KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 3,489
- 4,495
Seki hakuwa sehemu ya watumishi wa femina bali ali cover habar wakat akiwa mtangazaji wa eatvSeki kitambu kumuona , bora Amabilis Batamula anaonekana onekana mitandaoni.
Seki hakuwa sehemu ya watumishi wa femina bali ali cover habar wakat akiwa mtangazaji wa eatvSeki kitambu kumuona , bora Amabilis Batamula anaonekana onekana mitandaoni.
Ni kama wewe tuuh.Kwa nini master? 😁
Hlo lilikuwa linaitwa "fema si mchezo"Hilo lilikuwa na ujazo mkubwa halafu kulikuwa na fema ambalo ujazo wake ni pungufu lenyewe tulikuwa tunalipenda kwa ajili ya kufuatilia lyrics za nyimbo maarufu
Hli shrka lilikuwa chn ya sida{sweden} na norad{norway}pesa USAID ndio ziliishia huko
Kabisa yani mpaka uichape inakua kashughuli ukifikiria ile misisitizo ya kujikinga na gonjwa hilo aseeNi kama wewe tuuh.
Yamenifanya nimekua mwoga sana,lakini natumai unajua faida za kunguru mwoga.
Maana tushawazika madogo kibaooooo
Gazeti langu pendwa mwananchi
uhakika kabxa pia mim kutokana na jarada hilo nilitokea kuogopa ukimwi na gono, mpaka sasa najilinda vibaya mnoHaya makitu yalinifanya nikapiga nyeroo na mpaka leo naogopa ukimwi hatari
Sana yani vijana wa kizazi hiki hawaogopi kabisa, kuiloweka tu kama kuku wao ni rahisi mno.uhakika kabxa pia mim kutokana na jarada hilo nilitokea kuogopa ukimwi na gono, mpaka sasa najilinda vibaya mno
"uoga wako ndio upwiru wako".Sana yani vijana wa kizazi hiki hawaogopi kabisa, kuiloweka tu kama kuku wao ni rahisi mno.
utasikia wakisema kondom haina radhaSana yani vijana wa kizazi hiki hawaogopi kabisa, kuiloweka tu kama kuku wao ni rahisi mno.
kwa dunia ya sasa mpaka vianafunzi vya secondary vimewaka vinaumeme"uoga wako ndio upwiru wako".
Nimesoma magazeti ya zamani ya Kiswahili na kiingereza kama daily news mwanahalisi na mengineyo.Gazeti langu pendwa mwananchi
Udaku, ijumaa, wikienda, umbea nimeanza kitambo sana
Nilishamkanya sana BICHWA KOMWE kuhusiana na hili swala la MAFEMA lakini hakunisikia. Alikuwa anayaiba anajaladia madaftari yake.Nimesoma magazeti ya zamani ya Kiswahili na kiingereza kama daily news mwanahalisi na mengineyo.
Nilisoma sana hayo majarida na jamaa yangu Joshua Shirima kama yuko humu anitafute.
Kwa hiyo lengo la kuiba ni kujaladia tu au Kuna lengo lingine.Nilishamkanya sana BICHWA KOMWE kuhusiana na hili swala la MAFEMA lakini hakunisikia. Alikuwa anayaiba anajaladia madaftari yake.
Hili jambo lilikuwa baya sana, ikafika hatua mpaka BICHWA KOMWE akakamatwa na polisi na kuanza kunyea ndoo rasmi mnamo mwaka 2008.
KujaRadia.Kwa hiyo lengo la kuiba ni kujaladia tu au Kuna lengo lingine.
Sijaelewa hapo😅KujaRadia.