipo zinawabana wanachama tu? Tutofautishe gazeti na Kibanda. Kibanda anaweza akaondoka Tanzania Daima muda wowote lakini uwajibikaji wa habari ile hautahama naye. Utabaki kwa gazeti, mwandishi na mhariri atakayechukua dawati. Tufikirie nje ya boksi.
[6]. Wanabidii wanapoteza nini kama Zitto asipoombwa radhi au wanabidii wasipoombwa radhi?
[7]. Tunawezaje kujidai tunataka kuwasaidia watanzania ikiwa tunataka yanayojadiliwa humu yabaki "siri" ya wanachama? Tuna wanachama wangapi na taifa hili lina watu wangapi? (Milioni 40). Ni vigumu kufikiria eti mnaweza kujadili mambo yatakayoleta mabadiliko kwa taifa mkiwa kikundi cha watu wasiofika mia na hamtaki manachojadili kisambazwe kwa wengine. kama kuna upotoshaji katika kusambaza, basi suluhisho ni kutoa habari sahihi. nani kati yenu amejaribu kutoa kwa umma kukweli wa kile anachokifikiri kuwa kimepotoshwa?
[8]. Hivi ni kweli kwamba kila ukijadili watu una makosa? Unaweza kuzungumzia mauaji ya wayahudi bila kumjadili Hitala? Unaweza kuzungumzia mauaji ya halaiki ya Rwanda bila kumjadili Juvenal Habyarima na viongozi waandamizi wa Interahamwe kama akina Chezinga? Unaweza kuajdili ukristo bila Yesu? Unaweza kujadili uislam bila Mohamed? Unaweza kujadili historia ya Tanzania bila Nyerere? Lazima tukubali wakati mwingine ili kupata maana halisi ya jambo lazima kujadili pia watu. Tusipumbazwe na huo msemo wa simple minds discuss personalities. Lazima tuupe maana huo msemo. Kuna wakati hutapata maana ya tukio bila kumjadili aliyefanya tukio.
[9]. hata wale wanaosema mjadala ufungwe wanatumia lugha ambayo inaita watu kutoa maelezo. huwezi kusema mjadala ufungwe kisha ukasema eti hata katika ujinga kuna cha kujifunza. Waswahili wanasema fumbo mfumbe mjinga, mwerevu atalielewa. Bila shaka kama mjadala ni wa kufungwa lazima ufungwe kwa kauli ambazo haziiti maelezo ya ziada.
[10]. Kwa kuandika habari hii ni maslahi ya nani yanaweza kusemwa kiukweli na kwa kumuogopa Mola wako yamekiukwa? Sio kila kosa linahitaji kubebewa bango. Wakati mwingine lazima kuangalia gravity of the harm.
Jambo moja la msingi ni kwamba nimeshangaa sana kuona watu ambao hawako tayari kujeruhiwa kwa namana yoyote. Lazima tukumbuke siku zote kwamba hakuna utukufu bila mateso. yeyote anayetaka kweli kuleta ukweli lazima awe tayari kwa michubuko. Hata fizikia inatufundisha kwamba bila ukinzani hakuna mjongeo (no movement without friction.) kama tunataka kuayamaliza haya mambo basi tuyamalize bila vijembe..."
Mungu ibariki Tanzania!!​
 
Pole sana, Just simple logic unafikiri pingu inamsaidia mtu kufanya uharifu gani.
Ukiwauliza waharifu wa list zana wanazotumia , unategemea watalist pingu.
Jamani, mbona watu hamna hata aibu. Kama mtu una personal problem na Muro, tafuta jinsi ya kuziendeleza kama ni mihimu otherwise, mara nyingi ubaya na kinyongo juu ya mtu humrudia mtu mwenyewe.

And just a simple logic.... uniform za police zinamsaidiaje mtu kufanya uhalifu?? Just another simple logic...
 
Kuna wachangiaji humu ndani, na baadhi ya magazeti wanaona kuwa kwa vile ameonyesha risiti, basi hana kosa! Nashangaa hata MMKJJ katumbukia ktk ushabiki wa wazi wazi wa kumtetea Muro pamoja na kwamba kesi haijaenda mahakamani kwenye maamuzi ya sheria.

sijamtetea Muro mahali popote. Tatizo langu sipendi mazingaombwe sana (I'm a former magician myself). Mazingaombwe ni mchezo wa kuzuga akili na hisia. Watanzania kiasili yetu tunapenda sana an elaborate magic show kiasi kwamba tunaamini kirahisi sana viinimacho.

Nilichosimamia ni kuwa polisi wameboronga kiasi kwamba hata kama Muro amefanya makosa hakuna mahakama ya Tanzania inayoweza kumtia mahakamani. Akiachiwa huru si kwa sababu yuko "innocent" bali ni kwa sababu ushahidi haukuwa mzito dhidi yake.
 

Pia kuna wengine wanaonekana wana personal Conflict zao na kijana huyu
mradi kila mmoja hapa ana mawazo yake ...

bi mkubwa.. mimi kabla ya hili sakata nilikuwa simjui Jerry Muro ni nani na anafanya nini "kuendeleza rushwa, magendo na kuhujumu uchumi"..
 
Back
Top Bottom