TB joshua atabiri matokeo ya champion League, kuwa Chelsea inahitaji maombi zaidi kuliko Bayen, Ila kasema kuna mtu mrefu mwenye upara atafunga Goli la kichwa. Tusubiri tuone wale wanaoamini lakini, wapenzi wa chelsea ombeni sanaaaaaaaa, hata yeye ni mpenzi wa chelsea kumbe, ila ni kwa kipindi cha kwanza hicho, matokeo kamili jumapili ya next wiki.
Note Wapenzi wa Chelsea kasema Ombeni sana tena sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Akitoa ufafanuzi baada ya rumors kusambaa kuwa amewatabiria Chelsea ushindi dhidi ya Bayern Munich; T.B.Joshua anasema hakitabiri chochote kabla ya sasa ambapo imebidi amuombe Mungu amuoneshe super game hiyo!
Amedai kaoneshwa kipindi cha kwanza tu, ambapo mambo hayawaendei vizuri Chelsea. Ameendelea kusema, kuwa ndani ya maono kamuona mkaka mmoja mrefu mwenye kipara akifungia goal la kichwa Bayern Munich
(sijampata vizuri hapa, ila nahisi alimdescribe as dark n tall)
Matokeo ya second half atatoa jumapili ijayo!
chelsea ni bingwa. Wacheze hata saa 10 chelsea ni bingwa. Nitarudi baada ya mchezo tar 19. Wana chelsea kuleni ka mbuzi na moja bariiiidi.mhhhhhhhhhhh
HUYU JAMAA MKALI!! YAANI KESHAONESHWA KIPINDI CHA KWANZA NDOTONI!! HAHAHAHA! AISEEEE!!! :wacko:
Joshua mwizi tu. Hana unabii wowote, utapeli mtupu.
Soccer is all about making better use of one's chances and taking advantage of opponent's mistakes to the full...TB Joshua's voodoo is of no relevance whatsoever.
*And that tall guy that he is referring to might be Jerome Boateng*
Yes, given that Gustavo and Alaba will miss the final, Boateng is the only dark-skinned player remaining. Lets wait and see.