Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 3,994
- 5,437
Je ubatizo was Moto ukoje??View attachment 1813227
Ubatizo wa maji ni udhihirisho wa nje kwamba umempokea Kristo!
Wapo waliompokea Kristo pasipo udhihirisho huo wa nje na kuokolewa!
Ref: Mwizi msalabani aliye mkiri Kristo na kuokolewa pasipo ubatizo wa maji.