Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Hata mazuri huwa ana tabiri
So km unafuatilia programme yake utaona.

Btw haya mabaya ili tuombe kwa Mungu na Mungu ameepusha mengi tu
Hivi unajua production ya vipindi vya tv inavyofanyika..?! Maana naona umekomalia vipindi vyake dada angu .!! Embu jitathmini na ujiongeze zaidi bwana, sio kubase maisha yako kwenye vipindi vya tv vya hawa watu.
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?

Kwa iyo anaombea hayo yatokee, ili aonekane mkweli au anaomba yasitokee ili aonekane muongo?
 
Hana lolote ni tapeli kupitia imani. Ana intelligence yake au kubahatisha. Mara nyingi utabiri wake haitokei.

MUNGU katika jina la Yesu akusamehe maana hujui ulisemalo. Kama kweli tuambie hiyo intelligence yake ipo wapi Say africa mashariki ??? Majina yao nk. Kama huna basi unyamaze milele
 
Wakati anatabiri Zambia kuchukua AFCON ulikuwa unanyonya?

kama mtumishi wa Mungu anatabiri mpira na wewe unashabikia hilo. Sina uhakika kama Mungu anaweza kupoteza muda wake kumfunulia Nabii eti Chelsea Itachukua UEFA CHAMPIONS LEAGUE CUP. ningefurahi kama hii kazi ya utabiri wa vitu ambavyo havina spiritual implication kuwaachai wachawi, waganga, pweza wa ujerumani na watabiri wa nyota.

ningerufurahi kama kila mtu astick na field yake.
 
amesema kati ya ukrain na russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na kenya rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni tanzania?

bgmoyo tumejipanga mpwa loh

chk nasudan
 
MUNGU katika jina la Yesu akusamehe maana hujui ulisemalo. Kama kweli tuambie hiyo intelligence yake ipo wapi Say africa mashariki ??? Majina yao nk. Kama huna basi unyamaze milele
Mungu katika jina la Yesu akusamehe kwa kuamini utapeli... Hata hapa Dar ana ofisi. Kabla hujaenda kumuona unapeleka taarifa zako ukiambatanisha picha. Atakupa appointment baada ya manjagu wake kuelewa fika shida zako. Upo mkuu!... Wake up.
 
Muhammad is 666
Huyu ndie Nabii wenu.

M 13 * 9 = 117
U 21 * 9 = 189
H 8 * 9 = 72
A 1 * 9 = 9
M 13 * 9 = 117
M 13 * 9 = 117
A 1 * 9 = 9
D 4 * 9 = 36

---------- TOTAL = 666

Ungenielewesha hiyo 9 hapo imekujaje,
maana zote unazidisha kwa tisa!
 
ImageUploadedByJamiiForums1409773526.898537.jpg
 
Ungenielewesha hiyo 9 hapo imekujaje,
maana zote unazidisha kwa tisa!
Because the first nine letters represent 1–9. The tenth letter represents 10, with the nineteenth letter representing 100 and so on. Since the book of Revelation is written in a Hebrew context by a Jew with numerous allusions to the Old Testament, we should expect the solution to deciphering the meaning of six hundred and sixty-six to be Hebraic.
 
[ttttt=Tabby;10478354]ni mwehu wewe?[/QUOTE]
tyt
Tttyjmtyffhhhyyhftjhae b bqsccxrfcttt. Nwn,qtf. B xtxl
Mathayo 7:22-23

Wengi wataniambia siku ile:Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?. Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
 
Hivi wakristo wamepatwa na nini hadi wanawaamini watu kama hawa
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?


Hakika nimemkubali TB Joshua.

On Sunday 16th February 2014, Prophet T.B. Joshua prophesied about the ... Malaysian Airlines MH17 Plane

Malaysia Plane.jpg
On Thursday 17 July 2014 The plane crashed near Russia.
 
Muhammad is 666
Huyu ndie Nabii wenu.

M 13 * 9 = 117
U 21 * 9 = 189
H 8 * 9 = 72
A 1 * 9 = 9
M 13 * 9 = 117
M 13 * 9 = 117
A 1 * 9 = 9
D 4 * 9 = 36

---------- TOTAL = 666

J 10 x 9 = 90

E 5 x 9 = 45

S 19 x 9 = 171

U 21 x 9 = 189

S 19 x 9 = 171

TOTAL 666




HAYA NDIYO MAAJABU.


COMMENT PLZ
 
Back
Top Bottom