TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Afadhali hili la risiti kuliko ingetangazwa kuwa amekongoliwa wakati akitaka kufanya ujambazi na watu wasiojulikana [lugha zao hizo]
Wana JF walitabiri matokeo ya ripoti yake na haya yaliyomtokea siyo ajabu [tungejee suala linavyoendelea] lakini radio mbao zinasema kuwa huyu kijana kachokoza nyuki maana mtandao huu hauishii chini tuu na ili kuulinda jitihada zote zinafanyika kumharibia yeyote atakayethubutu kutangaza mambo haya na inasemekana suala la rushwa haliishii trafiki tu hata nyanja nyingine vilivile. Wanasema ingawa ndugu zetu hawa wanalalamikia mishahara midogo lakini 'assets' wanazohodhi huwezi kuamini-kama biashara ya daladala ndiyo usiseme.
mnakumbuka katika kesi ya zombe kuna askari ambaye alikuwa muhimu sana kwenye kesi hii na eti hadi leo hajulikani yuko wapi [lakini wadadisi wanasema ni njama ili kuhakikisha jamaa haimbi nyimbo ambayo lyrics zake hazikubaliki.
TUENDELEE KUFUATILIA MAANA NINAAMINI MENGI YATAJITOKEZA
 
wajameni... Bastola anamiliki kihalali kabisa. Mimi hilo nalijua. Lakini pingu ndio litu ambacho sielewi.
 
wajameni... Bastola anamiliki kihalali kabisa. Mimi hilo nalijua. Lakini pingu ndio litu ambacho sielewi.
 
kwa kweli nimeifatilia hii thread kuanzia mwanzo mpaka hapa niandikapo lakini, hakuna hata kitu kimoja kinachounga na kikinge, yaani kuna mauzauza yasiyo na kichwa wala miguu, lakini mwisho wa yote nilipata shida sana kuelewa maelezo ya BWana misifa (Kova), sasa hapa sijuhi tatizo ni waandishi walioleta hiyo habari au ni yeye mwenyewe
1) kwa habari ya kwanza tuliambiwa Kova kasema bastora haina risiti, lakini hii ya mwisho twaambiwa hiyo bastola anaimiliki kihalali. Sasa swali la kijiuliza kama anaimiliki kialali kwa nini huyo bwana aliwaonesha hiyo bastola pamoja na pingu kwamba ni vitu ambavyo huyo Muro hakuwa na staili ya kuwa nanvyo?
2) Sijuhi sheria vizuri, lakini napata hofu kidogo kwa kesi kama hiyo ya Bwana Muro kwenda moja kwa moja kwa AG (Mwanasheria mkuu) kwa uchambuzi, badala ya DPP na kwenda mahakamani kama kweli polisi walishakusanya ushahidi wote wa kutosha
3) hapa pia natatizika kidogo kama police walishapewa tip ya rushwa, kwa nini wasiiwasiliane na pCCB, hiyo kauli ya KOVA kuwa wangechelewa haina mshiko hata kidogo, wangechelewa wapi, kama walishakuwa na info kamma hizo walishindwa kweli kumwambia jamaa asubiri kidogo ili wajipange, mbona wakiitwa kwenye ujambazi wanachukua muda kuattend kwa kisingizio cha kujipanga?
4)huyo jamaa nae mbona hajaeleweka, hiyo mawani yake aliisahahu ndani ya gari la Muro lini na walikuwa na deal gani? mbona alipowapigia police ilikuwa inaonekana kama alikuwa hamjuhi huyo jamaa?
5)kama kulikuwa na deal la rushwa ili kuwaje pilice wavamie hilo gari na sio kusubiri mtego, hiyo ndio haraka ya Bwana Misifa (KOVA)?
 
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Ina mana hiyo bastola kaanza kuimiliki jana? kama alikuwa nayo mbona hawakumkamata nayo kabla? Mbona mpaka alipovumbua jambo no yote haya yametokea? akili kumkichwa.............
 
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Ina mana hiyo bastola kaanza kuimiliki jana? kama alikuwa nayo mbona hawakumkamata nayo kabla? Mbona mpaka alipovumbua jambo no yote haya yametokea? akili kumkichwa.............
 
jamani kilichobaki kila mwanahabari kuwa makini na shughuli aifanyayo maana jamaa ndo kakutwa na pingu ambayo haiusiani na tasnia ya habari
 
jamani kilichobaki kila mwanahabari kuwa makini na shughuli aifanyayo maana jamaa ndo kakutwa na pingu ambayo haiusiani na tasnia ya habari
 
Mbinu za ki Police zimetumika ku mmaliza Jerry, Hakuwa mwangalifu wa hawa watu aliokuwa akiwa umbua.
Hamna ubishi hiyo ni '' pre aranged deal'' anaye bisha na abishe.
 
Mbinu za ki Police zimetumika ku mmaliza Jerry, Hakuwa mwangalifu wa hawa watu aliokuwa akiwa umbua.
Hamna ubishi hiyo ni '' pre aranged deal'' anaye bisha na abishe.
 
JM ni kijana mwenye bidii kikazi na tumeona kazi nzuri alizozifanya kama mzalendo kufichua maovu yanayofanyika na baadhi ya askari,lakini kwa asili kila binadamu ni mhalifu kiwango cha uhalifu kinatofautiana kutokana na mazingira alipo mtu huyo,JM si msafi sana naye kuna mazingira ya shughuli zake yanamusukuma kufanya uovu polisi hawatoi hukumu tusubiri.
 
JM ni kijana mwenye bidii kikazi na tumeona kazi nzuri alizozifanya kama mzalendo kufichua maovu yanayofanyika na baadhi ya askari,lakini kwa asili kila binadamu ni mhalifu kiwango cha uhalifu kinatofautiana kutokana na mazingira alipo mtu huyo,JM si msafi sana naye kuna mazingira ya shughuli zake yanamusukuma kufanya uovu polisi hawatoi hukumu tusubiri.
 
Yethuu na Maria ili jeshi letu la polisi ni kichekesho kabisa....Wamuache kijana wawatu aendelee na kazi yake maana lengo lao wamekosea kuliandaa,na watambue Watanzania wa leo siyo wale wa miaka ya 70
 
Ina mana hiyo bastola kaanza kuimiliki jana? kama alikuwa nayo mbona hawakumkamata nayo kabla? Mbona mpaka alipovumbua jambo no yote haya yametokea? akili kumkichwa.............

Kwani wao ni malaika mpaka wajue bila kupewa taarifa? Kweli hapa ni "akili kumkichwa!"
 
Ina mana hiyo bastola kaanza kuimiliki jana? kama alikuwa nayo mbona hawakumkamata nayo kabla? Mbona mpaka alipovumbua jambo no yote haya yametokea? akili kumkichwa.............

Kwani wao ni malaika mpaka wajue bila kupewa taarifa? Kweli hapa ni "akili kumkichwa!"
 
Hivi jamani......kweli inakujia akilini mtu amakutwa na bastola iko full hana risiti alafu akaachiwa kweli kwa dhamana ya kujizamini mwenyewe???? labda hizo stori wapelekwe watoto wa chekechea hata mtua asie enda darasani hatawaelewa?????

Yes, inakujia akilini, because it is a bailable offence! Labda kama ingekuwa ni suala la mauaji, uhaini, etc ndio hakuna dhamana! Remember Zombe et al. Kwani alipojidhamini mwenyewe ameshakimbia au kuharibu ushahidi?
 
Back
Top Bottom