Jarida la Si Mchezo lilikuwa bomba kuzidi Femina, lilikuwa na mambo mengi ikiwemo mistari ya miziki, bila kusahau ndani yake kulikuwa na contents za jarida la Sani (zile story na katuni za akina Kipepe, Zena na Betina, Lodilofa, Baba Ubaya, nakadhalika).Yeah, na hili ndilo nililikusudia kulitaja kwenye comment iliyopita lilikuwa lina lyrics za miziki
Majarida haya nimeyasoma karibia matoleo yote.Hapa ilikuwa hata kabla ya kugunduliwa Whatsapp, Instagram, majalida haya yalichukua umaarufu mkubwa sana Tanzania na Kenya.
Utandawaza unakuja kwa kasi sana siku hizi ni Tiktok na blogs za umbea tu.
View attachment 3309756View attachment 3309759View attachment 3309765
CCM inaingiaje kwenye hii mada???Ccm na wasira
View attachment 3309778
France! Mara ya mwisho kumsikia ni kipindi kile bifu na jide, huyo anamwita mwenzie teja huyu anajibu nina mtoto onyesha wakoHUYU MWANADADA MSANII YUKO WAPI MBONA KAPOTEA
Hapa ilikuwa hata kabla ya kugunduliwa Whatsapp, Instagram, majalida haya yalichukua umaarufu mkubwa sana Tanzania na Kenya.
Utandawaza unakuja kwa kasi sana siku hizi ni Tiktok na blogs za umbea tu.
View attachment 3309756View attachment 3309759View attachment 3309765
Hii Nike isave😂😂Haya makitu yalinifanya nikapiga nyeroo na mpaka leo naogopa ukimwi hatari
Kwa nini master? 😁H
Hii Nike isave😂😂
KAMA UNA HILO GAZETI LA PILI{SUG NA PROF J} NENDA SEHEMU YA MABALOZI WA FEMA HALAFU UJE USEME TENA..Hapa ilikuwa hata kabla ya kugunduliwa Whatsapp, Instagram, majalida haya yalichukua umaarufu mkubwa sana Tanzania na Kenya.
Utandawaza unakuja kwa kasi sana siku hizi ni Tiktok na blogs za umbea tu.
View attachment 3309756View attachment 3309759View attachment 3309765