Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
wengi wana upara so ni ngumu
wewe umewahi pata muujiza wa TB personally?
Yes!
Sijatoa ushuhuda kule yet!
wengi wana upara so ni ngumu
wewe umewahi pata muujiza wa TB personally?
ni uongo TB Joshua hajatabiri hizo mambo, ni hili kanusho kaliweka kwenye official site ya huduma yake
Hacha ubishi kama hauangali TB joshua sasahivi basi usiwapotoshe wenzakoni uongo TB Joshua hajatabiri hizo mambo, ni hili kanusho kaliweka kwenye official site ya huduma yake
maombi yetu tukayafanyie wapi? Knisani kwake au hata vyumbani mwetu?TB joshua atabiri matokeo ya champion League, kuwa Chelsea inahitaji maombi zaidi kuliko Bayen, Ila kasema kuna mtu mrefu mwenye upara atafunga Goli la kichwa. Tusubiri tuone wale wanaoamini lakini, wapenzi wa chelsea ombeni sanaaaaaaaa, hata yeye ni mpenzi wa chelsea kumbe, ila ni kwa kipindi cha kwanza hicho, matokeo kamili jumapili ya next wiki.
Note Wapenzi wa Chelsea kasema Ombeni sana tena sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ahhhhhhhhhhhhhhhh Matemu mwogope Mungu kakaJoshua mwizi tu. Hana unabii wowote, utapeli mtupu.
maombi yetu tukayafanyie wapi? Knisani kwake au hata vyumbani mwetu?
Ahhhhhhhhhhhhhhhh Matemu mwogope Mungu kaka
Hakuna nabii baada ya yesu bwana kamugisha. Hata bible inasema hvo kama we ni mwamini. Sasa hv kuna wachungaji tu hakuna nabii.
Bora ya Pweza Paul, hanaga maneno mengi !huyo jamaa ni kama anachanganyikiwa vile