mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,607
- 2,481
Nimetoa mfano wa wegner ambae idea yake baada ya karne 1 ilithibitika ni kweli.Mungu yupo na hayupo at the same time?
What are you smoking?
Mungu ni idea ambayo kwa sasa haina uthibitisho, hivyo kusema yupo au hayupo zote ni imani. Wewe unaposema Mungu hayupo hiyo ni imani yako, imani ambayo huwezi kuithibitisha kama hao unaosema wanadanganywa.