TB JOSHUA: Kuna Rais East Africa atatekwa na Club kulipuliwa

Unajua wewe unajichanganya sana yeye hakuomba kuaminiwa ametoa unabii wake tu, jambo la muhimu si kumpinga bali kukaa na kusubiri ili tuone kama itatokea kama alivyotabiri au la!!! Lakini jambo lingine kwetu sisi wakristo ni kuombea amani Taifa letu na pia kumwombea mh. Rais wetu na viongozi wengine ili tuishi kwa amani ili Injili ihubiriwe na watu waokolewe, pia haki itendeke ktk Taifa letu, mimi si mwanaccm ila kila siku namwombea Rais wetu na serekali yake ili tuishi kwa amani, hata ktk unabii huu naomba isiwe kwa Rais wetu.
Kama huombei asiwe Rais wetu unaombea awe ni Rais gani sasa???
 
hata kifo cha rais wa Ghana alitabiri,

mmh kwa hili la east africa i hope itakua PK au M7,kama ni disco watu wa mwanza na arusha jipangeni.Na mimi nimeongezea utabiri tuu,anyway im just kidding guys

Nipo mwanza ila Golden Crest, fussion, villa park na isamilo kwaherini siingii tena.
 
Mtindo ule ule wa Sheikh Yahaya wa kutabili vifo vya wanasiasa TZ kumbe alilipwa na wauaji waliotaka kumuua Mwakyembe na Dr Slaa na Dr Mengi ili kuiandaa jamii kisaikolojia wananchi wasilete vurugu. Alifanikiwa Malawi, jamii haikuuliza kilichomuua Mutharika
 
amesema shambulizi la kigaidi litatokea ktk nchi ya East Africa but siyo Kenya.ni nchi ambayo mlipuko uliishatokea katika club.damu nyingi itamwagika.ni nchi jirani na kenya. Kuhusu rais hajasema ni wa nchi gani na hajasema ni wa kutoka East Africa. Amesema kuna kiongozi wa nchi atatekwa. Stay tuned

Nchi ambayo mlipuko kwenye club ulishawahi kutokea ni Uganda. Lord have mercy on us!!
 
Yaani huyu Pastor yeye anatabiri matendo ya kishetani tu. Kwa nini hajatabiri mambo ya neema kwa "wana" wa Mungu

Alileta story ya Boko Haram kufutika ikagonga mwamba. Huwa anacheza na probability za matukio katika jamii kulingana na mazingira halafu anakuja na majibu.

Halafu matukio yakitokea ndiyo huwa anajitokeza na kudai alitabiri na limetokea.

Kila mtu na shamba lake la mavuno ya kimaisha na wajinga ndiyo waliwao.

He's getting richer wakati waumini na wafuasi wake wengi getting poorer.

Omba dhidi ya roho ya "uzushi"
 
Nchi ambayo mlipuko kwenye club ulishawahi kutokea ni Uganda. Lord have mercy on us!!

na rais kutekwa? ila uganda wana ulinz mkali sana kwa museveni. tanzania pia ulinzi upo na nchi jiran na kenya ni tanzania na uganda.
 
Lowassa hakuwahi kutabiriwa hilo. Ni mbwembwe zake tu. I watch Emmanuel Tv, Peace Tv, Loveworld, Miracle Tv. Ila ni kweli kuwa alienda SCOAN na alionekana kwenye live mass

Hata ivyo Mamvi hajawahi kusema popote kama ametabiriwa hayo ila ni wapambe viherehere.
 
Yaani huyu Pastor yeye anatabiri matendo ya kishetani tu. Kwa nini hajatabiri mambo ya neema kwa "wana" wa Mungu

Alileta story ya Boko Haram kufutika ikagonga mwamba. Huwa anacheza na probability za matukio katika jamii kulingana na mazingira halafu anakuja na majibu.

Halafu matukio yakitokea ndiyo huwa anajitokeza na kudai alitabiri na limetokea.

Kila mtu na shamba lake la mavuno ya kimaisha na wajinga ndiyo waliwao.

He's getting richer wakati waumini na wafuasi wake wengi getting poorer.

Mkuu hayo uliyosema Siyo ya kweli. Angalia vizuri Emmanuel TV utaona TB Joshua anavyofanya mambo. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
lengo la unabii mara nyingi ni kuwaonya watu ili wakae kwenye maombi ili mungu aepushie mbali. Kwa mtu wa Mungu anapoutoa haaitwi utabiri, ila unabii. Wewe unaetaka kuonywa kwa mazuri utasubiri sana tu

Ahsante kwa kunisaidia. Pia imeandikwa hamtakosa kuzijua hila za Ibilisi mpingeni naye atawakimbia. Kumbe tukishafahamishwa hila za Ibilisi kazi yetu ni kumpinga au kufanya vita naye na si kumpa jukumu la mjumbe aliyetumwa kufichua njama hizo kupigana yeye.
 
Yaani huyu Pastor yeye anatabiri matendo ya kishetani tu. Kwa nini hajatabiri mambo ya neema kwa "wana" wa Mungu

Alileta story ya Boko Haram kufutika ikagonga mwamba. Huwa anacheza na probability za matukio katika jamii kulingana na mazingira halafu anakuja na majibu.

Halafu matukio yakitokea ndiyo huwa anajitokeza na kudai alitabiri na limetokea.

Kila mtu na shamba lake la mavuno ya kimaisha na wajinga ndiyo waliwao.

He's getting richer wakati waumini na wafuasi wake wengi getting poorer.
mkuu huyu T.B joshua ana legacy kubwa sana sivyo kama unavyomchulia hasa uki deal na mambo ya kiroho , na ni kweli ametabiri mengi sana ambayo yamekua na ndiyo mleta thread hii amekuja kama ana hema kwa mstuko
 
Yaani huyu Pastor
yeye anatabiri matendo ya kishetani tu. Kwa nini hajatabiri mambo ya
neema kwa "wana" wa Mungu

Alileta story ya Boko Haram kufutika ikagonga mwamba. Huwa anacheza na
probability za matukio katika jamii kulingana na mazingira halafu
anakuja na majibu.

Halafu matukio yakitokea ndiyo huwa anajitokeza na kudai alitabiri na
limetokea.

Kila mtu na shamba lake la mavuno ya kimaisha na wajinga ndiyo waliwao.

He's getting richer wakati waumini na wafuasi wake wengi getting
poorer.
huwa hamkosi...
 
Hata wasioamini wamuulize Joseph Yobo mpiga ndinga, aliombewa baada ya kuvunjika mguu! Akapona na kurudi kwenye ligi
 
na rais kutekwa? ila uganda wana ulinz mkali sana kwa museveni. tanzania pia ulinzi upo na nchi jiran na kenya ni tanzania na uganda.

Kwa Rais ni ngumu ku guess kwa vile hakusema ni East Africa, kasema Africa, inaweza kuwa Libya , S. Africa, Tanzania, Burkina Faso, Eritrea, au yoyote. Lakini si Zanzibar Mkuu!!
 
Back
Top Bottom