Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,872
- 21,950
hivi jerry amesoma chuo gani? Uandishi ili tujue kama ni mwana taalum, maadili, etc. Au kavamia fani, kawa maarufu na sasa.........
Alafu mwenye kujua mwenendo wake atueleze, make tv journalists wengi, wanaokotaokota kama kuku wa kienyeji, yaani habari zao nyingi ni za ku promote ili wapewe kitu kidogo
jf university